K/koo: Kipande cha Sabuni badala ya simu

K/koo: Kipande cha Sabuni badala ya simu

Nilichowagundua hawa jamaa wanacheza na saikolojia yako, anapokwambia kaiba mtaa wa pili, hivyo mfanye haraka msije shikwa, pale ndo anapokupigia kwakua utapata wasiwasi na kushindwa kufocus, unakua unajishauri uchkue ama lah, ndo kosa linapotokea maana utamrudishia, lkn yeye ataendelea kukushawishi, na ikiwezekana anakushushia bei, unafanya maamuzi, unapokea bahasha na kutoa pesa, ukifika mbele unaisoma namba.

Kiukweli ishanitokea na ni mwaka jana, nilipoteza simu yangu, nikapita kkoo nikiwa na mambo mengine kabisa, jamaa alipotokea nikaona kama oportunity kupata cm nzur kwa bei chee, na nilikua makini sana kwa kuwa mchezo naujua, nikaikagua sim fresh nn, tatizo likawa kwenye kujiuliza nichkue ama lah, pale nikamrudishia, kudadadek.... pale pale jamaa akafanya yake.

Ktk muda huo huo nshamkabiz jamaa 20 yake, nikageuka na kuikagua....... lahaulaaaaaaa, kipande cha sabuni kimechongwa mithili ya huawei..... dah! nageuka kumuangalia jamaa, kapotea sa mingi sana....

Nlijicheka sanaaaaaaa, ila ile soap nlikaa nayo kàma sku2 iv ndo nkaitupa
 
Siku moja nipo maeneo ya Mkuyuni Mwanza kaja jamaa anauza simu nikamwambia niicheki kafungua box nikaona simu ya ukweli bei yenyewe ndogo tu ile najisachi kutoa nikaona anarudisha bahasha mfuko wa nyuma machale yakanicheza nikamwambia nipe simu nikachana ile bahasha mbele yake ilibidi akimbie.
 
jackline wolper miaka ya mwanzo alipoingia dar na kuanza kupata umaarufu bongomovie alienda kkoo na kujiona staa akabaki humohumo ndani ya gari akamwona machinga anapita na raba kali wakapatana bei 48000 then akamwambia machinga nenda kanifungie.yule machinga akaenda akarudi na box ndani ya mfuko akampa mzigo wako nae akamkatia 48 yake then machinga nduki..
baada ya umbali kidogo akaona aangalie raba zake kufungua tobaa!!!kakuta mawe mawili na moja limefungiwa kikaratasi kimeandikwa "heri ya krismas na mwaka mpya..karibu tena dar"
 
Mumenitonesha kidonda changu jaman, mwaka jana nilipigwa 800,000 na rafiki yng ambaye tulisoma kuanzia primary school mpaka secondary. Jamaa alikua kama ndugu kabisa ata nyumbani wanamjua vizur na mm pia nafahamika kwao.

Siku ya tukio alinipigia cm kua kuna jamaa anafanya kazi bandarini anauza laptop aina ya Toshiba.
Nikamuuliza bei gan na ziko ngap?, ananiambia ziko tatu bei ni 1500000 yaan kila moja 50000.nikamwambia mshushe kidogo angalau laki 4 nichukue mbili. Fasta akajibu amekubali.
Nilikua na 930000 tigo pesa nikamtumia 830000 atoe na yy abaki ya kunywa ata soda.
Kidogo ananipigia cm ananiambia jamaa amenipata zote 3 anasema anakusubir tafuta iyo ya moja ata kesho utume uchukue zote.
Nikamwambia nipeni izo zangu sina hela nyingine loh tangu apo sikumpata tena ad leo
 
Mumenitonesha kidonda changu jaman, mwaka jana nilipigwa 800,000 na rafiki yng ambaye tulisoma kuanzia primary school mpaka secondary. Jamaa alikua kama ndugu kabisa ata nyumbani wanamjua vizur na mm pia nafahamika kwao.

Siku ya tukio alinipigia cm kua kuna jamaa anafanya kazi bandarini anauza laptop aina ya Toshiba.
Nikamuuliza bei gan na ziko ngap?, ananiambia ziko tatu bei ni 1500000 yaan kila moja 50000.nikamwambia mshushe kidogo angalau laki 4 nichukue mbili. Fasta akajibu amekubali.
Nilikua na 930000 tigo pesa nikamtumia 830000 atoe na yy abaki ya kunywa ata soda.
Kidogo ananipigia cm ananiambia jamaa amenipata zote 3 anasema anakusubir tafuta iyo ya moja ata kesho utume uchukue zote.
Nikamwambia nipeni izo zangu sina hela nyingine loh tangu apo sikumpata tena ad leo
Pole sana,lakini kwa vile huyo rafiki yako hukumpata tena mpaka leo inaweza kuwa alifikwa na matatizo huko,ulimuulizia kwao kama yupo ni mzima na hakufikwa na balaa lolote? Kama yupo hai muombe akulipe polepole tu,coz mmetoka mbali toka Primary mpaka Secondary,pengine tamaa tu ya kibinadamu ilimuingia na sasa anaona aibu kukutafuta.
 
