Je, utafanyaje kama umemtongoza mke wa rafiki Yako na amekukataa?

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,774
24,209
Wakulungwa..... habari Gani

Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana

Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..

Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Wakulungwa..... habari Gani

Huku kimeumana Kuna jamaa yangu ameyatimba Baada ya kumtongoza shemeji ake ( mke wa rafiki yake) na huyo mke wa rafiki yake ametolea uvivu Kwa kumtukana

Jamaa angu amechanganyikiwa hajui la kufanya kama habari zitafika Kwa mwenye Mali ..

Je mshkaji atumie njia Gani ku escape hili Soo..... only legend have to answer this.....
Najua vijana wa hovyo mtasema ni Mimi???

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ajinyonge tu kabla hajatumiwa Wahuni wa kumshughulikia.
 
Back
Top Bottom