Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Cha peke yako ni hilo ulonalo katikati ya mapaja kwani huko uliko hamna kuzungukana???
Hewaaa wewe ni muhenga kumbe umenena vyema kabisa
Ila hiyo lugha ya mwanzo imenihuzunisha
Cha peke yako ni hilo ulonalo katikati ya mapaja kwani huko uliko hamna kuzungukana???
Jirani yangu Yule inabidi nisipite nae pande hiziNajiuliza sana hii nyota ya aina gani naomba jirani yako asione kabisa huu uzi sitapenda kilio chake
Ndo unazipeleka kwa jje's?Nishakusanya info. za kutosha ngoja niwapishe sasa muongee yenu



Tutamteka huyu
Naona unakisanya info tu hapa...
Hebu subiri niongee na kipenzi changu sijamuona siku nyingi sana

Kabisa nataumia nikimuona analiaJirani yangu Yule inabidi nisipite nae pande hizi
Boss wanguKiongozi
Tatizo nini hadi umerudi kuwa kifaranga wakt wewe ndio ulinifundsha upopoNipo bhana ni vile hatujaonana tu maana siku hizi nimekuwa kifaranga si popo tena.
Nimekuham pia![]()
Khaaa!Nipo bhana ni vile hatujaonana tu maana siku hizi nimekuwa kifaranga si popo tena.
Nimekuham pia![]()
Aje aje mkurugenziBoss wangu
Vyuma vimekatika dogoTatizo nini hadi umerudi kuwa kifaranga wakt wewe ndio ulinifundsha upopo
Karibu tena mkuuKhaaa!
Skuwa na hizi taarifa
Ngiyabonga!Alieyoko Us ni G tu wewe jua Upo moyoni
Tulivu sana bobbAje aje mkurugenzi
Weka mambo vizuriEwaaaaa![]()
