Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,517
Hiyo ni kwa mujibu wa Kenyans.co.ke walioweka swali kupitia ukurasa wao wa Twitter kwamba "Je, iwapo Afrika Mashariki ingeongozwa na mmoja wa marais wanne walio madarakani, nani angefaa?"
Mpaka sasa kura zilizopigwa ni 25,000 na matokeo ni kama yafuatayo:
1. Paul Kagame - 59%
2. Uhuru Kenyatta - 21%
3. Samia Suluhu - 12%
4. Yoweri Museveni - 7%
Mpaka sasa kura zilizopigwa ni 25,000 na matokeo ni kama yafuatayo:
1. Paul Kagame - 59%
2. Uhuru Kenyatta - 21%
3. Samia Suluhu - 12%
4. Yoweri Museveni - 7%