samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,265
.
Safi sana huyo anafaa kuwa amiri jeshi mkuu.Anaweza kusimama hata sehemu ndogo tu juu ya gari miguu haitetemeki wala hapo haoni kizungu zungu .Hilo zoezi tu la kuruka na kutokea hapo juu ya gari lazima uwe fit.Huyo aweza dandia na kurukia nyuma ya lori la jeshi bila shida.Kamanda magufuli nimekuaminia uko fit.
Mwambieni Lowasa ajaribu kuiga hiyo naye tuone
Safi sana huyo anafaa kuwa amiri jeshi mkuu.Anaweza kusimama hata sehemu ndogo tu juu ya gari miguu haitetemeki wala hapo haoni kizungu zungu .Hilo zoezi tu la kuruka na kutokea hapo juu ya gari lazima uwe fit.Huyo aweza dandia na kurukia nyuma ya lori la jeshi bila shida.Kamanda magufuli nimekuaminia uko fit.
Mwambieni Lowasa ajaribu kuiga hiyo naye tuone