Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,184
- 1,315
aisee ch 10 watarudi huyu jamaa akimaliza maana inaonekana alijiandaa sana kuuangusha ufalme wa kijani. Marudio ya hiki kipindi ni lini wakuu?
Ccm inakuuma nn?sikiliza madini,kafulila=wabunge 20 wa ccm!Muda huu ndio mzuri,kwenda kuwaomba radhi wale wakulima wa mawese aliowakebehi,kuliko kuhangaika kwenye ma Tv anapoteza pesa yake bure
Mkuu mbona kama unawasemea Kigoma kama vile upo kigoma?Anachambua uchumi kwa kutia novel na Tigris?...keshakufa kisiasa,atahama mpaka achanganyikiwe...wanakigoma hawatasahau dharau yake kwa mawese.
Siasa tu ....tuliwaamini enzi hizo ...sasa inabidi tutengeneze kizazi kipya cha upinzani ...issues za uchumi waulizwe wachumi na wahasibu nguli ....wanasiasa waulizwe siasa ....
NI MAFISADI WANGAPI WAMEFIKISHWA MAHAKAMANI NA KUKUTWA NA HATIA.Sasa sisi inatuhusu nini kutuletea habari za huyu jamaaaa alietoka ukawa na kuhamia ukawa? Hata tukikiu uliza wewe sisi inatuhusu nini kutuletea hizo ngonjera na wakati tayari tunaye kiboko ya mafisadi na walarushwa na wapiga madili ambae NI MAGUFULI?? Hata upinzani wafanye maajabu gani, tulisha amua Magufuli anatoshaa