Kuna uhusiano wa kindugu kati ya Marehemu na mwenye Duka , GRANT ( Ambaye ndiye owner ) ameoa dada wa Marehemu , ni suala la ujambazi tu , kwa hiyo tuchukulie kama bad luck .
Huyo atakuwa ameishi States au anapenda kuongea American English.
Hiwa "is" hawaisemi kabla ya swali, au hata "are".
Kwa mfano .. You alright?
She alright?
She dead?
You coming?
He/She crazy mayn! ....
Na kadhalika, siyo ujuacho wewe tu ndiyo sahihi. Samahani kama nimekukwaza.
Mara nyingi hawa matajiri wanaambiwa kuomba ulinzi wa polisi katika kusindikiza mapene Bank.. Wanaleta ubahili na matokeo yake ndo haya.. Macikini dada wa watu.. Maisha yake yamekatizwa kwa uzmbe na ubahili wa tajiri..
RIP Mwasiti..
Wabongo bwana, mnasahngaa matukio kama haya kwa mji mkubwa kama dar?
Waulize wenzenu wa huko Arusha, ila kwa tukio hili wawabane wafanyakazi wenzake huenda kuna mmojawapo kafanya mchongo.