Kabla ya kumwacha demu mpenda pesa namuuliza maswali haya

Mie siumii kabisa ni kama dalali tu, sijui uchungu hata wa tofali moja ila nakula sehemu ya kodi! Siujui uchungu wa CIF wala TPA ila nakula genji la million kwa kila anayeuza gari kifupi siinvest chochote kwa malaya 😂 😂 😂 😂
Em tuelewane kitu hapo, ni malaya au wanawake??
Huenda tukawa na kautofauti katika uelewa wa kinachoongelewa.

Malaya huwa wanatoa huduma kwa malipo, wewe unapiga bure??
Au ndugu yangu kwako wanawake wote ni malaya?
Kama ni hivyo basi ndgu nikupe hongera sana, maana malaya wengi hupenda pesa na ndo humo wanaume wengi huponea(tusiopenda mahusiano).
 
Mkuu achanana hao viumbe.
Tunza hela yako itakusaidia sana na itAsaidia sana familia yako.

Ukimtumia mzazi wako hata litter moja ya mafuta ya kupikia atakushukuru sana na atakuombea na njia za mafanikio zitafunguka. Achanan na hao mikosi man
 
Kabisa mwanawane....kama huna lengo la kuoa kwa kweli wee bora ujikite kwenye malaya wako basi....alafu kugeggeda malaya ni cheap kuliko kumiliki demu...sure i tell u....i have done the maths
Hivi ni mnasumbuliwa na kiraru kiasi hiko🤣🤣🤣
 
Aisee
Wengine wamezidi, hata aibu hawana.
Yaani demu mwingine hata story hana ukiona text yako tu ujue ni pesa
Sio wote mkuu, me na mtu wangu mwaka wa pili huu nampenda na yeye ananipenda sana.. hajawai niomba hela yoyote me ndo huwa najiongeza nampa ya matumiz madogo madogo.

Yeye anaishi kwao ila huwa anakuja kwangu mpka kunifanyia usafi wikiend,, nikimuhitaji kimapenz huwa haniambii nitumie nauli anakuja mwenyewe me ndo najiongezaga namchukulia usafir akiwa anaondoka .

Narudia hajawai niomba pesa yoyote labda vocha kwa ajili ya bando tena huwa inatokea mara chache sana na ni usiku Kwasababu hawezi kwenda dukan muda huo..

Mwisho niseme hata mimi nilikua na mawazo kama yako mkuu ,, ila wanawake wapo ambao hawana tabia hizo mkuu ila haujampata tu. Mwanamke akikupenda kweli hawezi kukufanya ATM kwahyo usichoke kutafuta utampata tu asiye na tabia hizo
 
Miaka kama 3 ilio pita katika kupitapita huko nikakutana na dada mmoja hivi, kwa muda wa miezi kama 7 hivi nikapiga hesabu nilishampa kama laki 4 hivi na kitu.
Wakati yeye hajawahi kunipa hata 500 ya vocha au hata mia yake sijawahi ona.
 
Ila kweli jana nacheki mpesa yaani ndani ya miezi miwili nimewatumia warembo jumla ya tsh 214,000....vimizinga hivi hivi vya naomba buku ten mra oh hela ya wine....aisee umalaya gharama sema ndio hivyo tena kile kitobo kitamu sana.
Tutaribu ku balance. Sio akiomba una tuma. Mimi mara nyingi huwa sitoi kiwango anachokitaka na muda mwengine sitoi kabisa japokuwa napenda kuto*****a.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Tutaribu ku balance. Sio akiomba una tuma. Mimi mara nyingi huwa sitoi kiwango anachokitaka na muda mwengine sitoi kabisa japokuwa napenda kuto*****a.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Yeah wacha tujaribu kubalance ila mwanawane kuto..mbaaa raha sana wacha tuwagegede tuu. Hela kitu gani bwana mbele ya utelezi
 
Demu kajilengesha eti ananipendq nikamwambia sawa kesho yake kanitext tumechat sana siku inayofuata anataka nimtumie 40k nikatuma

Zikapita siku mbili akataka Tena 30k nikatuma dah wiki inayokuja ni sikukuu anataka nguo za sikukuu na mtoko wa maana kwenda viwanja(outing)

Nikamblock paka yule
Wewe hapo umekuwa lizembe. Ustarabu uwe mdogo kwa hawa watu.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Demu kajilengesha eti ananipendq nikamwambia sawa kesho yake kanitext tumechat sana siku inayofuata anataka nimtumie 40k nikatuma

Zikapita siku mbili akataka Tena 30k nikatuma dah wiki inayokuja ni sikukuu anataka nguo za sikukuu na mtoko wa maana kwenda viwanja(outing)

Nikamblock paka yule

Mkuu 70k yako umekubali iende
 
You've got to know when to hold 'em,,,Know when to fold 'em,,,,,Know when to walk away And know when to run"

"You never count your money,, When you're sittin' at the table,,, There'll be time enough for countin',,,,When the dealin's done."
Hii kwa watu wa trading ni bonge moja la wazo yaani ni zaidi ya kupewa hela Ila ukapewa wazo utatengenezea hela
 
Sio wote mkuu, me na mtu wangu mwaka wa pili huu nampenda na yeye ananipenda sana.. hajawai niomba hela yoyote me ndo huwa najiongeza nampa ya matumiz madogo madogo.

Yeye anaishi kwao ila huwa anakuja kwangu mpka kunifanyia usafi wikiend,, nikimuhitaji kimapenz huwa haniambii nitumie nauli anakuja mwenyewe me ndo najiongezaga namchukulia usafir akiwa anaondoka .

Narudia hajawai niomba pesa yoyote labda vocha kwa ajili ya bando tena huwa inatokea mara chache sana na ni usiku Kwasababu hawezi kwenda dukan muda huo..

Mwisho niseme hata mimi nilikua na mawazo kama yako mkuu ,, ila wanawake wapo ambao hawana tabia hizo mkuu ila haujampata tu. Mwanamke akikupenda kweli hawezi kukufanya ATM kwahyo usichoke kutafuta utampata tu asiye na tabia hizo
Naomba namba yake , please
😛😛😛😛😛
 
Kwahiyo unataka demu wako nae akupe zawadi ndo ujue kua anakupenda??
Daah wanaume wa kizazi hiki sijui mkoje aisee.

Wewe ndo uliemtongoza, akakubali bado unataka yeye ndo athibitishe upendo wale kwako wewe uliemshawishi.

Mfanye akuamini hizo zawadi ni nature tu ya mtu akupe au asikupe, kukuachia mwili wako na kukukubalia ni upendo huo.
Acheni kupenda mserereko bna.



Ni mojawapo ya vigezo vya kitafiti vya kisayansi juu mahusiano ya kimapenzi kuhusu wapenzi kupeana zawadi.

Asomaye na afahamu.
 
Em tuelewane kitu hapo, ni malaya au wanawake??
Huenda tukawa na kautofauti katika uelewa wa kinachoongelewa.

Malaya huwa wanatoa huduma kwa malipo, wewe unapiga bure??
Au ndugu yangu kwako wanawake wote ni malaya?
Kama ni hivyo basi ndgu nikupe hongera sana, maana malaya wengi hupenda pesa na ndo humo wanaume wengi huponea(tusiopenda mahusiano).
A "bitch" is a slang word representing women. Hio ni kwa kingereza ila kibongo bongo ni "malaya" ni neno la jumla jumla kiwakilishi cha wanna wake!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom