Kagame: Mkitaka nilete Amani DRC Nilipeni!!!

Kagame: Mkitaka nilete Amani DRC Nilipeni!!!

Mkuu kunatatizo gani kwa maendeleo ayaletayo!
kunatatizo gani ukiua mmoja kwa maendeleo na tiba ya wengi!?
NAONA PROPAGANDA ZIMEJAA ZAIDI KWA KAGAME!
Nakubaliana na wewe,lakini kumbuka unapomuua rais wa nchi unachochea chuki kubwa ,ambayo uwezi hata kidogo ukalinganisha na maendeleo unayoyaleta,watu wa Rwanda na hasa wahutu wanamajeraha makubwa sana ndani ya mioyo yao na hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi.Juvenali Habyarimana ndiye aliyekuwa rais wa Rwanda kabla ya vita vya 1994,kuzuka vya vita hivyo kulisababishwa na kifo chake,watu wanaozidi laki nane walipoteza maisha wengi wao wakiwa watusi,katika ustarabu wa maisha ya binadamu unawezaje kulinganisha garama ya watu waliopoteza maisha na maendeleo yaliyoletwa na dikteta Kagame?Nani aliyemuua Laurent Kabila?nani aliyemua prof mwaikyusa aliyekuwa mwanasheria aliyebobea na rafiki mkubwa wa mahakama ya rufaa Tanzania?Mkuu achana na Kagame ni mtu hatari sana!!
 
sijui kagame anafanya nini, ila alichofanya kigali kinatosha kumuheshimu kuliko hao maraisi wanaojidai wana demokrasia kumbe waongo tu,.
kwanza hebu nitajieni nchi moja tu africa inayoendeshwa kwa misingi ya demokrasia. Moja tu!!
kagame mmbaya, Museven mmbaya
nan mbaya zaidi???
Kuhusu Congo well anahusika, je ni peke yake??? wazungu je ambao wanahusika kuharibu Afrika nzima??
Wampe hiyo hela apige kazi, na Tanzania tumpe bandari apige kazi me nishachoshwa na uvivu na longolongo chini ya mwamvuli wa Demokrasia.
 
Ukitaka Congo itulie fanyeni Rwanda Mkoa mpya wa 27 wa Congo, serikali ya Kwanza iongozwe na Kagame, Afrika yote itaneemeka
 
hahahah kichwa mgando hiki duuu!

Haya bwana wewe ambae ni kichwa kilichoyeyuka, but the truth is Kagame is the most bad leader in the great lake countries in case you dont know. Bara rais wangu hata kama wamseme vibaya but he is a man of the people
 
sio rahisi kiivyo kama unavyofikiri

Kwani kuna ugumu gani kwa kanchi ka kifala tu kama Rwanda, tuliipiga Uganda ambayo ni kubwa mara tatu ya Rwanda sembuse kale Karwanda
 
sijui kagame anafanya nini, ila alichofanya kigali kinatosha kumuheshimu kuliko hao maraisi wanaojidai wana demokrasia kumbe waongo tu,.
kwanza hebu nitajieni nchi moja tu africa inayoendeshwa kwa misingi ya demokrasia. Moja tu!!
kagame mmbaya, Museven mmbaya
nan mbaya zaidi???
Kuhusu Congo well anahusika, je ni peke yake??? wazungu je ambao wanahusika kuharibu Afrika nzima??
Wampe hiyo hela apige kazi, na Tanzania tumpe bandari apige kazi me nishachoshwa na uvivu na longolongo chini ya mwamvuli wa Demokrasia.

Botswana ni democratic state. South Africa ni democratic state. Namibia. Angola. Zambia hata Tanzania inaagukia kwenye tafsiri ya demokrasia.

Kama Kagame angefanya ubabe kwake hakuna ambaye angemlalamikia, tatizo ni kuwa ameingia kwenye nchi nyingine na kuathiri maslahi ya wezi wakubwa.

Anyway...it is sad that we see the beginning of the end of Kagame, let us wait and see how long it will take
 
Kabila mwenyewe ni dhaifu sana analialia tu hana hata jeshi..linchi lote lile eti Karwanda kanalingana na Mtaa tu wa kule Goma yeye anasema kanamsumbua..kubwa jinga
 
Kwani kuna ugumu gani kwa kanchi ka kifala tu kama Rwanda,
tuliipiga Uganda ambayo ni kubwa mara tatu ya Rwanda sembuse kale Karwanda
Babu kagame ana jeshi fiti balaa aisee acha kabisa,usifananishe na hawa wetu wana vitambi balaa
 
unachongangania tanzania ni nini kwa nini usierudi kwenu rwanda tulia mwache mwanaume afanye kazi weweeeeeeeee

Wewe BASIASI ndo urudi kwenu Rwanda maana wewe ndo unasifia nchi uliyozaliwa na Rais wako Kagame. Bornagain angekuwa Mnyarwanda angeungana na wewe kusifia ushuzi wa Kagame lakini kwa kuwa Bornagain siyo Mnyarwanda kama wewe ndo maana ameclash point za Kagame kupewa eti Bandari yetu aiongoze. Haya soma hapa umjue vizuri huyo baba yako Kagame ambae ni muuaji wa kutupwa Paul Kagame
 
Sio kweli kwamba he can fix congo problems easily like that, alizungumza kwa jazba sana zaidi matatizo ya congo watayamaliza wacongo wenyewe.

