BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,413
- 8,199
Akizungumza na Jarida la Jeune Afrique, Rais wa Rwanda, Paul Kagame amethibitisha kuwa atawania nafasi hiyo kwa mara ya 4 kwasababu Wananchi bado wana imani naye.
Kagame aliulizwa anachukuliaje uamuzi wake kwa kulinganisha na Mapinduzi yanayoendelea katika Nchi za Afrika Magharibi, ambapo alijibu Wananchi wa Rwanda ndio wenye uamuzi wa mwisho na yeye ataendelea kuwatumikia kwa kadri anavyoweza.
Kwa uamuzi huo sasa ni rasmi Kagame amefuta kauli yake ya Aprili 2023, aliyosema anatazamia kustaafu na kukabidhi Madaraka baada kuwa Rais kwa miaka 23. Kagame amekuwa Rais tangu mwaka 2000 ambapo mwaka 2015 Serikali ilifanya mabadiliko ya Katiba na kuondoa ukomo wa mihula 2 ya Utawala
===========
Rwanda's President Paul Kagame has said he will run for a fourth term in next year's presidential election.
“Yes, I am indeed a candidate,” Mr Kagame told French-language magazine Jeune Afrique on Tuesday.
Asked about what the West would think about his decision to run again, Mr Kagame said, "I'm sorry for the West, but what the West thinks is not my problem".
"I am happy with the confidence that the Rwandans have in me. I will always serve them, as much when I can."
Mr Kagame had in April said he was looking forward to retiring and handing over power after 23 years in office.
The country's ruling party, the Rwandan Patriotic Front (RPF-Inkotanyi), retained Mr Kagame as its chairman in April. He has led the party since 1998.
Mr Kagame has been president of the East African nation since 2000. A controversial referendum in 2015 removed a two-term constitutional limit for presidents.
He won the last election in 2017 with 98.8% of the vote.
Rwanda under President Kagame has enjoyed relative political stability but critics and human rights groups accuse his government of limiting political freedoms and suppressing dissent.
MWANANCHI