JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,793
- 6,635
Wanachamama hao wakizungumza na GADI TV mara baada ya kuandamana kwenda kwenye Ofisi za Chama hicho wilaya ya Arusha Mjini, wamesema wanashinikiza ndugu Rasuli Mshana ambaye alishinda kura za maoni ndani ya chama hicho jina lake lirudishwe ili aweze kugombea nafasi hiyo kutokana na ni mtu anayekubalika zaidi kwa wananchi.
Chanzo: Gadi TV