tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 534
Kumbuka Tz hatuna herufi ya Q.alie kwambia tumetoka Iraq nani??
soma thread vema kabla hujatapika maneno hovyo...
Kumbuka Tz hatuna herufi ya Q.alie kwambia tumetoka Iraq nani??
soma thread vema kabla hujatapika maneno hovyo...
hawawezi kupotea wairaqw Taifa kubwa labda wewe uliyepost ni mnyatturu au mmasai.Wamasai ndo waka katika hatari ya kutoweka maana wamejazana mijini wakilinda nyumba za watu
Kumbuka Tz hatuna herufi ya Q.
Kumbuka Tz hatuna herufi ya Q.
Kuna uwezekano mkubwa wa kabila la Kiiraqw lilopo mkoa wa manyara kupotea kabisa au asili ya watu hawa kupotea kabisa siku za mbeleni. na hasa ukizingatia na udogo wa kabila lenyewe. Hii ni kutokana na sheria zao kali za kimila zinazoweka mazingira magumu sana ya wenyewe kwa wenyewe kuoana na kusababisha asilimia kubwa ya watu kulazimika kuoa au kuolewa na makabila mengine, sisemi kama kuna ubaya kuoa au kuolewa na makabila mengine. Katika hili kabila kuna kitu kinaitwa DAWI, maana ya DAWI ni uhusiano wa kikoo au kidamu kati ya watu wawili, hata kama ni kitukuu wa kitukuu ambaye Bibi yake ni ukoo wako basi huwezi kumuoa au kuolewa naye kwasababu atakuwa ni DAWI yako. Sasa kutokana na udogo wa hili kabila vijana wengi walioanzisha uhusiano wamejikuta wameingia kwenye huo mtego na kushindwa kuoana.
Herufi huwa zinawakilisha sauti. Kwa hiyo hata kama hakuna herufi 'Q' sauti zinazotumia kaakaa laini zinawakilishwa
na herufi zipi kama sio X,Q, /? Jifunza elimu ya fonolojia kabla ya kuanddika.[/QUOTE
Mi naongelea maandishi ya kiswahili hakuna Q,sijaongelea matamshi.
hata mi nilikumiss sana tu nikaona nirudi kukusalimu my dear ..
sasa umesha "investigate" ile issue ?? nasubiri jibu kwa hamu Duduwasha
Herufi huwa zinawakilisha sauti. Kwa hiyo hata kama hakuna herufi 'Q' sauti zinazotumia kaakaa laini zinawakilishwa
na herufi zipi kama sio X,Q, /? Jifunza elimu ya fonolojia kabla ya kuanddika.[/QUOTE
Mi naongelea maandishi ya kiswahili hakuna Q,sijaongelea matamshi.
Kama ni maandishi ya Kiswahili ni sawa hakuna konsonanti Q wala X lakini kwa Kiiraqw na lugha ambazo siyo za kiBantu hizo zinatumika.
tuache kudanganyana, taifa kubwa mtakuwa wairaqw? labda kwa uvivu, umalaya, na ushamba. Kila mahali nyumba ya wageni kwanini ? hafu guest house zenyewe za chap chap! du mnatisha.
Kuna uwezekano mkubwa wa kabila la Kiiraqw lilopo mkoa wa manyara kupotea kabisa au asili ya watu hawa kupotea kabisa siku za mbeleni. na hasa ukizingatia na udogo wa kabila lenyewe. Hii ni kutokana na sheria zao kali za kimila zinazoweka mazingira magumu sana ya wenyewe kwa wenyewe kuoana na kusababisha asilimia kubwa ya watu kulazimika kuoa au kuolewa na makabila mengine, sisemi kama kuna ubaya kuoa au kuolewa na makabila mengine. Katika hili kabila kuna kitu kinaitwa DAWI, maana ya DAWI ni uhusiano wa kikoo au kidamu kati ya watu wawili, hata kama ni kitukuu wa kitukuu ambaye Bibi yake ni ukoo wako basi huwezi kumuoa au kuolewa naye kwasababu atakuwa ni DAWI yako. Sasa kutokana na udogo wa hili kabila vijana wengi walioanzisha uhusiano wamejikuta wameingia kwenye huo mtego na kushindwa kuoana.
