Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 11,099
- 34,198
Huyo Bwana Kafulila nadhani hajafikiria sawa sawa, hivi unaweza vipi kuwapima MaRais mmoja mwenye miezi 18 madarakani na mwingine akiwa na siku 5?
Tunajua unaongea yote haya Kwa kuwa unalenga Teuzi lakini isiwe Kwa namna hii.
Tukubali kuwa Kiongozi wetu bado hajashughulikia kisawasawa suala la mfumko wa bei. Haiwezekani bei ya Petrol ishoot kutoka shilingi 1858 ya JPM hadi kufikia 3342 wakati wake tena ndani ya Mwaka Mmoja tu wa Uongozi wake 🙆
Tunajua unaongea yote haya Kwa kuwa unalenga Teuzi lakini isiwe Kwa namna hii.
Tukubali kuwa Kiongozi wetu bado hajashughulikia kisawasawa suala la mfumko wa bei. Haiwezekani bei ya Petrol ishoot kutoka shilingi 1858 ya JPM hadi kufikia 3342 wakati wake tena ndani ya Mwaka Mmoja tu wa Uongozi wake 🙆