Kabila la wanyakyusa


Aahaha,,....ndeeeti ?
haya bwana mzee wa Bulongwa......
 
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!

Linga ukalele mbombo syako,ikinyakyusa OYEE,kumyitu ku Mbeya.
 
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!

Linga ukalele mbombo syako,ikinyakyusa OYEE,kumyitu ku Mbeya.
 
Mnyakyusa hata angekaa ULAYA miaka 50 hawezi acha kuongea kinyakyusa na haachi utamaduni wa kwao kamwe. Bibi yangu anaishi Dar esalaam Magomeni toka miaka ya 60's lakini hadi sasa hajui kiswahili na haongei kiswahili zaidi sasa majirani inawabidi wajifunze kinyakyusa kupitia kwake. Wengi tumejua kinyakyusa kupitia kwake. Hivyo Tuuenzi utamaduni wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…