Kaa kimya

Aaamen
 
Kazi ya mdomo ni kula chakula na kumeza dawa
 
Hapo kwenye kuongea bila kupiga kelele umenifurahisha.Kuna rafiki yangu akiongea na mtu yoyote utafikiri Kuna ugomvi yaani kama kashika maiki na speakers za vigodoro
 
Hapo kwenye kuongea bila kupiga kelele umenifurahisha.Kuna rafiki yangu akiongea na mtu yoyote utafikiri Kuna ugomvi yaani kama kashika maiki na speakers za vigodoro
Your browser is not able to display this video.
 
Sometimes watu wanaokaa kimya wana boa bwana. Nina ndugu unamuacha na wageni sebren hata kuwazungumzisha tu no. Halafu kukaa kimya unaweza ukaonekana una dharau / Kiburi pia unaweza kuonewa tu na kupoteza haki zako.....na hata wanawake akijua wewe ni wakukaa kimya atakuonea sana .....nataka ni seme tu UKIMYA NI MZURI LAKINI UWE NA MIPAKA
 
Nimefafanua
~ Nyamaa, kaa kimya, katikati ya kilele cha hasira, kaa kimya,
~ Ikiwa maneno yako yanaweza kuharibu urafiki. kaa kimya.
~ Ikiwa maneno yako yatamchukiza mtu, kaa kimya,
~ Ikiwa huwezi kuongea bila kupiga kelele, kaa kimya,
~ Kama huna ukweli wote, kaa kimya.
~ Wakati unahisi kukosolewa, nyamaza.
~ Ikiwa maneno yako yanatoa maoni yasiyofaa.
 
Hateiya kishambaa unu mghoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…