Kada wa CCM Arusha Ashikwa Kwa Utapeli

Kada wa CCM Arusha Ashikwa Kwa Utapeli

Nadhani huyo ni mwizi kama wezi wengine tu, wala ccm haihusiki na huo wizi,sidhani kama chama kimeidhisha matapeli
 
View attachment 342924
View attachment 342925
View attachment 342926

Habari zilizonifikia hivi punde kutoka Jijini Arusha zinahabarisha Kada Maarufu wa CCM jijini humo ndugu Ibrahimu Kafimbi amekamatwa akitapeli wafanyabiashara wa Arusha kwa kujifanya yeye ni afisa biashara na yeye ndio anakusaya hela za mabango ameshikwa na Mihuri na risiti feki za jiji la Arusha.

Huu ni mwendelezo wa Vijana wengi wa CCM wanaotapeli watu Arusha kwa kigezo wao ni maofisa wa halmashauri mtoa taarifa amehabarisha.
View attachment 342924
View attachment 342925
View attachment 342926

Habari zilizonifikia hivi punde kutoka Jijini Arusha zinahabarisha Kada Maarufu wa CCM jijini humo ndugu Ibrahimu Kafimbi amekamatwa akitapeli wafanyabiashara wa Arusha kwa kujifanya yeye ni afisa biashara na yeye ndio anakusaya hela za mabango ameshikwa na Mihuri na risiti feki za jiji la Arusha.

Huu ni mwendelezo wa Vijana wengi wa CCM wanaotapeli watu Arusha kwa kigezo wao ni maofisa wa halmashauri mtoa taarifa amehabarisha.

Kwa uandishi wa aina hii nadhani tutaanza au tutaendelea kusoma humu ndani ya JF kama ifuatavyo: 'Mwanachama maarufu wa CHADEMA anaswa kwa ujambazi'; Majambazi matano ambayo ni CHADEMA yavamia benki na kupora mamilioni ya fedha'; Kada maarufu wa CCM abaka binti yake wa miaka miwili'; 'MwanaCUF amcharaza mapanga jirani yake kwa ugomvi wa eneo la biashara'...Mungu atuepushe na uandishi wa aina hii ndani ya JF.
 
View attachment 342924
View attachment 342925
View attachment 342926

Habari zilizonifikia hivi punde kutoka Jijini Arusha zinahabarisha Kada Maarufu wa CCM jijini humo ndugu Ibrahimu Kafimbi amekamatwa akitapeli wafanyabiashara wa Arusha kwa kujifanya yeye ni afisa biashara na yeye ndio anakusaya hela za mabango ameshikwa na Mihuri na risiti feki za jiji la Arusha.

Huu ni mwendelezo wa Vijana wengi wa CCM wanaotapeli watu Arusha kwa kigezo wao ni maofisa wa halmashauri mtoa taarifa amehabarisha.

Kidumu Chama Cha Mapinduzi!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.

Ila nilidhani mkuu unajipya, kumbe ni hizi habari? Mbona utapeli kwa ccm ni sawa na samaki na maji? Huyu wanamuonea tu. Anatofauti gani na wanaccm wengine wote ambao hujifanya ni wasemaji wa serikali kwa kuwa tu ni wana ccm lakini hawachukuliiwi hatua?

Tofauti gani na wanaoimaulia serikali isirushe matangazo ya bunge kwa kuwa ni wanaccm bila kujali wanakiuka katiba ya nchi na kuhujumu haki za wananchi?

Nini tofauti ya huyu na wale wanaovunja katiba ya nji lakini watu hawaruhusiwi hata kuhoji tu kwa kuwa kaitba inavunjwa na wana ccm?

Sidhani kama kuna hatua yoyote atachukuliwa huyu vinginevyo awe ameandikiwa kuwa mbuzi wa shughuli kwa maslahi ya wengine.

Hiyo ndiyo ccm.

Kidumu chama cha Majambazi!
 
Amepigwa pingu mkononi, ni ishara kuwa waliomkamata ni polisi. Lakini, naona kama amevuja damu nani kampiga? Ni wananchi walimpa kipigo ndo polisi wakaingilia au ni polisi wenyewe?

