Kagame: Mkitaka nilete Amani DRC Nilipeni!!!

Kagame: Mkitaka nilete Amani DRC Nilipeni!!!

Duduwasha

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2010
Posts
5,703
Reaction score
3,663
Sasa baada ya Mbabe Gadaffi sasa kuna mmbabe mpya wa Africa naye ni Raisi wa Rwanda mwenye akili nyingi Bwana Paul Kagame.... akitoa hotuba yake ya kulaani nchi za Magharibi na Marekani kuwa Rwanda inawasaidia waasi wa Congo ni suala la kizushi kupindukia..

kwani ni sawa na mtu aue mtu mwingine barabarani kisha auchukue mwili wa marehmu na auweke mrangoni kwako then aende polisi kusema kisha polisi wakupeleke mahakamani kwa kosa la kuua....

so nchi za Ulaya na marekani ndizo zimeiua DRC kwani zimekuwa zikifadhiri silaha na wanajeshi wengi kila mwaka ndani ya hiyo nchi then wameona wameshindwa lengo lao hivyo wameamua kuisingizia Rwanda...

Sasa kagame kawaambia kuwa kama ndio hivyo yeye anaweza kurejesha amani DRC wamlipe na hiyo kazi haitomshinda kama wao walivyoshindwa... na yeye kwa upande wake kasema anayo matatizo yake so huo muda wa kuleta amani DRC angeweza kutatua matatizo yake ya nchini kwake....

Ukweli na uwazi ameuonesha kuwa kama nchi za magharibi zina pesa nyingi wafute hiyo mipango yao ya kuweka majeshi na silaha wampe pesa yeye apige kazi... na jinsi nimsikiavyo huyu jamaa mbona DRC itatulia...

Akimaliza huko tumpe kama alivyoomba aishike uongozi kwa Tanzania kwa muda wa miezi miwili basi ataigeuza kama Dubai(Alishawahi kuomba Bandari aiongoze kwa Muda tu muone kazi yake)

Ndio Kagame wape wape hao Vidonge Vyao....
 
Kagametroops.jpg

Those protesting at William Penn call Rwanda's leader General Paul Kagame, rather than president, to emphasize their conviction that he rules by force, not by law or popular election.
Close



[h=5]Paul Kagame[/h]November 29

Tell the person next to you they are special and that you love them! If there's nobody next to you go out and find someone!
 
Kagame says $I.6B should be paid to Rwanda to carry RDC burden
By editor On 13 Dec, 2012 At 03:01 PM | Categorized As News | With 0 Comments
By Robert Mugabe
newsdesk@greatlakesvoice.com
Kigali-Rwanda-addressing the national dialogue commonly known as "Umushyikirano", President Kagame said the $1.6Billion paid to Monusco to fix Congolese issues is a waste.
President Kagame surprised the hundreds of government officials, local government, diplomats, Diaspora when he commented on DRC crisis saying "If you want me to solve the problem of others, pay me for it. The so called UN group of experts' reports is pre-made before the investigations are done. The sanctions too are planned earlier.
"Why do you have pay such big money to a big number of UN troops to fix DRC issues, after failing the blame is on us. No, it's not right to blame the neighbors, we will never accept that," Kagame said
"Rwandas we have got our own problems to attend to. If you want me again to attend to the issues of DRC, then you need to pay me.
Africans must reject the stereotypes placed upon us, we must fight back. If they push you, don't budge.
This $1.6Billion paid annually, should be given to us and then, we be blamed if we fail. But you can't blame the neigbour for the issues of another country. Rwandans should resist that at all costs."

Source
 
Kweli wewe ni Duduwasha ndo maana unajaribu kuongea ingawa huongei, unamjua Paul Kagame ama unamskia tu? Hana anachokijua zaidi ya siasa kandamizi na uuaji tu
 
Kweli wewe ni Duduwasha ndo maana unajaribu kuongea ingawa huongei, unamjua Paul Kagame ama unamskia tu? Hana anachokijua zaidi ya siasa kandamizi na uuaji tu
Bora Kagame mtu wa kazi hata kama mbabe ila anajua wananchi wanatanachotaka naye kaona ni kazi ndio msingi wa kila kitu
 
Kweli wewe ni Duduwasha ndo maana unajaribu kuongea ingawa huongei, unamjua Paul Kagame ama unamskia tu? Hana anachokijua zaidi ya siasa kandamizi na uuaji tu
Funguka zaidi kwa faida ya sisi makabwela tusiomjua Kagame. U mean ule mgogoro ni yeye anafanya featuring au anasingiziwa na mataifa ya magharibi? Ikiwa ni yeye ana maslahi gani na mgogoro huu? Asante
 
'Heading' ya uzi ilinistua kweli, ila sasa nimeelewa. Kagame has a point on DRC issue.
 
'Heading' ya uzi ilinistua kweli, ila sasa nimeelewa. Kagame has a point on DRC issue.


No Kagame has no any point on DRC, he has been financing & supporting Rwanda soldiers M23 and b4 that Laura Nkunda, but THANKS GOD NOW WILL FACE JK WHO IS LEADING SADC SOLDIERS THERE....

JK sent JWTZ kama viongozi wa vita kule Congo, M23
wakakimbia haraka, JWTZ wakiongoza majeshi ya SADC watawaua na kuwateketeza, Kagame knows well TZ, who we are, what we are for, akileta upuuzi tena hata yy tunaua...!!! na EAC tunamtoa, Manina zake...!!!
 
