Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Watu watano wamefariki dunia na wengine 20 kujeruhiwa katika eneo la Iyovi baada ya gari aina ya Costa iliyokuwa ikitoka Mbeya kuelekea Dar es Salaam kujaribu kulipita Lori lililokuwa limeharibika njiani na kugongana na Lori jingine lililokuwa likitokea Mikumi.
Ajali hiyo imetokea hii leo Juni 5, 2023, katika eneo la Iyovi, barabara kuu ya Morogoro-Iringa.
Chanzo: EATV
Ajali hiyo imetokea hii leo Juni 5, 2023, katika eneo la Iyovi, barabara kuu ya Morogoro-Iringa.
Chanzo: EATV