Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,143
- 56,606
Magufuli ni muongo sana.Eti Mungu ameifanya Tanzania kuwa nchi pekee duniani isiyokuwa na covid 19!
Magufuli ni muongo sana.Eti Mungu ameifanya Tanzania kuwa nchi pekee duniani isiyokuwa na covid 19!
Lumumba kazi wanayonua ni kuwatoa kafara makada wao ili kupunguza ghadhabu ya wananchi dhidi yao.Yaani ufipa malengo yao huwa madogo madogo tuu kupata mbunge mmoja wamekuwa satisfied kazi kweli kweli.
Swaiiiiiiiin.
Na siku hiyo haiko mbaliHii covid19 kuna siku italeta mshindo mkubwa ajabu
Haijaripotiwa kuwa ni Changamoto za kupumua.Huko Dodoma huko? Yule kamishna wa polisi, yule wa Basata, Elga. Je wanaokufa na hawajulikani ni wangapi? Hivi vifo vya ghafla hivi. Mungu awapumnzishe kwa amani.
Da, ina maana CCM wameshindwa kuwatumia polisi, wakurugenzi na TISS kumzuia israil asiondoke na roho yake?Mwendazake Bi Egla Mamoto alikuwa Kiongozi wa CCM Jijini Dodoma.
Taarifa hii ya kushtukiza na kusikitisha zimeripotiwa na gazeti la Mwananchi la leo Disemba 27, 2020.
Tunatoa pole kwa familia na Chama kwa msiba huu mkubwa.
----
Aliyewahi kuwa Kaimu Katibu idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Egra Mamoto amefariki dunia.
Mamoto ambaye katika uchaguzi wa mwaka huu aligombea ubunge kupitia kundi la wazazi, amefariki katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Dodoma alikokimbizwa kwa matibabu baada ya kujisikia vibaya usiku wa kuamkia leo Jumapili Desemba 27, 2020.
Katibu wa Uhamasishaji na Chipukizi wa UVCCM Taifam Leonard Singo ametoa taarifa iliyoeleza kuwa Mamoto aliugua ghafla.
Singo amesema marehemu alikuwa hazina katika kipindi cha uhai wake na kuwa hakupenda kuona CCM kinashindwa katika uchaguzi wowote.
Katika uhai wake alikaimu Katibu wa uhamasishaji Taifa katika kipindi cha mwaka mmoja 2015/16 ambapo katika kipindi hicho alikuwa mjumbe wa Baraza Kuu la Vijana wa Uvccm.
Baadhi ya watu ambao wapo katika kundi moja la WhatsApp wamesema hadi saa nne usiku wa kuamkia leo Mamoto alikuwa akichati kwenye kundi hilo akiwatakia watu maisha mema na kumaliza mwaka salama.
Chanzo: Mwananchi
Japo binadamu sote siyo wakamilifu lakini ni vema, angalao kwa matukio kama haya, greenguards wasingrkuwa wanahusika.Kabebwa na Green guard
Nimeona jeneza lina thamani kubwa kuliko nyumba ya mpendwa wetu. R.I.P dada yetuMwili wa Mwendazake huyo aliyekuwa Kada wa CCM umepumzishwa kijijini kwao Mpwayungu Dodoma.
Pichani baadhi ya waombolezaji walioshiriki maziko hayo yaliyofanywa kwa heshima zote za Kichama
Amelala mpiganaji wetu
Mungu ampe pumziko la amani
Kwanini yeye katokea wapi?Japo binadamu sote siyo wakamilifu lakini ni vema, angalao kwa matukio kama haya, greenguards wasingrkuwa wanahusika.
Hawa wanaweza kuharibu tukio zima kutokana na historia mbaya waliyo nayo, hasa ushiriki wao katika matukio ya kishetani ya kuteka, kuua na kushambulia watu kwa sababu tu ya tofauti za mitizamo ya kisiasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakumbuka kipindi anasoma pale UDSM kuna vijana walikuwa wanaenda kusali chapel ibada zile za jioni na mikesha kwa ajili ya bibie kwa kuwa alikuwa mlokole kweli kweli . Apumzike kwa Amani EglaDuh mwenye picha yake ambayo iko full atuweke
Any way apumzike mahali panapo mstahili
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kama wewe ni wa facebook sina sababu sana ya kujaribu kukubishia,ntapoteza tu muda..Corona tusione ndugu wala jirani ila ninyi tu wapuuziAcha ujinga wewe!! Facebook kila siku watu wanapost misiba ya ghafla tangia dec kuanza!! Tulipumzika kuanzia July mpaka Nov ila Dec vimeibuka upya!!
Kama wewe ni wa facebook sina sababu sana ya kujaribu kukubishia,ntapoteza tu muda..Corona tusione ndugu wala jirani ila ninyi tu wapuuzi