Kafara za ngono

Kafara za ngono

we jamaa nilikuwaga nasoma madazako kwa umakini nikijuwa ni mkweli kumbe ni muongo kiasi hiki!!!!
 
Pili kafara huwa hazihitaji eti mtu ajirekodi na kuzituma mahali. Kafara ya ngono ww ukishafanya yako basi wao wanajua automatically. Hakuna digitalization kwenye mambo ya kafara
Hujamuelewa Mshana Jr,msome tena haswa para ya mwisho
 
1095572
 
we jamaa nilikuwaga nasoma madazako kwa umakini nikijuwa ni mkweli kumbe ni muongo kiasi hiki!!!!
Pole sana kuna wenzako wengine kama watano hivi nimewauliza uongo wangu uko wapi wameshindwa kuthibitisha.. Je wewe utaweza kufanya hivyo?
 
 
Kuna matukio makubwa na ya kutisha kwa hiki kipindi, sijui hata ni kwa nini aisee!!
 
Mafanikio, ukwasi, utajiri, umaarufu, nguvu na ushawishi husakwa kwa njia nyingi sana, halali na haramu
Kwenye njia halali kuna Mungu mmoja tuu... Lakini kwenye njia haramu kuna miungu.... Sasa hapa inategemea mafanikio yako umeyapata kupitia mlango upi
Tukiachana na yote hebu tujikite kwenye kafara hizi mbili... Kafara ya damu na kafara ya manii... Hivi viwili vina nguvu sana kwakuwa vyote vina uhai ndani yake na vina miunganiko ya kiroho na maranyingi chemistry yake huenda pamoja..
Miungu ya kafara zote hizi mbili hufanya kazi pamoja lakini kukiwa na utofauti fulani.... mungu wa kafara ya damu huteketeza kilicho hai... I mean chenye uhai kamili, wakati mungu wa kafara ya manii huteketeza kinachotaka kutengeneza uhai (sperm catalyst)... Yani lengo lao huwa ni moja... Kuharibu... Lakini pia kuna wakati viwili hivi (damu na manii) huchukuliwa vikachanganywa pamoja na kuumbwa kitu kingine tofauti kabisa(kiumbe roho)
Hivi vitu vyote vya kuumbwa na binadamu huwa na kikomo cha matumizi (expiry date), yaani hupoteza nguvu na uwezo wake wa
Kukulinda
Kukupa nguvu
Kukupa utajiri
Kukupa umaarufu
Kukupa mvuto nknk
Ndio maana basi ukishaanza kwa mlango wa makafara utaenda hivyo mpaka utakaposhindwa masharti na kuumbuka... Vilevile kumbuka ya kwamba licha ya kikomo cha matumizi kuna viwango pia... Yaani kila kiwango champion utajiri, umaarufu nk kina kafara lake... Na kafara halina rivasi ana kupunguza kiwango bali huongezeka kila hatua
Baba mchungaji na mtumishi wa mungu, mtume na nabii amefanya kituko cha mwaka.. Maoni ni mengi malumbano ni mengi lakini uhalisia utabaki kuwa uhalisia
Kwenye video husika mtumishi anafanya ayafanyayo si kwa dhati ya moyo wake(freewill) bali kwa maelekezo maalum..
Ngono ni tamu sana na ina manjonjo na vionjo vyake kama ukiifanya kwa matamanio ya kawaida ya kimwili na hisia za mapenzi
Kanisa la mzee baba linayumba na si yeye pekee... Lakini miaka ya hivi karibuni amekuwa kwenye changamoto nyingi sana... Hasa kwenye ishu za mahusiano na vita na wanasiasa...
Ni katikati ya frustration na kutaka kusimana tena binadamu uwezo wa kufikiri na kuamua kwa weledi hupungua.... Mzee baba kaelekezwa kujirekodi akifanya kafara husika kisha aitume video kunakohusika ili kuwaaminisha kuwa ni kweli kafanya...
Bila kujua kuwa mawasiliano yake yanadukuliwa.... Amepigwa upper cut iliyoenda penyewe
hapo umetupa chai tena ya rangi haina hata sukari umemsingizia
 
Mshana Jr katika hili bado kuna utata.
Sidhani kama kama kuna kafara ya ngono inayohusisha a mere girl, labda km huyo msichana alikuwa na u-special ambao hatuujui. Ingekuwa kafara tulitegemea kumuona akifanya mapenzi na either mnyama ama mwanamke ambaye si wa kawaida mfano kichaa.
Pili kafara huwa hazihitaji eti mtu ajirekodi na kuzituma mahali. Kafara ya ngono ww ukishafanya yako basi wao wanajua automatically. Hakuna digitalization kwenye mambo ya kafara.
kabisa Mkuu hapa katupa chai
 
Ni katikati ya frustration na kutaka kusimana tena binadamu uwezo wa kufikiri na kuamua kwa weledi hupungua.... Mzee baba kaelekezwa kujirekodi akifanya kafara husika kisha aitume video kunakohusika ili kuwaaminisha kuwa ni kweli kafanya...
Bila kujua kuwa mawasiliano yake yanadukuliwa.... Amepigwa upper cut iliyoenda penyewe
kwahiyo shetani alitaka aione video? Maana ndio anahitaji kafara ana WhatsApp? Hapo umejichanganya mchawi wa jf rudi kwa gia nyingine
 
