Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

Status
Not open for further replies.
Kagame naye anaelekea kubaya,JWTZ ni jeshi imara na sio jeshi la kisiasa kama majeshi ya Rwanda,ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA.
 
Mara Mama Banda mara Kagame... ni udhaifu wa mtu ndo unafanya watu watishie ingekuwa kipindi cha Ben wala wasingefunua mdomo... na miss sana Lowasa hata hivyo... huyu pinda nae akili zake zile zile nao wapigwe tu kama wakishindwa kutii wanachoambiwa na Kagame... si wamesema na sie wananchi tupigwe tu na polisi... samahani wala sisikitiki nitapoteza maisha ila na Kikwete ataondolewa madarakani labda watoto wangu wanaweza kupata maisha mema hizi akili nakuto kuthubutu zitatupeleka mbali kwa kweli.
 
kagame akae na Intarahamwe na FDRL kwenye meza ya mazungumzo MBONA YEYE KIWETE HAKAI NA WAPINZANI HUSUSAN CHADEMA WAKAPATANA badala yake Kiwete anahangaika kuwatumia Polisi,TISS,Wassira,Mwigule Nchemba na Nepi Nauye kuuwa Wapoinzani? Hivi Kikwete atajibu nini kwa Kagame???
 
Wana JF,





Unajua kuna vitu mtu unafanya hata nchi za wenzako wanaanza kukutilia shaka. Kwa hili naona credibility ya kiwete iko chini sana na ndiyo maana huyu Kagame amesema aliyosema tena kwa ujasiri! Hivi tujiulize kama Kagame akiamua kumbana Rais Kiwete kwa kumwuliza kwamba yeye anataka kagame akae na Intarahamwe na FDRL kwenye meza ya mazungumzo MBONA YEYE KIWETE HAKAI NA WAPINZANI HUSUSAN CHADEMA WAKAPATANA badala yake Kiwete anahangaika kuwatumia Polisi,TISS,Wassira,Mwigule Nchemba na Nepi Nauye kuuwa Wapoinzani? Hivi Kikwete atajibu nini kwa Kagame???

".....there is a line you cannot cross,there is a line, a line that you should NEVER cross.It is impossible!" Paul Kagame, Rwandese President.

Tafakuri jadid.

Mkuu haya maneno hapo juu ni ukweli mtupu. JK hana credibility ya kumwambia Kagame akae meza moja na waasi wakati yeye na vyama vya upinzani ni kama paka na panya!
 
C:\Users\ADMINI~1\AppData\Local\Temp\msohtml1\01\clip_image002.jpg
 
Kama unadhani ukubwa wa pua ni wingi wa makamasi JK aendelee kumchokoza Kagame ndipo utakapoutakapo jua kuwa ------ si rais na ya kuwa nchi imegawanyika mno na hakuna nchi iliyoingia vitani ikiwa imegawanyika kiasI hiki ikashinda vita yoyote
 
Kagame naye anaelekea kubaya,JWTZ ni jeshi imara na sio jeshi la kisiasa kama majeshi ya Rwanda,ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA.

Hilo unaloliongelea wewe ni kuwa siyo Jeshi la Kisiasa ni lile aliloliacha Hayati Julius Nyerere.

Lakini JWTZ ya leo inashirikiana navyombo vingine vya Dola katika kulinda maslahi ya kisiasa. Hivyo la Sasa limekaa kisiasa, kuliko Ulinzi. Siyo Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) bali ni Jeshi la Wanasiasa wa Tanzania (JWTZ).

Angalia utumbo uliofanywa na jeshi huko Mtwara kwa ajili ya maslahi ya kisiasa. Majeshi yetu yote wanakoelekea siko, inabidi wabadilike.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Kagame naye anaelekea kubaya,JWTZ ni jeshi imara na sio jeshi la kisiasa kama majeshi ya Rwanda,ni JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA.
Huyu mtu mwisho wake utakuwa mbaya sana,

Jeshi letu sio tu ni kubwa bali lina uzoefu na cv nzuri ya kudunda wapuuzi kama hawa.

Tulifagia uganda na kubadilisha marais mara tatu sembuse ka nchi kama Rwanda ambako kwangu mimi ni saizi ya shamba la babu yangu tu

Kama ikitokea vita mimi nitarudi jeshini na kuvaa combat kwa hasira!
 
kagame akae na Intarahamwe na FDRL kwenye meza ya mazungumzo MBONA YEYE KIWETE HAKAI NA WAPINZANI HUSUSAN CHADEMA WAKAPATANA badala yake Kiwete anahangaika kuwatumia Polisi,TISS,Wassira,Mwigule Nchemba na Nepi Nauye kuuwa Wapoinzani? Hivi Kikwete atajibu nini kwa Kagame???

majibu ya kikwete ni mengi, mojawapo ni "RWANDA IKITUCHOKOZA TUTAICHAKAZA "nenda kamwambie slim boy kama hakuipata hiyo.
 
kagame.jpg
angalia rwanda ilipo, congo ilipo ambapo wafuasi wa m23 wametawala na sudan ilipo.
 
Great President Jakaya with strong Army JWTZ,busara ni kukaa kimya...
 
Huyu mtu mwisho wake utakuwa mbaya sana,

Jeshi letu sio tu ni kubwa bali lina uzoefu na cv nzuri ya kudunda wapuuzi kama hawa.

Tulifagia uganda na kubadilisha marais mara tatu sembuse ka nchi kama Rwanda ambako kwangu mimi ni saizi ya shamba la babu yangu tu

Kama ikitokea vita mimi nitarudi jeshini na kuvaa combat kwa hasira!

hawa vijana wa kidato cha sita waliohimu JKT juzi wanamtosha.
 
Sina uhakika wa maelezo hayo,ila ninachojua ni kwamba Wanajeshi wa Tanzania wameuawa huko Darfur.Sasa ni group gani haijulikani.Watanzania tuna maneno sana.tulikuwa na jeshi imara zamani sasa hivi kuna wanasiasa tu.Tusijidanganye kupigana vita hata mara moja.macho ya mbinu za majeshi yetu ni kuhangamiza upinzani na sio kulinda mipaka siku hizi.kwa hiyo tutachapya kama watoto wadogo.Hatuna vifaa vya kisasa tunatengemea wingi wa askari,hii ni stahili ya zamani ya china .sasa hivi ni vifaa tu.hata mkija million ,jamaa anabonyeza kitufe tu mmekwisha.hii sio vita ya watanzania ni vita vyake kiwete .Na sisi hatutaki vita tunataka kujenga uchumi tu ,kilichobaki.
 
Sina uhakika wa maelezo hayo,ila ninachojua ni kwamba Wanajeshi wa Tanzania wameuawa huko Darfur.Sasa ni group gani haijulikani.Watanzania tuna maneno sana.tulikuwa na jeshi imara zamani sasa hivi kuna wanasiasa tu.Tusijidanganye kupigana vita hata mara moja.macho ya mbinu za majeshi yetu ni kuhangamiza upinzani na sio kulinda mipaka siku hizi.kwa hiyo tutachapya kama watoto wadogo.Hatuna vifaa vya kisasa tunatengemea wingi wa askari,hii ni stahili ya zamani ya china .sasa hivi ni vifaa tu.hata mkija million ,jamaa anabonyeza kitufe tu mmekwisha.hii sio vita ya watanzania ni vita vyake kiwete .Na sisi hatutaki vita tunataka kujenga uchumi tu ,kilichobaki.

tuko imara kuliko wakati mwingine wowote uliopita, nenda kamwambie kagame hatuwezekaniki.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom