Kadi za ACT zagombaniwa kama njugu Arusha mjini

Kadi za ACT zagombaniwa kama njugu Arusha mjini

addybway

Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
56
Reaction score
24
Katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT Arusha na kuzimaliza kadi zote still kuna watu wengi wamekosa kadi. Vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi Zitto afanye mkutano Arusha na ampokee Lowasa kama mgombea. Muda utatupa jibu ya haya yote
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.
 
katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT arusha na kuzimaliza kadi zote stil kuna watu wengi wamekosa kadi.vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi zitto afanye mkutano arusha na ampokee lowasaa kma mgombea.mda utatupa jibu ya haya yote

Arusha hiyo ipi?sema arusha unayoisema mimi nipo hapa arusha sema ni sehemu gani hiyo?wacha kudanganya watu na mapenzi yako ya kipofu
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT Arusha na kuzimaliza kadi zote still kuna watu wengi wamekosa kadi. Vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi Zitto afanye mkutano Arusha na ampokee Lowasa kama mgombea. Muda utatupa jibu ya haya yote

Uwache uwongo uliopitiliza,hiki kipindi watu wanajadili issues za maana,hiyo audio iliyopo kwenye whatssAp iko wapi?iweke hapa jamvini tuisikie na uidhibitishe kuwa inatoka kwa vijana wa arusha
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Mkuu tume kwa sasa wana weweseka na hiyo yoote ni kutaka ku demoralize hali ya vijana wanaotaka kujiandikisha na kuiadabisha ccm,hata hivyo tume wanajidanganya sana kwani msimamo upo palepale
 
Lowasa akihamia ACT ni kunialika kisisa na wala sidhani kama atafanya mistake hiyo kamwe.

Magufuli anatosha kua mgombea uraisi ndan ya CCM.. Kwa huku ikulu kuna nn.
 
YUPO MPUUZI MMOJA ALIYEFUNGUA PAGE INSTAGRAM YA KWAMBA LOWASSA ATAHAMIA ACT NI UONGO ULIOTUKUKA,LOWASSA HAWEZI KWENDA ACT KAMWE,

ATABAKIA CCM DAIMA NA ATAUNGANA NA MH.MAGUFURI KTK KAMPENI SIKU SI NYINGI/ii
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT Arusha na kuzimaliza kadi zote still kuna watu wengi wamekosa kadi. Vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi Zitto afanye mkutano Arusha na ampokee Lowasa kama mgombea. Muda utatupa jibu ya haya yote

Arusha ya Kigoma au arusha ipi? Mwambie zitto aje agombee ubalozi wa nyuma 10kumi
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Kama si udini nini umelengea.
Tofautisha sikukuu na siku maalum ya ibada..
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Kwa sababu, sikukuu ya idi ipo moja tu kwa mwaka mzima. Wakati huo huo, kuna jumapili 52 katika mwaka mzima, hivyo ukitoa siku moja ya jumapili unapata jumapili 51 za kusali. Na katika hizo 51 zenyewe, unaweza kuta mtu ameenda jumapili 20 tu, sasa hiyo jumapili moja ndo inaleta maneno?
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Umeamkaje mkuu? Au unachangia uzi upi hapa? (kadi za ACT na uandikishaji na sikukuu za kidini)
 
Mimi maelewa Arusha ni ngome ya CHADEMA sasa mmewakera nini?
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana kuanzia mida ya saa kumi mamia wa vijana walijazana katika ofisi za matawi ya ACT Arusha na kuzimaliza kadi zote still kuna watu wengi wamekosa kadi. Vile vile kuna audio inasambaa watsap vijana wakimshawishi Zitto afanye mkutano Arusha na ampokee Lowasa kama mgombea. Muda utatupa jibu ya haya yote

Nenda kajipange upya
 
Lowasa inafaa astaafu siasa, atajiua kwa presha bure, namshauri hata kugombea ubunge apunzike, kama Monduli hawana mtu mbadala pole yao, wawe tayari kupokea matokeo yoyote. Kimsingi Lowasa alikuwa na uwezo mkubwa kupita angekuwa CCM, lakini asifanye kosa akaingia upinzani, tena kichama kilichoanza jana kama ACT. Nakuambia hata mkutano hatafanya, kila siku atakumbana na bakora za FFU. We chezea na PoliCCM. Atakufa hata kabla ya uchaguzi haujafika. Siasa awaachie vijana sasa. ACT ilikuwa swahiba wa CCM inayomaliza muda wake, CCM ya mafisadi, iliyoangushwa rasmi jana. CCM inayoanza haimjui tena Zito Kabwe, asisahau hilo Lowasa.
 
Huu sio udini, lakini wachungaji wanahoji kwanini zoezi la uandikishiji linalo chukua siku 12 lihailishwe sababu ya Idd ya siku moja. Lakini tume hiyo hiyo imeshindwa kubadiri siku ya juma pili kama siku ya kupiga kura. Ambayo ni siku moja lakini ya ibada kwa wa kristo.

Tufanye siku ya mapumziko ijumaa ili na ss tuende mapumziko na nyinyi mupige kura munaonaje wagalatia
 
Uwache uwongo uliopitiliza,hiki kipindi watu wanajadili issues za maana,hiyo audio iliyopo kwenye whatssAp iko wapi?iweke hapa jamvini tuisikie na uidhibitishe kuwa inatoka kwa vijana wa arusha

Hiyo audio kwel ipo hata mm ninayo mkuu nipe namba yako nikutumie
 
Back
Top Bottom