Sina hakika na hoja kwamba kuwa na pingu mkononi ni ishara ya kukamatwa na polisi...kuna mtu mmoja wa taaluma fulani (na ambaye si polisi) miaka michache iliyopita aliwahi kukutwa na pingu...
 
Sina hakika na hoja kwamba kuwa na pingu mkononi ni ishara ya kukamatwa na polisi...kuna mtu mmoja wa taaluma fulani (na ambaye si polisi) miaka michache iliyopita aliwahi kukutwa na pingu...
I was very careful rhetorically (...ni ishara kuwa...). It seems just overlooked that crafting
 
Nadhani huyo ni mwizi kama wezi wengine tu, wala ccm haihusiki na huo wizi,sidhani kama chama kimeidhisha matapeli
mkuu chama chake cha ccm ndo kilimpa training...huyu jamaa ni green guard ...tangu miaka mingi amekuwa anatuibia ila hakuna pq kumshitaki.....ila tulikuwa tunasubir tu mchome moto...
 
huyu ni mwizi maarufu ila CCM huwa wanamkingia kifua sasa leo zimefika siku zake.
 
Amepigwa pingu mkononi, ni ishara kuwa waliomkamata ni polisi. Lakini, naona kama amevuja damu nani kampiga? Ni wananchi walimpa kipigo ndo polisi wakaingilia au ni polisi wenyewe?
Na sio haki kabisa kujichukulia sheria mkononi na ukute ni sababu za kisiasa tu! kasingiziwa utapeli halafu wamempiga.CCM Wahakikishe haki inatendeka.
 
Mbona ni kama picha mbili za matukio tofauti? picha ya kwanza aliyosimama nje anaonekana amevaa shati la mikono mifupi na picha ya pili aliyokaa chini kama anaomba msamaha amevaa shati la mikono mirefu na picha ya tatu inafanana na ya kwanza ,mleta habari na picha hebu tufafanulie zilikua ni picha za matukio mawili tofauti au?,halafu na picha zote anaonekana ana damu na amefungwa pingu.
 
Nilikuwa mbali sana lkn huu Uzi umenishawishi na kunivutia hadi nikaja huku, ni asili, ni ngumu kuacha
 
Sina hakika na hoja kwamba kuwa na pingu mkononi ni ishara ya kukamatwa na polisi...kuna mtu mmoja wa taaluma fulani (na ambaye sit polisi) miaka michache iliyopita aliwahi kukutwa na pingu...
Tena anataluma ya Uwandishi
 
Na sio haki kabisa kujichukulia sheria mkononi na ukute ni sababu za kisiasa tu! kasingiziwa utapeli halafu wamempiga.CCM Wahakikishe haki inatendeka.
Umeshaambiwa anajulikana kama sikoseikwa watu wa Arusha watanisahihisha huyu siyo kampany moja na Mjusi?
 
Mbona ni kama picha mbili za matukio tofauti? picha ya kwanza aliyosimama nje anaonekana amevaa shati la mikono mifupi na picha ya pili aliyokaa chini kama anaomba msamaha amevaa shati la mikono mirefu na picha ya tatu inafanana na ya kwanza ,mleta habari na picha hebu tufafanulie zilikua ni picha za matukio mawili tofauti au?,halafu na picha zote anaonekana ana damu na amefungwa pingu.
Baada ya hiyo shati kuchanika ndio akapewahiyo ya mikono mirefu
 
mkuu chama chake cha ccm ndo kilimpa training...huyu jamaa ni green guard ...tangu miaka mingi amekuwa anatuibia ila hakuna pq kumshitaki.....ila tulikuwa tunasubir tu mchome moto...
Kwahiyo ccm ndio inamtuma?
 
Kuna fununu ambazo zilikua zikisambaa humu kua ndugu wa karibu wa mbunge wa arusha mjini wametapeli kampuni ya mtu, hivi walishairudisha?
Sasa hivi tunaongelea diwani wa ccm kufanya utapeli jijini Arusha na picha yake umeonyeshwa
 
Back
Top Bottom