Kagame na Museveni wametangulia kumpongeza Uhuru

chabusalu

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
8,084
5,203
Tume ya taifa ya uchaguzi Kenya imemtangaza Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne.

Rais Kenyatta alipata kura 8, 203, 290.. ambayo ni asilimia 54 naye mpinzani wake mkuu, mgombea wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance Raila Odinga akapata kura milioni 6,762,224 ambayo ni asilimia 44.

Kwa viongozi wa Afrika Mashariki, Rais Paulo Kagame na wa Uganda Yoweri Museveni wamekuwa wa kwanza kumpongeza Rais Uhuru Kenyata.

Chanzo: BBC
 
Tume ya taifa ya uchaguzi Kenya imemtangaza Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne.

Rais Kenyatta alipata kura 8, 203, 290.. ambayo ni asilimia 54 naye mpinzani wake mkuu, mgombea wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance Raila Odinga akapata kura milioni 6,762,224 ambayo ni asilimia 44.

Kwa viongozi wa Afrika Mashariki, Rais Paulo Kagame na wa Uganda Yoweri Museveni wamekuwa wa kwanza kumpongeza Rais Uhuru Kenyata.

Chanzo: BBC
Wa kwetu bado hajaamini matokeo...

Inshaallah kesho atamtuma Makamu wake amwakilishe kwenye kutuma salamu.
 
Jamaa alishaharibu kutoa pongezi ni kujichanganya mkuu na nikuendela kudhihirisha mataifa ya nje yanachosema kuhusu utawala huu
 
Lazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.

Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.

Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.

Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.
 
Madikiteta lazima waanze nawashangaa sana wanaojiita wapinzani ambao ata mimi mwao niliwaona wana akili na nikawapa kura 2015...sasa natamka...mtajuta maisha yenu yote ...nmeamini CDM ipo mikononi mwa bussness man no Party at all...2015 mliona mmeibiwa na kujfanya ohhho tuanenda The Hegue leo mnaona Uhuru kuua Mkurugenzi wa IT wa Tume ya Uchaguzi na kuhack matokeo ni sahihi...sasa aminini kua mmeshaondolewa kwenye mstari na wamiliki wapya wa chama sasa wanaotafta biashara Kenya baada ya JPM kudai VAT kila mahali.. nisiwaskie wakilalamika kuanzia 2025 cz najua 2020 JPM hana mpinzani mazuri aliyofanya ikiwemo kubana mirija ya wezi ....nataman mlizwe kwenye syastem ya uchaguzi 2025 na naamin itakua hivyo...na huu uzi nitaupdate. ..mkasherekee salama EL ...RA n ur CDM team
 
Siasa baaana......hahahahahahahahahhaaaaaaaaaaaaa, ujuaji mwingiiiiiiiiiiii. Kila mmoja anajiona bora kuliko mwenzie.
 
Lazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.

Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.

Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.

Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.
Na hata hivo hakuna muda uliopangwa kutoka pongezi. Raisi anatoa kwa wakati wake japo pia halazimishwi kupongeza.
 
Lazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.

Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.

Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.

Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.
Hahahha muda muafaka

What goes around always comes around
 
Madikiteta lazima waanze nawashangaa sana wanaojiita wapinzani ambao ata mimi mwao niliwaona wana akili na nikawapa kura 2015...sasa natamka...mtajuta maisha yenu yote ...nmeamini CDM ipo mikononi mwa bussness man no Party at all...2015 mliona mmeibiwa na kujfanya ohhho tuanenda The Hegue leo mnaona Uhuru kuua Mkurugenzi wa IT wa Tume ya Uchaguzi na kuhack matokeo ni sahihi...sasa aminini kua mmeshaondolewa kwenye mstari na wamiliki wapya wa chama sasa wanaotafta biashara Kenya baada ya JPM kudai VAT kila mahali.. nisiwaskie wakilalamika kuanzia 2025 cz najua 2020 JPM hana mpinzani mazuri aliyofanya ikiwemo kubana mirija ya wezi ....nataman mlizwe kwenye syastem ya uchaguzi 2025 na naamin itakua hivyo...na huu uzi nitaupdate. ..mkasherekee salama EL ...RA n ur CDM team
Ujinga haujawahi kumwacha mtu salama.Yaani unasema "mtajuta?"!!! Nani sasa unayemtishia atajuta iwapo nawe ni mtanzania!Yaani we ufurahi halafu mwingine ajute kisa?Unadhani upinzani ni kabila hadi mtu ajute kwa kuzaliwa kabila hilo?Au unadhani ni lazima kuwa kiongozi wa kisiasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima muelewe kuwa Tanzania ndio wasuluhishi wakuu wa matatizo ya kisiasa nchini Kenya. Hatuwezi kuanza kutoa matamko mapema wakati hali bado ni tete nchini Kenya.

Mwaka 2007 walipoingia kwenye machafuko ya kisiasa hawakukimbilia Uganda au Rwanda bali walikuja Tanzania kutuomba tuwasaidie.

Ni lazima serikali iwasiliane na pande zote kabla ya kutoa tamko.

Muda mwafaka ukifika, salamu za pongezi zitatumwa.

..not this time.

..tumepoteza heshima ya kuwa wasuluhishi ikiwa kutatokea matatizo.
 
Tutegemee mengi zaidi ya uhusiano kudorola.....na minyukano zaidi hasa ya maneno kama taarabu vile!!
 
Kkaka kwa mara ya kwanza nimeamini your a Gentleman achana na wapigaji wamekodoa macho kuangalia upenyo. ..sasa wanasuport aliyeua IT Director wa Tume ya uchaguzi kenya na kumkata mikono hawa ni wapinzani au wapiga dili ...nmeamin CDM iliuzwa 2015. ...Maskini na wasio na elimu ndio wanadanganywa bila kujua wenzao wamefcha ela Australia na wamekabdhi chama
Unaandika kiulalamishi utadhani umeachika.
 
Tume ya taifa ya uchaguzi Kenya imemtangaza Rais Uhuru Kenyatta wa chama cha Jubilee kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne.

Rais Kenyatta alipata kura 8, 203, 290.. ambayo ni asilimia 54 naye mpinzani wake mkuu, mgombea wa muungano wa upinzani wa National Super Alliance Raila Odinga akapata kura milioni 6,762,224 ambayo ni asilimia 44.

Kwa viongozi wa Afrika Mashariki, Rais Paulo Kagame na wa Uganda Yoweri Museveni wamekuwa wa kwanza kumpongeza Rais Uhuru Kenyata.

Chanzo: BBC
MADIKITEITA WAKUBWA
 
Back
Top Bottom