Mkuu hiyo ndio kawaida yake, ni mara chache kumuona anazungumza ametulia, kila wakati hua anataka kujahami. Juzi juzi nilimuona mwandishi wa habari Kigali Rwanda akimuhuliza Kagame swali ya kawaida tu lakini ulimjibu kwa jazba na hasira, vile vile nilimuona kwenye mkutano wa Kampala akiwa na M7 na Kabila Jr, wote walijieleza kwa zamu - ilipofika zamu ya Kabila Jr. kujieleza nilimuona Kagame akishika kichwa mara anatupa mikono yaani anaonyesha wazi wazi kwamba anakeleka na kile anacho zungumza Mh.Kabila Jr, mtu kama rais wa nchi kuna ethics ambazo unapaswa kuzi-observe hata kama hukubaliani na mtoa hoja, akumbuke naye kama Rais mwenzake he deserves some respect.

Sio fresh mtu kuonyesha wazi wazi kuwadhalau ma Rais wenzako, unajijengea u-enemy hisiyo wa lazima, hata hili la kusema akipewa bandari ya DSM ana uwezo wa kuiendesha kiufanisi kuliko Kiongozi wetu ni dhalau za chini chini!! Asione watu wamekaa kimya akafikili ni wajinga.
 
Matatizo ya Congo yameanza wakati Kagame na Kikwete hata hawajazaliwa. Acha kula maneno ya akina CNN na BBC.

Kagame ni mmoja ya WALAJI wa Utajiri wa Congo ila si yeye peke yake.

Hebu waulize akina NOKIA, Samsung, Apple na ndugu zao, madini ya kutengenezea Betri za hivyo vifaa vyao, asilimia zaidi ya 80 inatoka wapi? Ukishajua hapo fikiria kuwa ni haya madini tu, je dhahabu? Almasi nk nk.

https://www.youtube.com/watch?v=IG7_qfN0mTA
https://www.youtube.com/watch?v=3OWj1ZGn4uM

Nyingine tafuta mwenyewe....
No Kagame has no any point on DRC, he has been financing & supporting Rwanda soldiers M23 and b4 that Laura Nkunda, but THANKS GOD NOW WILL FACE JK WHO IS LEADING SADC SOLDIERS THERE....

JK sent JWTZ kama viongozi wa vita kule Congo, M23
wakakimbia haraka, JWTZ wakiongoza majeshi ya SADC watawaua na kuwateketeza, Kagame knows well TZ, who we are, what we are for, akileta upuuzi tena hata yy tunaua...!!! na EAC tunamtoa, Manina zake...!!!
 
Haya bwana wewe ambae ni kichwa kilichoyeyuka, but the truth is Kagame is the most bad leader in the great lake countries in case you dont know. Bara rais wangu hata kama wamseme vibaya but he is a man of the people
hapa hatupo kwenye man of the people tupo kwenye maendeleo huyu wako kama rafiki kweli ukanywe naye chai mkuu!
 
Kabila mwenyewe ni dhaifu sana analialia tu hana hata jeshi..linchi lote lile eti Karwanda kanalingana na Mtaa tu wa kule Goma yeye anasema kanamsumbua..kubwa jinga
hakuna mkuu ni fitna zao kwa kagame THE BEST PRESIDENT IN AFRICA, WANALETA MAJUNGU TUU!
 
unachongangania tanzania ni nini kwa nini usierudi kwenu rwanda tulia mwache mwanaume afanye kazi weweeeeeeeee
Ni mjinga tu ndio anayeweza kumuamini Kagame, ww kama huwajui wanyarwanda ungekaa kimya, ni hao hao M23 ni haow aliomsaidia Museveni kuichukua Uganda, Kagame ndiye aliyemtungua Habyarimana na uzi wake ulikuwa humhumu mpaka na mauaji ya Gen Imran Kombe, msitake kuturudisha nyuma kwa hayawani Kagame endeleeni kumtetea eti mataifa ya Magharibi yampe hela wakati yalisema yeye ndiye muhusika Mkuu.
Kuna siku alimkamata Muasi wa DRC na mpaka leo amemshikilia ndio mnataka kutudanganya km yeye Ngojeni majeshi yetu ya JWTZ yaende atakavyohaha, na kweli hata yeye tutamzamisha kwani tunamjua anategemea madini ya DRC na bandari 7 reli yetu yote tutafunga mpeni SALAMU HIZO
 
Kwani kuna ugumu gani kwa kanchi ka kifala tu kama Rwanda, tuliipiga Uganda ambayo ni kubwa mara tatu ya Rwanda sembuse kale Karwanda

Huna maana wewe na mbumbu wa sayansi ya vita,unalinganisha vita ya Uganda ambayo sehemu kubwa WATZwalipewa ushirika na Waganda wenyewe wakionyesha wapi askari wa Idd Amini wamejificha na waganda wakimchukia Idd Amini na serikali yake?.
 
