Kada wa CCM Arusha Ashikwa Kwa Utapeli

Kada wa CCM Arusha Ashikwa Kwa Utapeli

Huyu jamaa...ndiye mkufunzi wa Green Guard....ndo pia alimfundisha Jummane Mjusi ,jins ya kuiba na kupiga watu.....namshukuru Sana Mungu, huyu jamaa alikuwa hakamatiki anaiba hata mchna kweupe ......
Mkuu umesahau ule usemi wa siku za mwizi ni 40
 
Kwa nini ahusiswe na chama ni ujinga wake tu
 
Kuna fununu ambazo zilikua zikisambaa humu kua ndugu wa karibu wa mbunge wa arusha mjini wametapeli kampuni ya mtu, hivi walishairudisha?
mkamaten , si yupo . wewe badala ya kujibu hoja hapo juu unatengenezs tuhuma .
 
Anzisha uzi wako wa hizo fununu hapa tunajadili Hili jangili la ccm lililokamatwa live hatujadili fununu wala maigizo . Acha ngonjera mkuuu
1461843424288.jpg
1461843440336.jpg
 
Huyu jamaa alishahamia Chadema...huna taarifa mkuu???
N.B CCM yafutika Arusha
 
Vijana wote na wazee wanaoishabikia ccm Arusha ni wavivu watu wa kukaa kijiweni, na marapeli ndio maana hata kata inayoshinda chaguzi za ccm ni ile ya wavivu wanaokaa kibarazani kusubiri kodi za nyumba kwa nyumba chakavu amabazo wazee wao walijenga, wameshindwa japo kuzifanyia ukarabati wamebaki kukabana koo kodi ikitoka ili maisha yao yaenda, shame on them.
 
Ccm na ufisadi wizi ni sawa na nzi na kinyesi
Hilo jina au cheo cha ukada umempa wewe. Huenda hujui ili mtu awe kada wa chama cha mapinduzi anatakiwa awe na vigezo gani. Hawa wengine ni wakereketwa wa ccm tu.
Kama watu kama hao wakiwa wananasibishwa na chama mbona chadema ndio imeoza. Maana panya road wote kutumia ishara za chadema. Pia makahaba wa Dar ni sehemu ya wanachadema walioitwa na Lowasa chamani wakati wa kampeni.
Kila mtu ni mharifu wa sheria hapo alipo hivyo nikujitoa akili kuuhusisha huu udhaifu na taasisi.
Vijana wa chadema sasa hivi mmeishiwa kweli hoja za kuikabili ccm kwa mambo ya msingi. Sasa mnampa promo huyu mhalifu kisa huvaa sare za ccm. Hivi huyo anayeangalia ufanisi wenu atawapengeza kwa hili la kunadi mhalifu mitandaoni?
 
Hilo jina au cheo cha ukada umempa wewe. Huenda hujui ili mtu awe kada wa chama cha mapinduzi anatakiwa awe na vigezo gani. Hawa wengine ni wakereketwa wa ccm tu.
Kama watu kama hao wakiwa wananasibishwa na chama mbona chadema ndio imeoza. Maana panya road wote kutumia ishara za chadema. Pia makahaba wa Dar ni sehemu ya wanachadema walioitwa na Lowasa chamani wakati wa kampeni.
Kila mtu ni mharifu wa sheria hapo alipo hivyo nikujitoa akili kuuhusisha huu udhaifu na taasisi.
Vijana wa chadema sasa hivi mmeishiwa kweli hoja za kuikabili ccm kwa mambo ya msingi. Sasa mnampa promo huyu mhalifu kisa huvaa sare za ccm. Hivi huyo anayeangalia ufanisi wenu atawapengeza kwa hili la kunadi mhalifu mitandaoni?
Ccm na wizi ni sawa na nzi na kinyesi
 
Back
Top Bottom