Kabla ya kuilaumu Law School, watanzania wanajua kwamba baadhi ya wanafunzi vyuo binafsi huwaandalia" fungu" waalimu ili wafaulu?

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,000
20,653
Hii ni issue niliyoambiwa na mmoja ya waalimu wa chuo kikuu binafsi aliyekuwa anafundisha sheria. Aliingia chuo hicho (sikitaji) akiwa na bidii kubwa,. Anaingia Kila kipindi kwa wakati, anakuwa mkali pale wanafunzi wanapochelewa, na katika mtihani alikuwa hana mzaha.

Mmoja wa wanafunzi akamfuata, akamueleza kwamba yeye na wenzake wamechanga fungu nono la fedha ili awalegezee wafaulu vizuri. Akakataa, na akawanyoosha vizuri kwenye mtihani. Walichofanya lile fungu walilipeleka ngazi ya juu.

Ngazi ya juu wakamwita, wakamwambia kwamba wao biashara yao ni hao wanafunzi, anawafelisha halafu chuo kitoe wapi mapato? Akaambiwa awafaulishe au aache kazi. Jamaa akaacha kazi!

Kipindi hicho, chuo kikuu hicho lilikuwa kinatoa first class karibu darasa zima. Na ajira za vyeti, wakawa waaajiriwa kirahisi sana. Baadae waajiri wakaanza kuwalalamikia na kukataa kuwaita katika usaili.

Mwanachuo wa hivyo akutane na cream ya waalimu, wasiotaka Cha juu. Waalimu ambao serikali imewahakikishia mishahara, na chuo kinaendeshwa kwa fedha za serikali, hata kama akibaki mwanafunzi mmoja, chuo kinaenda.

Hivi tunasahau digrii za ngono mara hii? Digri za hivyo huwa zinakwama katika professional bodies kama Law School na Bodi ya uhasibu na kwingine.

Tuache maharage yarukeruke, ndio kuiva kwake! Waachie wachezee disco na supu, ndio wanaiva.
 
Hii ni issue niliyoambiwa na mmoja ya waalimu wa chuo kikuu binafsi aliyekuwa anafundisha sheria. Aliingia chuo hicho (sikitaji) akiwa na bidii kubwa,. Anaingia Kila kipindi kwa wakati, anakuwa mkali pale wanafunzi wanapochelewa, na katika mtihani alikuwa hana mzaha.

Mmoja wa wanafunzi akamfuata, akamueleza kwamba yeye na wenzake wamechanga fungu nono la fedha ili awalegezee wafaulu vizuri. Akakataa, na akawanyoosha vizuri kwenye mtihani. Walichofanya lile fungu walilipeleka ngazi ya juu.

Ngazi ya juu wakamwita, wakamwambia kwamba wao biashara yao ni hao wanafunzi, anawafelisha halafu chuo kitoe wapi mapato? Akaambiwa awafaulishe au aache kazi. Jamaa akaacha kazi!

Kipindi hicho, chuo kikuu hicho lilikuwa kinatoa first class karibu darasa zima. Na ajira za vyeti, wakawa waaajiriwa kirahisi sana. Baadae waajiri wakaanza kuwalalamikia na kukataa kuwaita katika usaili.

Mwanachuo wa hivyo akutane na cream ya waalimu, wasiotaka Cha juu. Waalimu ambao serikali imewahakikishia mishahara, na chuo kinaendeshwa kwa fedha za serikali, hata kama akibaki mwanafunzi mmoja, chuo kinaenda.

Hivi tunasahau digrii za ngono mara hii? Digri za hivyo huwa zinakwama katika professional bodies kama Law School na Bodi ya uhasibu na kwingine.

Tuache maharage yarukeruke, ndio kuiva kwake! Waachie wachezee disco na supu, ndio wanaiva.
Lecture ana balansia😁
 
Hii ni issue niliyoambiwa na mmoja ya waalimu wa chuo kikuu binafsi aliyekuwa anafundisha sheria. Aliingia chuo hicho (sikitaji) akiwa na bidii kubwa,. Anaingia Kila kipindi kwa wakati, anakuwa mkali pale wanafunzi wanapochelewa, na katika mtihani alikuwa hana mzaha.

Mmoja wa wanafunzi akamfuata, akamueleza kwamba yeye na wenzake wamechanga fungu nono la fedha ili awalegezee wafaulu vizuri. Akakataa, na akawanyoosha vizuri kwenye mtihani. Walichofanya lile fungu walilipeleka ngazi ya juu.

Ngazi ya juu wakamwita, wakamwambia kwamba wao biashara yao ni hao wanafunzi, anawafelisha halafu chuo kitoe wapi mapato? Akaambiwa awafaulishe au aache kazi. Jamaa akaacha kazi!

Kipindi hicho, chuo kikuu hicho lilikuwa kinatoa first class karibu darasa zima. Na ajira za vyeti, wakawa waaajiriwa kirahisi sana. Baadae waajiri wakaanza kuwalalamikia na kukataa kuwaita katika usaili.

