Kaa mbali na huyu tapeli KIM2

Kaa mbali na huyu tapeli KIM2

Ndio ujue kiasi gani life limekaba mkuu
Kaka huyo jamaa ni mwizi mzuri. Kama ni elfu tatu mshukuru Mungu.

Hapo faida uliyopata ni fundisho. Chukulia hiyo elfu 3 ni tuition fee.

Wiki ya tatu sasa nimetuma 40,000 na mpaka sasa sijaletewa mfanyakazi. Wakati mwingine vitu vibaya hutokea ili vizuri vije.
 
Kaka huyo jamaa ni mwizi mzuri. Kama ni elfu tatu mshukuru Mungu.

Hapo faida uliyopata ni fundisho. Chukulia hiyo elfu 3 ni tuition fee.

Wiki ya tatu sasa nimetuma 40,000 na mpaka sasa sijaletewa mfanyakazi. Wakati mwingine vitu vibaya hutokea ili vizuri vije.
Usiniambie jamaa huyu huyu ndio nawe alikupiga elfu 40?pole mkuu
 
Mbinu ingine anajifanya kutafuta mchumba ....
 
Hahahah watu bana..
Me pia nilishawahai kumsaidia mtu humu kumtafutia mdada wa kazi na nikamtumia arusha.
Nikamwamini atanirushia gharama nilizotumia. Since dat day apokei simu Tena.
Fikiria Geita to arusha.?????
 
Hahahah watu bana..
Me pia nilishawahai kumsaidia mtu humu kumtafutia mdada wa kazi na nikamtumia arusha.
Nikamwamini atanirushia gharama nilizotumia. Since dat day apokei simu Tena.
Fikiria Geita to arusha.?????
Dunia imeegama
 
Mtu kama huyu tapeli hafai kuwepo kwenye jamii yetu.

Mtu ana matatizo, ana hitaji mtu wa kumsaidia, wewe unamwibia tena. Hiyo si sawa
 
Back
Top Bottom