Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,400
- 4,074
Hakika hii Nchi ya Ajabu kabisa kila kitu ni Siasa.Wakati wa Utawala wa Awamu ya 4 kulitokea KUFELI kwa Wanafunzi wengi Badala ya Kutafuta sababu za Wanafunzi KUFELI kuna KIONGOZI MKUBWA aliagiza VIWANGO vya Wanafunzi waliofeli Waongezewe alama za Ufaulu na Matokeo yake Idadi ya Wanafunzi Waliofaulu ikaongezeka na TAIFA likafurahi kuwa na Waliofeli kuongezewa Alama.
Leo limejitokeza la LAW SCHOOL kwa kuwa Tunataka Wanafunzi Wafaulu kwa WINGI bila kujali Uwezo wao basi Tutarajie Wanafunzi 600 WATAFAULU ili TAIFA lifurahi.
Ninachoamini mimi kutokana na Wingi wa Vyuo binafsi vinavyofundisha SHERIA wanafunzi wanaojiunga na Vyuo hivyo wengi wao Waliopata Div 3 huchukuliwa na kujiunga na Vyuo je unatarajia nini kwa huyo Mwanafunzi wa Div 3 atakapofika LAW SCHOOL?
VYUO vingi vinashindwa kuwaandaa Wanafunzi wao ili waweze kufanya vizuri LAW SCHOOL
Pia kuna Changamoto kubwa ya LUGHA na hili hata JAJI MKUU aliwahi kulisemea.
Suala la Wanafunzi wa LAW SCHOOL KUFELI sio kwa TANZANIA bali ni kwa Nchi mbalimbali ikiwemo KENYA ZIMBABWE nk.
LAW SCHOOL Ni Chuo kigumu kutoka na Masomo yake Mwanafunzi asipoandaliwa Vizuri Chuoni alikotoka hakika HATOBOI LAW SCHOOL.
Leo limejitokeza la LAW SCHOOL kwa kuwa Tunataka Wanafunzi Wafaulu kwa WINGI bila kujali Uwezo wao basi Tutarajie Wanafunzi 600 WATAFAULU ili TAIFA lifurahi.
Ninachoamini mimi kutokana na Wingi wa Vyuo binafsi vinavyofundisha SHERIA wanafunzi wanaojiunga na Vyuo hivyo wengi wao Waliopata Div 3 huchukuliwa na kujiunga na Vyuo je unatarajia nini kwa huyo Mwanafunzi wa Div 3 atakapofika LAW SCHOOL?
VYUO vingi vinashindwa kuwaandaa Wanafunzi wao ili waweze kufanya vizuri LAW SCHOOL
Pia kuna Changamoto kubwa ya LUGHA na hili hata JAJI MKUU aliwahi kulisemea.
Suala la Wanafunzi wa LAW SCHOOL KUFELI sio kwa TANZANIA bali ni kwa Nchi mbalimbali ikiwemo KENYA ZIMBABWE nk.
LAW SCHOOL Ni Chuo kigumu kutoka na Masomo yake Mwanafunzi asipoandaliwa Vizuri Chuoni alikotoka hakika HATOBOI LAW SCHOOL.