KAFULILA Mbashara Chanell 10 Leo!

KAFULILA Mbashara Chanell 10 Leo!

Siasa tu ....tuliwaamini enzi hizo ...sasa inabidi tutengeneze kizazi kipya cha upinzani ...issues za uchumi waulizwe wachumi na wahasibu nguli ....wanasiasa waulizwe siasa ....
 
Siasa tu ....tuliwaamini enzi hizo ...sasa inabidi tutengeneze kizazi kipya cha upinzani ...issues za uchumi waulizwe wachumi na wahasibu nguli ....wanasiasa waulizwe siasa ....
Atazungumza sasa,hutaki unataka ndio iko hivyo!
 
Siasa tu ....tuliwaamini enzi hizo ...sasa inabidi tutengeneze kizazi kipya cha upinzani ...issues za uchumi waulizwe wachumi na wahasibu nguli ....wanasiasa waulizwe siasa ....
Atazungumza sasa,hutaki unataka ndio iko hivyo!
 
Sasa sisi inatuhusu nini kutuletea habari za huyu jamaaaa alietoka ukawa na kuhamia ukawa? Hata tukikiu uliza wewe sisi inatuhusu nini kutuletea hizo ngonjera na wakati tayari tunaye kiboko ya mafisadi na walarushwa na wapiga madili ambae NI MAGUFULI?? Hata upinzani wafanye maajabu gani, tulisha amua Magufuli anatoshaa
Bangi mbaya sana!
 
Anachambua uchumi kwa kutia novel na Tigris?...keshakufa kisiasa,atahama mpaka achanganyikiwe...wanakigoma hawatasahau dharau yake kwa mawese.
Itakua wewe sio mtanzania Kafulila ndo mwanasiasa anayeogopwa na lumumba walifanya juu chini asirudi bungeni ana mpangilio mzuri wa mawazo na data kibao namuheshim sana asante kwa taarifa
 
Kafulila amekwisha,licha ya kujitoa NCCR kwenda Chadema ili apate nguvu,lakini wapi.Sasa anatumia nguvu nyiingi kujitengeneza kwenye media
Ndio kazi ya mwanasiasa! Lazima uwe kwy media,nk ili usipotee! Ni kawaida sana iyo
 
Ndio kazi ya mwanasiasa! Lazima uwe kwy media,nk ili usipotee! Ni kawaida sana iyo
Muda huu ndio mzuri,kwenda kuwaomba radhi wale wakulima wa mawese aliowakebehi,kuliko kuhangaika kwenye ma Tv anapoteza pesa yake bure
 
Naona kipindi kimeanza vizuri lakini naona channel 10 imekata!! Ndio hujuma zenyewe nini zimeanza?
 
Kafulila tayari keshaanza kutema cheche channel 10.

Anatoa data za uhakika kuwa ukuaji wa uchumi unaotangazwa na serikali ni 'feki' kwa kuwa ukuaji wa uchumi lazima uende sambamba na ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja.

Anaendelea kueleza kuwa kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja hali inazidi kuwa mbaya.......
 
Siasa tu ....tuliwaamini enzi hizo ...sasa inabidi tutengeneze kizazi kipya cha upinzani ...issues za uchumi waulizwe wachumi na wahasibu nguli ....wanasiasa waulizwe siasa ....
wewe ndio unatengeneza hiko kizazi?
 
Naona wameondoka na chanel ten wametubakizia tbc ili tuburudike na chereko. Ngoja nilale zng nisije nikamtukana mkaz wa pale magogon
 
Daah chanel ten no service ndo tumefika huku khaaa
 
Back
Top Bottom