Hakuna mtu mwenye asili ya Tanzania. Wairaqw wanaaminika ndio waliohamia East Africa mapema zaidi kuliko makabila mengine ya Kibantu na nilotes na kwamba waliwakuta Bushmen(Khoisan speaking tribes like Hadza and tsandawe). For your information, Tanzania (mainly Manyara Region) is the only place in the continent where the four major African language families - Bantu, Khoisan, Cushitic, and Nilotic - occur together. Iraqw is the only tribe of Cushitic origin in the region as they grew totally isolated from their original Cushitic cluster who settled in Horn of Africa and southern Kenya. By no means kabila hili itakuja potea if it survived for so long...
kuhusu elimu sio kweli ila mwirak kitu ambayo hapendi ni kule mtoto amefeli amlazimishe kusoma.Historia ya chimbuko, mila na desturi za kabila la WAIRAQWUtanguliziWairaqw ni miongoni mwa rnakabila yanayoishi katika Mkoa wa Manyara Wilaya zaMbulu, Babati, Hanang na Mkoa wa Arusha Wiiaya ya Karatu.Asili ya kabila la WAIRAQWKwa asili Wairaqw walitokea Mesopotamia Iraq. Uhamiaji wao ulianza katika karne ya 4 - 6baada ya kuzaliwa kwa Kristo. Wairaqw ni jamii ya Wakushi ambao Walivuka bahari yaSham kwa mashua na kutua Ethiopia, waliishi hapo kwa muda kutokana na vita vya mara kwamara, waiiendelea kuhama kuelekea kusini magharibi waiipitia bonde la ufa kando yaziwa Victoria. Katika kuhama hama huko na kukaa mahali kwa muda vitavikaanza wakakimbilia na waiiendelea hivyo hivyo kupitia njia ya kati kupitia Singida Irambahadi mpakani mwa Dodoma na Iringa. Kwa upande wa kusini kuiikuwa namapambano ya Wahehe, Wangoni na Wazimba wakarejea kuelekea kaskazini hadisehemu ya Kondoa mahali panapoitwa Guser Tuwalay. Waliishi hapo wakiwa wafugajina kilimo kidogo. Ndipo walipoanza mapambano kati yao na Wabarbaig. Waliposhindwavita walikirnbilia karibu na mlima Hanang. Wakagawanyika wengine wakaelekea,Gallapo (Tsea Daaw). Hawa waliitwa Wagorowa na Wairaqw walipandisha mlima Dabilhadi Guser, Gangaru ambapo walifanya maskani.Baada ya muda Kiongozi wao aiiyeitwa Haymu Now wa ukoo wa Haytipe aliwaongoza hadiNou na walifanya rnaskani yao katika maeneo ya Mama Isara. Aidha inasemakana kuwa eneolote la Mama Isara lilikuwa ni ziwa wakati ule, hivyo Haymu na watu wake walifanya maskanikatika maeneo ya milima.Kiongozi huyo alikuwa na mtumishi wake aiiyeitwa MOYA. Hi kuongeza maeneo ya kilimokiongozi huyo alitumia uganga wake kuhamisha ziwa katika eneo la Mama Isara kwakumwagiza mtumishi wake kurusha mshale katikati ya ziwa hilo. mtumishi alipofanya hivyoziwa lilihama pamoja naye hadi katika bonde la ufa ambalo linajulikana kwa jina la ziwamanyara kwa sasa na Kiiraqw hujulikana kama "Tlawta Moya".Baada ya ziwa kuhama kiongozi huyo aliendelea kuishi hapo na watu wake na kuendeleakutawanyika katika maeneo ya