Kachukua nguo yangu ya ndani

Kachukua nguo yangu ya ndani

Amegundua kuwa huna mpango nae ameamua kwenda kukutengeneza ili akili yako itulie kwake.
 
We unaona raha sana kumtumia mwenzako, huna plan naye, we kumgegeda tu,

Ngoja akukomeshe, huu mwaka haushi lazima watu washone saree!
 
Niko na mpenzi ambaye tumedumu naye kwa miaka mi 3, mahusiano yetu huwa tunaachana na kurudiana, huyu msichana kiukweli ananipenda sana ila mimi simkubali sana kihivyo, huwa nampendea msambwanda wake tu na mara nyingi huwa namwita geto usiku tunalala wote mpaka asbhi kisha anarudi kwake mapema.

Jana nilimwambia aje geto mimi nikaenda zangu kutazama mpira na washikaji, niliporudi nilimkuta chumbani maana nilimwelekeza wapi ufunguo ataukuta, tukafanya yetu mpaka asubuhi alipoondoka saa 12 na hii amekuja toka miezi 3 tulipozinguana na sikuwahi kutaka kuonana naye.

Huo mda alioondoka nilimfungulia geti nikiwa nimevaa taulo, kulipopambuza nikasema nijiandae nivae ndio nakuta nguo haionekani, nimetafuta sana ila sijaiona, pia nimekuta msichana kapekua pekua sana kwenye makabrasha yangu japo mpaka sasa sijaona chochote alichoondoka nacho kwa upande huo.

Hapa nipo kazini lakini akili haiko sawa kabisa nawaza lengo la kuchukua hiyo nguo ni nini na ukizingatia baada ya tendo nilihisi kama anajifutia ukeni, nimejaribu kumtafuta hewani hapatikani.
Mkuu ishi kwa amani,hiyo haendi kuifanyia mabaya,ila jiandae kuazilika kwa Maelezo yako ni kuwa unapotezea MUDA lakini huna maisha nae.Nimewahi kusimuliwa na jamaa yangu lichotaka kufanyiwa na mwanadada mmoja wa kwa mkuu TZ.Alimfuta na kitambaa na kujifuta yeye halafu fasta akakiweka kwenye pochi yake ya mkononi,jamaa akashituka kwa kuwa sio kawaida yao,demu akaingia kuoga,jamaa akakichukua kile kitambaa,wewe ulikuwa ugomvi kukitafuta.Baadae kwa hasira demu akamwambia unabahati usingesimamisha tena kwa.....,akamtaja demu anaemhisi kuwa abatembea na jamaa.Sasa vuta subira ukiona umeenda kupiga mechi ugenini msoloboko ukagoma kuelejea nyuzi tisini,jua kwishine demu kakuweza.Pole sana..Ukiona hali hiyo muone MSHANA Jr,akishindwa akulete kwangu,tutamaliza tatizo halafu usimwambie kuwa umepona,tafuta marafiki zake gonga Mashine mana atawambia nimemuweza hasimamishi nai watataka kujaribu we Julie taratbu
 
Hahahaha, ukiona unashindwa kufanya chochote kwa sababu unamuwaza yeye wakati wote ujue mambo yameiva
 
Niko na mpenzi ambaye tumedumu naye kwa miaka mi 3, mahusiano yetu huwa tunaachana na kurudiana, huyu msichana kiukweli ananipenda sana ila mimi simkubali sana kihivyo, huwa nampendea msambwanda wake tu na mara nyingi huwa namwita geto usiku tunalala wote mpaka asbhi kisha anarudi kwake mapema.

Jana nilimwambia aje geto mimi nikaenda zangu kutazama mpira na washikaji, niliporudi nilimkuta chumbani maana nilimwelekeza wapi ufunguo ataukuta, tukafanya yetu mpaka asubuhi alipoondoka saa 12 na hii amekuja toka miezi 3 tulipozinguana na sikuwahi kutaka kuonana naye.

Huo mda alioondoka nilimfungulia geti nikiwa nimevaa taulo, kulipopambuza nikasema nijiandae nivae ndio nakuta nguo haionekani, nimetafuta sana ila sijaiona, pia nimekuta msichana kapekua pekua sana kwenye makabrasha yangu japo mpaka sasa sijaona chochote alichoondoka nacho kwa upande huo.

Hapa nipo kazini lakini akili haiko sawa kabisa nawaza lengo la kuchukua hiyo nguo ni nini na ukizingatia baada ya tendo nilihisi kama anajifutia ukeni, nimejaribu kumtafuta hewani hapatikani.
Hiyo nguo ya ndani aliyochukua na wewe ulijifutia? Fanya haraka kunijibu nataka kukunusuru lasivyo atakukatia luku
 
Mkuu kachukua kama ishara ya fairplay game ilikua tamu kaamua kmbadirishane jezi
 
Kwani unayo moja tu? Mpaka ulikua unaitafuta ulovaa jana uivae tena
 
Kuna mwana aliniambia kama ukiwa na msichana yeyote yule unayetoka nae don’t you ever let her control anything,

Habari za kuja kwako sijui anafua,anapika na kufanya kazi zingine za home kwako iwe mwiko otherwise ni mchumba wako na una uhakika 100% anakwenda kukaa ndani,

Mkisex usimruhusu akusafishe wa kukutoa condom

Ukiruhusu hayo mambo ukakuta na mtoto wa kike ni mshirikina kwisha habari yako

Sasa wewe mkuu pambanana

Nimeona hapo juu hutaki ukweli ukiambiwa hivi unawaambia wanaongeza tatizo huna tofaoti na watu wa jamhuri ya CHATTLE wewe
 
Wee muoe tu asije akafanya kama yale yaliyokuwa yakifanywa 77
 
Mungu Anifannyie Wepesi Ktk Hili

Hapa nimeomba ruhusa job sijisikii vizur, nimefika nyumbani kwake nimeambiwa katoka tangu asbhi alafu hawajui alipoenda na simu imezimwa
braza pole aiseee funga omba Mungu kwa imani.yako akuepushe na makorombwezo aliyo kwenda kukufanyia yamludie mala7 ...mwombe sana Mungu
 
Back
Top Bottom