Mwanachuo wa hivyo akutane na cream ya waalimu, wasiotaka Cha juu. Waalimu ambao serikali imewahakikishia mishahara, na chuo kinaendeshwa kwa fedha za serikali, hata kama akibaki mwanafunzi mmoja, chuo kinaenda.

Hivi tunasahau digrii za ngono mara hii? Digri za hivyo huwa zinakwama katika professional bodies kama Law School na Bodi ya uhasibu na kwingine.

Tuache maharage yarukeruke, ndio kuiva kwake! Waachie wachezee disco na supu, ndio wanaiva.
Uongo ukizidi kuna madhara yake! Utakuja kuwa kama Musiba wewe! Hujitambui wewe. Ipo siku utafikishwa Vyombo stahiki utajuta na uongo wako wa kila kukicha
 
Una chuki na sekta binafsi. Kwani hao 23 ndiyo wametoka vyuo vya serikali wakati 800 na zaidi private! Acheni ujinga
 
Kwani waliofeli ni wa vyuo binafsi pekee .Tatizo wala siyo vyuo tatizo lipo kwa wanafunzi wanakariri jinsi ya kujibu maswali badala ya kuelewa wanachofundishwa.
 
Huu ni ukweli mchungu mno. Na huu upuuzi haupo vyuoni tu unaanzia toka chekechea.

Mtu anafungua daycare yake kila mtihani ukija mtoto ana 100% kumbe walimu wanawashikisha watoto penseli kuwachoresha kwenye mitihani kutokujali kaelewa au hajaelewa.

Akija primary private, mwenye shule ananunua mitihani ya taifa, shule nzima inapasi na kuonekana bora kutokujali ufundishaji duni. Na hii ni hivyo hivyo mpaka sekondari.

Tatizo mfumo wa elimu yetu umekazania mno kufaulu kwa makaratasi kuliko kuelewa tunachosoma. Hatma yake ndio viongozi wa ovyo kabisa wasioweza kusimamia chochote kile.

Kupata degree imekuwa sifa kuliko kuelewa kilichisomewa katika hiyo degree.
 
Uongo ukizidi kuna madhara yake! Utakuja kuwa kama Musiba wewe! Hujitambui wewe. Ipo siku utafikishwa Vyombo stahiki utajuta na uongo wako wa kila kukicha
Vyombo mpelekee mkeo, hiyo ndio hali halisi ya vyuo binafsi, UDSM na Mzumbe pekee walau wana afadhali
 
Kuna mtu jana kanitukana sana nilivyochangia point ya namna hii kwenye uzi Fulani.
 
Hii ni issue niliyoambiwa na mmoja ya waalimu wa chuo kikuu binafsi aliyekuwa anafundisha sheria. Aliingia chuo hicho (sikitaji) akiwa na bidii kubwa,. Anaingia Kila kipindi kwa wakati, anakuwa mkali pale wanafunzi wanapochelewa, na katika mtihani alikuwa hana mzaha.

Mmoja wa wanafunzi akamfuata, akamueleza kwamba yeye na wenzake wamechanga fungu nono la fedha ili awalegezee wafaulu vizuri. Akakataa, na akawanyoosha vizuri kwenye mtihani. Walichofanya lile fungu walilipeleka ngazi ya juu.

Ngazi ya juu wakamwita, wakamwambia kwamba wao biashara yao ni hao wanafunzi, anawafelisha halafu chuo kitoe wapi mapato? Akaambiwa awafaulishe au aache kazi. Jamaa akaacha kazi!

Kipindi hicho, chuo kikuu hicho lilikuwa kinatoa first class karibu darasa zima. Na ajira za vyeti, wakawa waaajiriwa kirahisi sana. Baadae waajiri wakaanza kuwalalamikia na kukataa kuwaita katika usaili.

Mwanachuo wa hivyo akutane na cream ya waalimu, wasiotaka Cha juu. Waalimu ambao serikali imewahakikishia mishahara, na chuo kinaendeshwa kwa fedha za serikali, hata kama akibaki mwanafunzi mmoja, chuo kinaenda.

Hivi tunasahau digrii za ngono mara hii? Digri za hivyo huwa zinakwama katika professional bodies kama Law School na Bodi ya uhasibu na kwingine.

Tuache maharage yarukeruke, ndio kuiva kwake! Waachie wachezee disco na supu, ndio wanaiva.
 
Ukweli ni kwamba wanafunzi wa Tanzania tunakaririshwa...kuanzia ngazi za chini mpk huko juuu...wla haishangazi hayo matokeo
 
Kuna kamfumo kabovu ka elimu kanafugwa kila ngazi saizi na ndio chanzo cha kupata hawa vilaza. Yaani eti inaonekana dhambi mwanafunzi kufeli. Wanafunzi ni wavivu,hawajitambui kila kitu mpaka wafuatiliwe. Ni bullshit hii
 
Back
Top Bottom