Muray, Kuta, Amoa, Kainam, Suum, Datlaa, Tsaayo Wilaya yaMbulu.Baadaye Wairaqw wakatawanyika taratibu sehemu za Karatu, Babati na Hanang kama makaomakuu yao mpaka leo. Baadhi ya miia na desturi za Wairaqw zinafanana na za Wayahudikama matumizi ya kondoo katika jamii.Chakula cha asili cha WAIRAQWChakula chao kikuu kilikuwa nyama ya wanyamapori na ya mifugo waliyofuga. Walichunanyama kwa kutumia mawe yenye ncha kali mithili ya kisu. Mapishi yao yalitokana na motounaopatikana kwa njia ya kupekecha mti hadi moto unatokea, chombo hicho kiliitwa (Bui naDaha). Baadaye waligundua mazao aina ya mtama, ulezi, uwele na mboga yao ilikuwa kunde.Nafaka hiyo ilisagwa kwa kutumia jiwe la mkono na unga uliopatikana ulitumika kupikiaugali mlaini (Xwante) unaofanana na uji uliopoa. Nafaka hiyo pia hutumika kutengenezeapombe ya asili ambayo ilinyweka kama viburudisho wakati wa sherehe mbalimbali za kimila.http://www.safarilands.org/Michezo ya asiliWairaqw walikuwa na ngoma aina mbili:-1. Ngoma ya ndani yaani ya harusi. Ngoma hii huchezwa siku mtoto wakike anapoolewa au wa kiume anapooa.2. ngoma ya nje ya mwaka wakati wa mavuno huitwa "Gilo". Ngoma hii huchezwa wakati wamavuno kama ishara ya furaha na shukrani kwa Mungu.Nyimbo ya "Mudeli" huimbwa wakati wa harusi kwa kumpongeza bwana harusi na bibi harusi,na nyimbo hizp huimbwa na akina mama.Wakati wa kuweka sherehe ya shukrani kwa mwaka, Wairaqw wana utaratibu wa maombiyaani inaitwa "slufay" pamoja na "Giriyda". Giriyda hi nyimbo maalum ya kuomba mambornazuri na kuepusha mambo mabaya.Nyimbo maarufu kwa akina mama inaitwa "sibeli" ni nyimbo ya shukrani kwaMungu.MavaziMavazi ya asili ya Wairaqw ni ngozi. Ngozi hizo zililainishwa vizuri na kushonwa mithili yashuka, sketi au kanga. Vazi la kiume lilikuwa moja ambalo lilifunikwa kama shuka. Vazi lakike lilikuwa sketi na shuka ndogo iliyofanana na kanga. Pia wanaume na wanawake walivaaviatu vilivyotengenezwa na ngozi.Uchumi wa jadi ya WAIRAQWUchurni wa jadi wa Wairaqw ulikuwa ufugaji, kilimo, na utengenezaji wa zana mbalimbali zakilimo na ulinzi. Hapakuwa na biashara ya fedha taslimu ila ilikuwa kubadilishana mali aumifugo kwa vifaa au zana.Zana za kilimoMajembe ya asili yalitengenezwa kwa kutumia miti iliyochongwa kama mithili ya jembe.Majembe hayo yalitumika kulimia na kushindilia udongo juu ya nyumba ya Tembe. Jembe hiloliliitwa "Taqhwani", pia kwa ajili ya kutindua shamba jipya walitumia chimbuolililotengenezwa na miti migumu na ilichongwa upande mmoja mithili ya chimbuo. Jembe hiloliliitwa 'Dughsay". Baadaye waligundua zana zilizotengenezwa kwa udongo wa mfmyanziuliotoka Mbugwe. Zana hizo zilitumika hadi majembe ya mkono yalipopatikana kutoka kwawataalam wa nje.Zana za vita na uwindajiMikuki na mishale ya asili ilitengenezwa na miti iliyochongwa