Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,626
- 18,227
...hizo ni discredited theory tumezisikia for over 15 yrs,talking points zako ni za hao genociders wanaotafutwa dunia nzima and seems ignorance yako ya Rwanda/Congo understanding ni ya hali ya juu or unaelewa lakini purposefully you know whats up,only ****** na watu kama wewe ndio wataamini shoot down of the plane ndio ilifanya one milion tutsi wachinjwe within 90 days...mpuuzi sana wewe!!
Mkuu Koba nimekushika pabaya na ngojera zako za a tall order ndio maana unakuja juu, unaweza kusema mimi ni mpuuzi hilo alinipi shida i.e aliwezi kunizuia kukemea nchi yenu kuwa hisiwe inavamia mara kwa mara nchi nyingine huru with impunity na kuleta wasi wasi katika kanda NZIMA ya Maziwa Makuu - nani kawapa mandate ya kuingilia uongozi wa nchi nyingine au kuwachagulia viongozi wao? Nataka nieleweke kwamba na mimi kama binadamu wengine tulisikitishwa na GENOCIDE lakini two wrongs haziwezi ku-make a RIGHT - tulieni nchini mwenu mu-reconcile na sio kuvamia nchi za wengine kwa visingizio vya kila aina - leo Rais wa Merikani Baraka Obama kasema nini kuhusu adventure za jeshi la RWANDA, je na huyo ni mpuuzi kama MIMI?
Mtu akitaka kukujua mind set yako na wenzako ambao wana tatizo hilo by default Angalia kwenye nyekundu hapo juu ndio Dunia itajua kwamba bado ina kibarua kigumu kuwa elimisha juu ubaya wa kuabudu/kuhusudu ukabila (why una-insist kwamba wa Tutsi pekee ndio walio uwawa within 90 days - repeat WATUTSI!! Mbona uzungumzii moderate Hutus possibly na Watwa, unasukumwa na ukabila wako wa Kitutsi, watu wengine unawaona si binadamu ndio mlivyo-arrogant!! Tumeishi na watusi kwa muda mrefu wakiwa ni wakimbizi katika mkoa niliko zaliwa, wengi wao walikuwa wanazungumza lugha ya kienyenji fluently wala mtu mgeni hasingiweza kujuwa kwamba ni Watutsi, usifikili nakurupuka tu kuzungumza hapa - jirekebisheni mheshimu makabila mengine bila hivyo amani ya kudumu nchi mwenu itakuwa ni ngumu kuwa-attained).
Dunia imechoshwa na vurugu zenu, hivi inaingia akilini kwamba watu minority wanaweza kutawala majority 4ever? Angalia kilicho tokea Africa Kusini ndio utajifunza kitu, tunalisema hili kwa nia nzuri tu, actually tunaitakia mema RWANDA ndio maana tunakuwa wawazi hatutaki kuwa wanafiki - lakini watu kama wewe mweye a skewed mind anaye ishi kwenye dream land kwa kukosa kuona mbali, sina shaka utaniona mimi ni MPUUZI.