Kadi za ACT zagombaniwa kama njugu Arusha mjini

Kadi za ACT zagombaniwa kama njugu Arusha mjini

Je, haya ni maandalizi ya ACT kumpokea Lowasa kama mgombea wao wa Urais 2015?


Post URL: BOBL
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT Arusha na kuzimaliza kadi zote still kuna watu wengi wamekosa kadi. Vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi Zitto afanye mkutano Arusha na ampokee Lowasa kama mgombea. Muda utatupa jibu ya haya yote

Tangu uzaliwe,wapi uliwahi kuona watu wanagombea Nyugu.?
Acha kujitoa akili.
 
Arusha hiyo ipi?sema arusha unayoisema mimi nipo hapa arusha sema ni sehemu gani hiyo?wacha kudanganya watu na mapenzi yako ya kipofu

Kweli mimi mwenyewe nipo arusha kuna kiofisi cha act kipo barabara ya namanga nimepita jana jioni sijaona hio Taharuki
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Hao ndio wadini wakubwa na ndio chanzo cha maovu yote ya kidini yanayotokea. Wao wapo kiuchochezi zaidi na hata reasoning yao wakati wote wanawaza negatives tu!
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Hili halihusiani kabisa mada ya hapo juu
Lakini nikujibu tuu
Sikukuu ya iddi ni ya kitaaifa jumapili yako ni ya yako siku ya kuubudu tuu

Sasa jibu hawa maswali yangu ijumaa ni siku ya kuubudu kwa waisilamu hivyo itakuaa busara kuaahirisha kila jambo siku hiooo

Ushauri wangu kwako acha chuki za kidini maana kila jambo wewe unashindanisha na dini ya mwenzako
 
Lowasa hawezi kwenda ACT..... atajitafutia msiba wa mapema..
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.
mbona miaka yote waislam hawaendi kuswali ijumaa kwa kuruhusiwa kuacha kazi za umma lakini wakirsto kila wiki wanenda kusali? nao huo tuuite udini? mpumbavu kama wewe huoni kuwa Idd ni sawa na x-mass? ni kweli huelewe au ni akili za ki'senge zinakusumbua. ...... mbafu zako.
 
Mkuu tume kwa sasa wana weweseka na hiyo yoote ni kutaka ku demoralize hali ya vijana wanaotaka kujiandikisha na kuiadabisha ccm,hata hivyo tume wanajidanganya sana kwani msimamo upo palepale
jipumbavu lingine hili. hivi ingekuwa christmas mngeleta huu useng'e wenu hapa? mbona waislam hawaendi hawaruhusiwi kuswali ijumaa na kuacha kutumikia umma lakini wakirsto wanenda kila jumapili? ni kweli hamlijui hilo nyie ma'----?
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Waambie kama wanaona haifai wahame nchi
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT Arusha na kuzimaliza kadi zote still kuna watu wengi wamekosa kadi. Vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi Zitto afanye mkutano Arusha na ampokee Lowasa kama mgombea. Muda utatupa jibu ya haya yote

Hizo kadi zinambadirishia nini mtu maishani?
 
Iddi ungelinganisha na xmass ... halafu ijumaa na jumapili.
Tuache pumba siku za mapumziko katika nchi zinajulikana au ?
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Unawajua waislam wewe!? we anza kuwaletea za kuleta tu utawajua muda si mrefu.
 
Arusha na kilimanjaro act wanajua kabisa wakipeleka pua pale chamoto watakipata,maana ile mikoa hailei upuuzi
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Tutoleeni huu ujinga wa udini udini na wachungaji wako wasiojitambua :what::what:
 
Hivi njugu huwa zinagombaniwa??

Uongo mwingine bhana!
 
Back
Top Bottom