Katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT Arusha na kuzimaliza kadi zote still kuna watu wengi wamekosa kadi. Vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi Zitto afanye mkutano Arusha na ampokee Lowasa kama mgombea. Muda utatupa jibu ya haya yote
mbona miaka yote waislam hawaendi kuswali ijumaa kwa kuruhusiwa kuacha kazi za umma lakini wakirsto kila wiki wanenda kusali? nao huo tuuite udini? mpumbavu kama wewe huoni kuwa Idd ni sawa na x-mass? ni kweli huelewe au ni akili za ki'senge zinakusumbua. ...... mbafu zako.
Katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT Arusha na kuzimaliza kadi zote still kuna watu wengi wamekosa kadi. Vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi Zitto afanye mkutano Arusha na ampokee Lowasa kama mgombea. Muda utatupa jibu ya haya yote
Hivi njugu huwa zinagombaniwa??
Uongo mwingine bhana!
Arusha ya Kigoma au arusha ipi? Mwambie zitto aje agombee ubalozi wa nyuma 10kumi
Kama si udini nini umelengea.
Tofautisha sikukuu na siku maalum ya ibada..
Kwa sababu, sikukuu ya idi ipo moja tu kwa mwaka mzima. Wakati huo huo, kuna jumapili 52 katika mwaka mzima, hivyo ukitoa siku moja ya jumapili unapata jumapili 51 za kusali. Na katika hizo 51 zenyewe, unaweza kuta mtu ameenda jumapili 20 tu, sasa hiyo jumapili moja ndo inaleta maneno?
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.
Hiyo audio kwel ipo hata mm ninayo mkuu nipe namba yako nikutumie