Mumenitonesha kidonda changu jaman, mwaka jana nilipigwa 800,000 na rafiki yng ambaye tulisoma kuanzia primary school mpaka secondary. Jamaa alikua kama ndugu kabisa ata nyumbani wanamjua vizur na mm pia nafahamika kwao.

Siku ya tukio alinipigia cm kua kuna jamaa anafanya kazi bandarini anauza laptop aina ya Toshiba.
Nikamuuliza bei gan na ziko ngap?, ananiambia ziko tatu bei ni 1500000 yaan kila moja 50000.nikamwambia mshushe kidogo angalau laki 4 nichukue mbili. Fasta akajibu amekubali.
Nilikua na 930000 tigo pesa nikamtumia 830000 atoe na yy abaki ya kunywa ata soda.
Kidogo ananipigia cm ananiambia jamaa amenipata zote 3 anasema anakusubir tafuta iyo ya moja ata kesho utume uchukue zote.
Nikamwambia nipeni izo zangu sina hela nyingine loh tangu apo sikumpata tena ad leo
pole sana jefferson
 
Mimi ubungo niko narudi arusha, nikanunua magazeti nikiwa ndani ya basi, muuzaji yuko chini nikacheck headings nikanunua magazeti 3,basi limeondoka nakuja kuyacheki kumbe ya mwaka 2002 hapo ilikua mwaka 2004
Hii yako imenichekesha sana Mkuu
 
Mkuu huu mchezo kuhukwepa ni vigumu mm mwaka juzi namsindikiza bro tu nageuka nikakutana na wale wanaotoa numba pale ubungo Wa na mbilikimo moja inacheza mipasho balaa wakawa wanatoa numba alafu wanasoma hiyo numba unapewa pesa kulingana na numba aisee waniona Mara moja wakanikazia nichukue hizo numba zao nikakataa pembeni kulikuwa na watu wengine wakiwa wanasema chukua chukuwa ee Mzee nikajaribu waliniibia pesa zite 18000 na smart phone yangu wakaniuliza na unakaa wapi nikazema gogo la mboto walinipa buku ya nauli dah nilipofika nyumban nikalala ckuwambia mpaka Leo niwambia nimeibiwa kwenye gari mpaka Leo ni siri yangu Kaliokoo nikiwa na jamaa yangu tangu a some udsm alikuwa mjaja Wa town tukiwa wote naye aligizwa chaka na watoto Wa kaliakoo wakamuhuzia sabuni aisee tulishangaa wote na pesa alienda kutoa kwenye simu baada ya kulizishwa na smart phone ya jamaa tukampa 20 tukakimbia wasije kutugeuka kufika mbele dah tulikuta kipade kilefu kama smart phone mpaka Leo shikamoor dar
 
Pole sana,lakini kwa vile huyo rafiki yako hukumpata tena mpaka leo inaweza kuwa alifikwa na matatizo huko,ulimuulizia kwao kama yupo ni mzima na hakufikwa na balaa lolote? Kama yupo hai muombe akulipe polepole tu,coz mmetoka mbali toka Primary mpaka Secondary,pengine tamaa tu ya kibinadamu ilimuingia na sasa anaona aibu kukutafuta.
Ni mzima na hana shida nilienda mpaka mkoa kwa mamake nilimwelezea , hawezi amin mama yake alidondosha mchozi na aliomba anilipe kidogo kidogo.
Lakin nilipoangalia khali ya mamake ni ngumu sana na ni mjane ivo nilikataa.
 
pole sana jefferson
Ukweli nilipata somo kupitia uyu jamaa sikuwai kuwaza kua uhusiano wetu ungekufa kwa style hii. Familia zetu ziliungana kwa sababu ya urafiki wetu, sasaiv nakua makini na kila aliye karibu yang na simwamin mtu yoyote.
 
kutapeliwa si tatizo,kutapeliwa kizembe ndo shida
 
Hahaha ilikuwa ni aibu tu mkuu
Mimi nakumbuka nilipigwa hadi nikajiona fala maana nilikutana na hao wajanja mitaa ya msimbazi wana bonge moja la simu nikawapa 20000 then wakanambia tumeipiga hapa hapa....Basi mie fasta nikawahi kwenye daladala ,,, sasa nifungue tule tubahasha nakuta soap ikabidi nipunguze presha ili nisishtukiwe na abiria wengine ilikuwa 2004 lakini hamna shida ntakutananao akhera
 
Daah wale watakua na dawa aisee si bure. Mi pia walishanipiga hao. Walilamba 20,000 yangu hivi hivi plus kasim kangu fulan kabovu bovu hivi nikajua hapa nimewabambika. Kufika mbele kufungua sabuni yangu ya kipande safi kabisa nimefungiwa vizuri.....daah sabuni ya 100 nikauziwa 20,000. Belive me toka ijumaa april 20 2012 leo ndo nimekitoa hadharani hiki kitu.....kilibakia kuwa siri siku zote hizo.
Mmeibiwa wengi!!
 
Huo utapeli mdogo mdogo tu Mimi 2013 nilitapeliwa kiwanja bunju 3m zangu zikaondoka hivihivi na nilifata taratibu zote wakati wa kununua kumbe mwishoe nimeibiwa jamaa kakimbia hadi leo nauguza maumivu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom