Ulinkonyofu fijho gwe nnjanga ugwe!Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
kinyakyusa kinunu mwe,jwani akimenye tujobhepo panande.
Kama wanakitwanga wao kwa wao sioni tatizo, na mimi naona ni vizuri nikachapa story kwa lugha ya kwetu kama niko na poti. Kuna utamu ktk lugha yako ya asili wewe. Kuna Padri moja kule Ikonda Hospital alikuwa anachapa Kikinga hadi raha, na ikasababisha Wagonjwa kumpenda sababu walikuwa wanaweza kumpa maelezo ya kuumwa kwao kwa lugha yao ya asili.
Ipende lugha yako mkuu, mbona akina pua ndefu wanapotema yai barabarani huku kwetu mbona hulalamiki?
mutwandie kangi? Mutuleke!
naloli bhatuleke gwe, abhandu abha bhaeghile sya escrow bhikulonda kuegha na sya kumwyitu!! mhma gwee
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
kinyakyusa kinunu mwe,jwani akimenye tujobhepo panande.
Habari zenu, ndugu zangu..napenda kuuliza au kujua kwanini hili kabila la wenzetu wanapenda kuzungumza kinyakyusa sana hata kwenye mikusanyiko ya watu kwa nini wasipende kuzoea kuzungumza KISWAHILI..kwa kweli wananichukiza sana kwa hilo!
ndipo une kikolo jobha mbilikekinyakyusa kinunu mwe,jwani akimenye tujobhepo panande.
kinyakyusa kinunu mwe,jwani akimenye tujobhepo panande.
kinyakyusa kinunu mwe,jwani akimenye tujobhepo panande.
Keta walimyeee siwaaghie