No Kagame has no any point on DRC, he has been financing & supporting Rwanda soldiers M23 and b4 that Laura Nkunda, but THANKS GOD NOW WILL FACE JK WHO IS LEADING SADC SOLDIERS THERE....

JK sent JWTZ kama viongozi wa vita kule Congo, M23
wakakimbia haraka, JWTZ wakiongoza majeshi ya SADC watawaua na kuwateketeza, Kagame knows well TZ, who we are, what we are for, akileta upuuzi tena hata yy tunaua...!!! na EAC tunamtoa, Manina zake...!!!
sio rahisi kiivyo kama unavyofikiri
 
Kagametroops.jpg

Those protesting at William Penn call Rwanda's leader General Paul Kagame, rather than president, to emphasize their conviction that he rules by force, not by law or popular election.
Close



Paul Kagame

November 29

Tell the person next to you they are special and that you love them! If there's nobody next to you go out and find someone!

What is really going on in the mind of this great son of Africa/ Probably we do not understand him...probably he thinks with fantasies and not realities...probably we are out of touch with reality....I just have many unanswered questions!!!
 
Anaweza kuleta amani drc maana niyeye anayesababisha machafuko.huyu si mtu wa kumuachia maana akimaliza drc anaweza kuitaka TZ who knows
 
Kweli wewe ni Duduwasha ndo maana unajaribu kuongea ingawa huongei, unamjua Paul Kagame ama unamskia tu? Hana anachokijua zaidi ya siasa kandamizi na uuaji tu

unachongangania tanzania ni nini kwa nini usierudi kwenu rwanda tulia mwache mwanaume afanye kazi weweeeeeeeee
 
Sasa baada ya Mbabe Gadaffi sasa kuna mmbabe mpya wa Africa naye ni Raisi wa Rwanda mwenye akili nyingi Bwana Paul Kagame.... akitoa hotuba yake ya kulaani nchi za Magharibi na Marekani kuwa Rwanda inawasaidia waasi wa Congo ni suala la kizushi kupindukia..

kwani ni sawa na mtu aue mtu mwingine barabarani kisha auchukue mwili wa marehmu na auweke mrangoni kwako then aende polisi kusema kisha polisi wakupeleke mahakamani kwa kosa la kuua....

so nchi za Ulaya na marekani ndizo zimeiua DRC kwani zimekuwa zikifadhiri silaha na wanajeshi wengi kila mwaka ndani ya hiyo nchi then wameona wameshindwa lengo lao hivyo wameamua kuisingizia Rwanda...

Sasa kagame kawaambia kuwa kama ndio hivyo yeye anaweza kurejesha amani DRC wamlipe na hiyo kazi haitomshinda kama wao walivyoshindwa... na yeye kwa upande wake kasema anayo matatizo yake so huo muda wa kuleta amani DRC angeweza kutatua matatizo yake ya nchini kwake....

Ukweli na uwazi ameuonesha kuwa kama nchi za magharibi zina pesa nyingi wafute hiyo mipango yao ya kuweka majeshi na silaha wampe pesa yeye apige kazi... na jinsi nimsikiavyo huyu jamaa mbona DRC itatulia...

Akimaliza huko tumpe kama alivyoomba aishike uongozi kwa Tanzania kwa muda wa miezi miwili basi ataigeuza kama Dubai(Alishawahi kuomba Bandari aiongoze kwa Muda tu muone kazi yake)

Ndio Kagame wape wape hao Vidonge Vyao....

DUDUWASHA,
kutokana na maelezo yako, ni wazi, wewe haumjui Rais Kagame na pia uko mbali sana na hali ya mambo mashariki mwa DRC. Fanya utafiti mdogo sana, utajua who is Paulo Kagame, who is M7 and their hidden agenda on eastern DRC. Pole kwa kumsifia HITLER WA AFRIKA
 
Anaweza kuleta amani drc maana niyeye anayesababisha machafuko.huyu si mtu wa kumuachia maana akimaliza drc anaweza kuitaka TZ who knows
chuki za wazungu kwa KAGAME nenda kagame nenda piga kazi!
 
Huyu jamaa ipo siku ataingia mikononi mwa wanaomtafuta na hiyo itakuwa siku yake ya mwisho,na hatokuwa tena na nafasi ya kumuelezea mtu kitakachomkuta,maana watu bado wanamachungu na jinsi alivyomuua Juvenali Habyarimana[Mungu amuweke mahali pema peponi],naona kichapo cha 1994 zidi ya wapendwa wake bado hakijamtosha!
 
Sio kweli kwamba he can fix congo problems easily like that, alizungumza kwa jazba sana zaidi matatizo ya congo watayamaliza wacongo wenyewe.
 
Henge: Chuki gani mkuu?,kwa taarifa yako kagame ni gaidi na mbaguzi wa hali ya juu,yeye ndiye aliyemua Juvenali Habyarimana!!
Mkuu kunatatizo gani kwa maendeleo ayaletayo!
kunatatizo gani ukiua mmoja kwa maendeleo na tiba ya wengi!?
NAONA PROPAGANDA ZIMEJAA ZAIDI KWA KAGAME!
 
Back
Top Bottom