KAFULILA Mbashara Chanell 10 Leo!

KAFULILA Mbashara Chanell 10 Leo!

Kafulila anaeleza kuwa mfumo wa Magufuli wa fukuza fukuza yake watumishi wa Umma, unaweza usiwe na tija kwa Taifa, kwa kuwa upo uwezekano watumishi hao wa Umma wakafidiwa mabilioni ya shilingi......

Iwapo watumishi watapeleka malalamiko yao kwenye vyombo vya sheria kutokana na kufukuzwa kazi bila kufuata taratibu za sheria za kazi.....
 
Jamaa yupo vizuri sanaaaaaa,amesema watu waogope mfumo wasimuogope mtu,maana watu wanakuja na kupita,pia kasema swala la rushwa ni pana sana,kwa hyo rais anatakiwa kuwa makin sana,watu wanaomzunguka wanaweza wakawa wanmpotosha yy akiwa huko juu hajui kinachoendelea,point kubwa hapo ni katiba yenye kueleweka
 
Li i

Lini MTU ambaye kasoma BBA akachambua uchumi. Ameujulia wapi. BBA yenyewe kaunga unga ya jioni. Labda angekuwa lipumba hapo sawa. Kafulila amekalilishwa tu economic growth na economic development tegemeeni kusikua hayo tu.
Kwanini wamuite yeye studio na usiitwe wewe ambaye hujaungaunga!
 
Siasa tu ....tuliwaamini enzi hizo ...sasa inabidi tutengeneze kizazi kipya cha upinzani ...issues za uchumi waulizwe wachumi na wahasibu nguli ....wanasiasa waulizwe siasa ....
Kwani wanasiasa hawana taaluma au humpendi tu Kafulila?
 
Hivi ni kwanini ccm wanaogopa sana mijadala ya kisiasa?
 
6d64ecb2210283b0bb672ccf9ad67bd3.jpg

Usikose Leo Saa 4:00 Usiku "Mwelekeo wa Uchumi Tanzania"Mhe.Kafulila atakuwa akiuchambua uchumi toka JPM akabidhiwe nchi.

Mnakumbuka Kilichompata Kafulila kule Clouds?Ngoja tuone kama watamgwaya tena.
Fani yake ni nini??
Isije ikawa mfamasia anaongea uchumi.
 
Chanel ten wametoa ni sababu gani,wametoweka hewani?
 
Back
Top Bottom