Uso Sahihi Sana, Mkuu
Mshana jr.
Wengi wanabisha kwakuwa hawana utambuzi wa Kiroho kabisa.
Gwajima huenda anafahamu kila kitu.
Kwa kitendo chake alichokifanya zawadi yake ni kubwa sana katika Ufalme wa Shetani yaani Lucifer.
1. Kaidhalilisha sana imani ya Kikristo
2. Kamdhalilisha Kristo mwenyewe.
3. Kawashawishi watanzania wengi hata wanaomwabudu Mungu, na watoto kuangalia video yake ya ngono.
4. Kawambukiza watu wengi roho ya uzinzi.
5. Kawadhalilisha viongozi wa dini.
5. Kawarudisha nyuma watu wengi waliohitaji wokovu.
6. Kasababisha baadhi ya watu wamdhihaki Mungu.
7. Kamtukuza shetani na matendo yake, (kwamba ni mazuri ya kuyakatikia kiuno.)
8. Kasababisha baadhi ya watu kufanya na kupenda uzinzi baada ya kuangalia video yake hiyo.
9. Kakidahlilisha cheo change Askofu.
10. Kamdhalilisha mwawnamke kwa kumuonesha kuwa ni chombo cha starehe.
NAKADHALIKA.
Hapo amefanikiwa kurushwa toka cheo cha chini hadi cheo cha juu kabisa kwenye ulimwengu wa Giza.
Huko kujifanya kujitetea ni danganya toto tu. Ona alivyojitetea kwa kujitapa kwamba yeye ni mwanamume rijari. Hakukumbuka cheo cha Uaskofu wala kuonesha kusikitika.
Hivi wenzangu munamuelewa Gwajima anachokisema humo Kanisani mwake ?
Mimi sijawahi kumsikia akifundisha Neno la Mungu analo nukuu toka kwenye Biblia.
unachuki binafsi na mapepo yako
 
kwahiyo shetani alitaka aione video? Maana ndio anahitaji kafara ana WhatsApp? Hapo umejichanganya mchawi wa jf rudi kwa gia nyingine
Kama hujaelewa kitu uliza ueleweshwe ama pita kimya itakusaidia sana
 
Naamini Mshana hujatumwa na mtu, ila we mwenyewe ni agent wa kuzimu, na unadhani kwa tukio hili la kutengeneza utaiharibu Kazi ya Mungu kwa vi thread vyako vinavyo wadaka " simple minded people na haters", bado sana,

Mlishindwa madai ya kumtukana masonic wa Vatican, mkaja la kumtukana mkwere mkashindwa, mkadai kasema dengue haipo ni ugonjwa wa kutengenezwa...mkashindwa, mkasema anatumia na anauza unga...mkashindwa, mkadai amezaa na kale ka mama kajinga kalikolemewa na mizigo ya dhambi...mkashindwa na kukatoroshea wapi sijui!!!, sasa mmeona hii Photoshop itawaaminisha watazama mwenge, poleni.
 
Naamini Mshana hujatumwa na mtu, ila we mwenyewe ni agent wa kuzimu, na unadhani kwa tukio hili la kutengeneza utaiharibu Kazi ya Mungu kwa vi thread vyako vinavyo wadaka " simple minded people na haters", bado sana,

Mlishindwa madai ya kumtukana masonic wa Vatican, mkaja la kumtukana mkwere mkashindwa, mkadai kasema dengue haipo ni ugonjwa wa kutengenezwa...mkashindwa, mkasema anatumia na anauza unga...mkashindwa, mkadai amezaa na kale na mama kajinga kalikolemewa na mizigo ya dhambi...mkashindwa na kukatoroshea wapi sijui!!!, sasa mmeona hii Photoshop itawaaminisha watazama mwenge, poleni.
.
IMG-20190611-WA0041.jpeg
 
Mshana jr..
Hii post yako wengi hawata elewa sababu ufahamu wa mambo haya ni hafifuu..

Sexual energy kama ulivyo ainisha ni nguvu ya kiroho inayomiliki mamlaka ya uhai,
Kiufupi baba mchungaji kafanikiwa kuharvest hii energy kirahisi kwa yeyote yule mtanzania aliyeweza kuona liletukio nakuli changanua/kulijadili kichwani mwake..

Hii ndio technologia yakupora nguvu za wenzio bila shuruti..wazembe hamuwezi elewa
 
Mshana jr..
Hii post yako wengi hawata elewa sababu ufahamu wa mambo haya ni hafifuu..

Sexual energy kama ulivyo ainisha ni nguvu ya kiroho inayomiliki mamlaka ya uhai,
Kiufupi baba mchungaji kafanikiwa kuharvest hii energy kirahisi kwa yeyote yule mtanzania aliyeweza kuona liletukio nakuli changanua/kulijadili kichwani mwake..

Hii ndio technologia yakupora nguvu za wenzio bila shuruti..wazembe hamuwezi elewa
 
Nilikuwa makini sana kutaka kujua article ilienda vizuri ila umeimwagia uchafu mwishoni kwa kumhusisha Gwajima kitu ambacho ile video ilikuwa feki tena baada ya kuithibitisha kwa technology ya kisasa. Hebu futa pale mwishoni kwa gwajima halafu uandike upya
 
Back
Top Bottom