Kachukua nguo yangu ya ndani

Kachukua nguo yangu ya ndani

Mkuu ishi kwa amani,hiyo haendi kuifanyia mabaya,ila jiandae kuazilika kwa Maelezo yako ni kuwa unapotezea MUDA lakini huna maisha nae.Nimewahi kusimuliwa na jamaa yangu lichotaka kufanyiwa na mwanadada mmoja wa kwa mkuu TZ.Alimfuta na kitambaa na kujifuta yeye halafu fasta akakiweka kwenye pochi yake ya mkononi,jamaa akashituka kwa kuwa sio kawaida yao,demu akaingia kuoga,jamaa akakichukua kile kitambaa,wewe ulikuwa ugomvi kukitafuta.Baadae kwa hasira demu akamwambia unabahati usingesimamisha tena kwa.....,akamtaja demu anaemhisi kuwa abatembea na jamaa.Sasa vuta subira ukiona umeenda kupiga mechi ugenini msoloboko ukagoma kuelejea nyuzi tisini,jua kwishine demu kakuweza.Pole sana..Ukiona hali hiyo muone MSHANA Jr,akishindwa akulete kwangu,tutamaliza tatizo halafu usimwambie kuwa umepona,tafuta marafiki zake gonga Mashine mana atawambia nimemuweza hasimamishi nai watataka kujaribu we Julie taratbu
Hahaha msoloboko
 
Pengine kachukua tu ili akaweke kumbukumbu za aliotembea nao
Mie huwa nashangaa sana pale panya anapochukua chupi zangu chumbani, huwa najiuliza sana, hivi anakwenda kuzifanya nini maana hata kuvaa hazimtoshi
 
Acha kujipa stress wewe mtoto wa kiume hakuna atakacho fanya we vunga tu...!!
 
Kuna mwanamke alimwambia mwanaume wake...."ukiniacha nnakuroga"

Nguo ya ndani kwa huku Africa =kizazi.


Same story dah 2016 kuna demu maeneo ya boma ng'ombe tulikua tunagombanaga sana ila tukisolv tunakua poa kuna siku nilienda kulala kwake akaniambia niiache nguo yangu ya ndani aifue nitaichukua siku ingine tukagomban tena tulivopatana nkamuulza boxer yng ipo wap akaniambia kaitupa chooni dah mm siamini nna waswas sana maana demu mwnyw mi mkatili sana
 
Am still stuck at that part ya nguo ya ndani kuifutia uke.

🙄🙄🙄

SMDH.
 
Ila umeniacha hoi sana, eti ulifutia/alifutia sh...wa then mzee baba unataka uivae asubuhi uende kwenye mihangaiko yako! Duh! Hivi ukiwa ni mtu wa matatizo, mikosi au kuwa na nuksi utamlaumu nani wakati unavaa nguo chafu hivyo?
 
Wakuu muwe mnaangalia namna nzuri ya kumshauri mtu bila kumuongezea tatizo.
Nadhani huo ndio ukweli mengine yote wanakutakutania na kukufariji,Cha muhimu mwambie "rudisha nguo yangu haraka kabla sijawaambia nyumbani tusijelaumiana" tena irudi kama ulivyoichukua" halafu unakata simu bila kusubiri jibu, hiyo ni tiba tosha na usimrudie tena, arudishe asirudishe wewe usihangaike naye tena ukiweza mpigie haraka tu ajue umejua
 
Kw
Ukute jamaa wala hawazii huko watu wanakofikiria..anawaza kubakiwa na boxer moja kati ya mbili
Kwani unafikiri uoga wake ni nini?kwamba kesho atavaa nini?na hata akifua haitakauka.haa haaa ila kuwa na mawazo negative juu ya kuchukuliwa noxer kwa ameenda kukutengeneza itakuwa hivyo kweli utatengenezeka hata kama hajafanya kitu.So try to be positive.Labda alibeba akafue.
 
Niko na mpenzi ambaye tumedumu naye kwa miaka mi 3, mahusiano yetu huwa tunaachana na kurudiana, huyu msichana kiukweli ananipenda sana ila mimi simkubali sana kihivyo, huwa nampendea msambwanda wake tu na mara nyingi huwa namwita geto usiku tunalala wote mpaka asbhi kisha anarudi kwake mapema.

Jana nilimwambia aje geto mimi nikaenda zangu kutazama mpira na washikaji, niliporudi nilimkuta chumbani maana nilimwelekeza wapi ufunguo ataukuta, tukafanya yetu mpaka asubuhi alipoondoka saa 12 na hii amekuja toka miezi 3 tulipozinguana na sikuwahi kutaka kuonana naye.

Huo mda alioondoka nilimfungulia geti nikiwa nimevaa taulo, kulipopambuza nikasema nijiandae nivae ndio nakuta nguo haionekani, nimetafuta sana ila sijaiona, pia nimekuta msichana kapekua pekua sana kwenye makabrasha yangu japo mpaka sasa sijaona chochote alichoondoka nacho kwa upande huo.

Hapa nipo kazini lakini akili haiko sawa kabisa nawaza lengo la kuchukua hiyo nguo ni nini na ukizingatia baada ya tendo nilihisi kama anajifutia ukeni, nimejaribu kumtafuta hewani hapatikani.
Tayari kichwa kimeshaliwa
 
Back
Top Bottom