Good...!!

VITA HATA KABLA JK & Kagame hawajazaliwa vilikuepo, fine.... kwann kagame aendeleze vita?

So je SADC waache mambo yaendelee kama Kagame anavyofanya upuuzi wake? Watu wanakufa, teseka, refugees kila miaka...??

Simply NO...!!! Bravo SADC


Matatizo ya Congo yameanza wakati Kagame na Kikwete hata hawajazaliwa. Acha kula maneno ya akina CNN na BBC.

Kagame ni mmoja ya WALAJI wa Utajiri wa Congo ila si yeye peke yake.

Hebu waulize akina NOKIA, Samsung, Apple na ndugu zao, madini ya kutengenezea Betri za hivyo vifaa vyao, asilimia zaidi ya 80 inatoka wapi? Ukishajua hapo fikiria kuwa ni haya madini tu, je dhahabu? Almasi nk nk.

https://www.youtube.com/watch?v=IG7_qfN0mTA
https://www.youtube.com/watch?v=3OWj1ZGn4uM

Nyingine tafuta mwenyewe....
 
Nakubaliana na wewe,lakini kumbuka unapomuua rais wa nchi unachochea chuki kubwa ,ambayo uwezi hata kidogo ukalinganisha na maendeleo unayoyaleta,watu wa Rwanda na hasa wahutu wanamajeraha makubwa sana ndani ya mioyo yao na hii ni hatari sana kwa usalama wa nchi.Juvenali Habyarimana ndiye aliyekuwa rais wa Rwanda kabla ya vita vya 1994,kuzuka vya vita hivyo kulisababishwa na kifo chake,watu wanaozidi laki nane walipoteza maisha wengi wao wakiwa watusi,katika ustarabu wa maisha ya binadamu unawezaje kulinganisha garama ya watu waliopoteza maisha na maendeleo yaliyoletwa na dikteta Kagame?Nani aliyemuua Laurent Kabila?nani aliyemua prof mwaikyusa aliyekuwa mwanasheria aliyebobea na rafiki mkubwa wa mahakama ya rufaa Tanzania?Mkuu achana na Kagame ni mtu hatari sana!!

Fafanua vizuri.jamaa aliwala vichwa hawa wajamaa duuh
 
Huna maana wewe na mbumbu wa sayansi ya vita,unalinganisha vita ya Uganda ambayo sehemu kubwa WATZwalipewa ushirika na Waganda wenyewe wakionyesha wapi askari wa Idd Amini wamejificha na waganda wakimchukia Idd Amini na serikali yake?.

Wewe mtaalam wa vita tena vita ya kisayansi unamaanisha kuwa tusingepewa support na wananchi wa Uganda kuonyesha wapi askari wa Uganda walipo vita ya Uganda ingetushinda? Kwani maaskari wa Uganda walikuwa insurgence wanaishi na raia mpaka raia hao watusaidie kuwatambua? Vipi kwani unaona kuwa raia wa Rwanda nao hawawezi kutusaidia kuonyesha walipo askari wa Rwanda ama unadhani Rwanda Defense Force ni rafiki wa kila askari na raia, kama ni rafiki wa kila askari na raia ni kitu gani kilimkimbiza uhamishoni South Africa mwaka 2010 Gen. Faustin Kayumba Nyamwasa's aliekuwa mkuu wa Rwanda Defense Force na Colonel Patrick Karegeya aliekuwa mkuu wa usalama kwenye jeshi la Rwanda. Endelea kusoma na uelewe vizuri kupitia kwa hii link hapa broo http://ellyakanga.wordpress.com/tag/lt-gen-kayumba-nyamwasa/
 
Hukuelewa Point yangu. Neno langu ni hili, hata ukimuuwa Kagame na kuiteketeza Rwanda, bado vita itaendelea. Sasa kama sababu ni Kagame, kwa nini vita iendelee. Mzizi siyo Kagame. Kamage ni tawi tu linalofaidi kama matawi mengine na ukitaka kumaliza tatizo, tafuta mzizi.
Good...!!

VITA HATA KABLA JK & Kagame hawajazaliwa vilikuepo, fine.... kwann kagame aendeleze vita?

So je SADC waache mambo yaendelee kama Kagame anavyofanya upuuzi wake? Watu wanakufa, teseka, refugees kila miaka...??

Simply NO...!!! Bravo SADC
 
Back
Top Bottom