M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,201
- 23,030
asije tu akatu-disappoint kama Lwakatare aliyekuwa anajiumauma juzi.![]()
Usikose Leo Saa 4:00 Usiku "Mwelekeo wa Uchumi Tanzania"Mhe.Kafulila atakuwa akiuchambua uchumi toka JPM akabidhiwe nchi.
Mnakumbuka Kilichompata Kafulila kule Clouds?Ngoja tuone kama watamgwaya tena.
au asije akaboa kama Nassari (huyu Nassari nahisi yuko mbioni kwenda TLP au CCM huyu).