mfano wa mkuki wa chumaunaotumika sasa. Pia walitumia mawe yenye ncha kali na baadaye waligundua zanazinazotengenezwa kwa kuturnia udongo wa mfinyanzi ambazo zilikaushwa kwa moto mkalikama tofali.Hifadhi ya nafakaWalipovuna walikuwa na utaratibu wa kuweka mazao yao kwenye ghala zao za asili (kuntay)zilizotengenezwa kwa vinyesi vya ng'ombe. Pia aina ya majani ya miti ya asili na majivu yavinyesi vya ng'ombe vilitumika katika kuhifadhi nafaka kutokana na kushambuliwa nawadudu. Majivu ya majani hayo yalichanganywa na nafaka mithili ya dawa zinazotumika sasa.http://www.safarilands.org/Utawala/uongoziWalikuwa na uongozi toka ngazi ya familia, ukoo, jamii ya kabila zima la Wairaqwwaliotawaliwa na Kahamusmo ambaye ni kiongozi mkuu wao. Kiongozi msaidizi anaitwaYaabusmo. Kila mmoja anafanya kazi kwa nafasi yake. Kwa ujumla ni kabila linalopendakushirikiana katika shughuli mbalimbali za ujenzi wa Taifa; "Walikuwa na waganga wa kiasiliwaliojulikana kwa majina kwa jamii nzima.Malezi ya mtoto wa kike na kiume wa KIIRAQWMtoto wa kike na wa kiume wa Kiiraqw anapozaliwa na kukua hufundishwa maadili mema yakuishi na jamii. Mtoto wa kike hufundishwa na akina mama maadili mema ya kuishi na numena namna ya kutunza familia anapoolewa na kuzaa. Mtoto wa kiume hufundishwa na akinababa maadili ya kuishi na jamii, mbinu za kujitegemea katika kutunza familia anapokuwaameoa.ElimuWairaqw wa asili hawakupenda kuwasomesha watoto wao wakidai kuwa wakipata elimuwatapotoka au mila zao zingepotea. Pia waliwazuja watoto kwenda shule kwa ajili ya kufanyakazi za nyumbani kama vile kucunga mifugo hasa kwa watoto wa kiume. Kwa watoto wa kikewaliwazuia kwenda shule ili waolewe na wapate mali (mahari).Mahakama ya jadi za WAIRAQWAdhabu zilitolewa kwa taratibu za mila kwa kuzingatia kosa alilotenda mhalifu. Masuala yamakosa yote yaliyotoka katika jamii hujadiliwa na wazee wa jinsia tofauti yaani wanaume nawanawake na kutolewa uamuzi. Pia fursa Hitolewa kwa masuala yaliyohusu kesi ya jinsiamoja kujadiiiwa na wazee wa jinsia hiyo kwanza ili hatimaye adhabu itolewe na jamii nzima.Watuhumiwa waliopatikana na makosa yaliyothibitika walitozwa faini ya kimila iliyoitwa"Dohho" au waliagizwa kulipa fidia kwa mlalamikaji. Watuhumiwa waliokana mashtaka hatakama kuna ushahidi walipewa adhabu ya kutengea na jamii nzima. Pia kwa kesi ambazo hazinaushahidi mlalamikaji na mlalamikiwa waliapishwa kwa yote aliyoeleza ni sahihi na laanailitolewa kwa aliyesema uongo fotauti na hali halisi.Tiba za asiliWairaqw walitumia mizizi na majani ya miti kama tiba ya magonjwa mbalimbali. Mizizi hiyoilichemshwa au kusagwa na kuchanganywa na maji na kupewa wagonjwa.- mwisho -historia hh ya wairaq meandaliwa nakamati ya tamasha ya utamaduniwa jame yaWairaqw na Wagorowa - wilaya ya Babati,