lamaa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 964
- 2,525
Mkuu Hata mim niliwah kuiona kama hii ila jamaa mkewe aliondoka na rafik ake asubuh mweny mke pombe zimekata anakutana nao wanatoka lodge!!!Hai make sense ..
Uende club uwe bize kufuatailia issue za watu..
Inawezekana kabisa huyo mwanamke kama kweli ni kahaba Tu ...
Huyo jamaa hata sio mumewe..
Hai make sense pia vidume viwili vibadilishane mwanamke club ..
Club gani hio?
Demu kaliwa sanaa (afu wanasingizia pombe) anaomba msamaha tuu!! Lakin zilipigwa ngumi ...lakin ndo hvo too late!!!
FUNZO
Pombe sio Nzur!! Hasa ukiend na mkeo hakikisha unaji~control ....ama mazingira yawe safe kwenu!!