Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 42,533
- 105,249
Mkuu....Hahahaha
Kumbe mnaolizwa hata huku mpo
Hawa tulio nao humu ndio hao tunao pishana nao huku mitaani
Mkuu....Hahahaha
Kumbe mnaolizwa hata huku mpo
Kama ni member humu anachekea rohoniMatapeli wabaya sana. Mii tangu niingizwe mjini na shemeji yenu, nimeapa sisomeshi mchumba!
Mwisho wa Mwezi Ukifika abiria chunga mzigo wako mamaaaa mwananyamala posta manzese kariakoo tandika shule ya Uhuru ogopa kanyaboya.Iliitwa kanyaboya
Ha ha hA kuna ndugu yangu alitapeliwa, kapewa kijiti cha muhogo mwanzo aliona ni almasi mpk leo tangu 1999 jamaa jina lilibadilika anaitwa Almasi.
Mimi kariakoo nilishapigwa elfu 5 tu. Kama sikosei ilikuwa 2003. Jamaa aliniuzia jinzi kwa bei ya tsh 7000 dah nikatoa fasta, ile nampa akasema bro nimesema 17000/= nikamwambia nipe pesa yangu, akanirudishia fasta kumbe juu kanipa elfu 2 ndan kaifungia karatasi la box, ile elfu 5 kachukua, naenda mbele kufungua nakuta nna elf 2 na box basi, tangu siku iyo sijawai ibiwa wala tapeliwa.
Nimekutana na ya Zanzibar siku chache zilizopita ila hakunipata.Yupo mmoja unguja(kama ni kweli yuko huko) ndio michezo yake
Mi nakumbuka baada ya kumaliza darasa la saba nikaenda Dar kufanya majaribio shule mbalimbali,siku moja nikakuta wale jamaa wanaokunja mkanda alafu ukichoma katikati unakula mara mbili ya fedha uliyoweka.
Wakaniambia kujaribu ni bure, nikajaribu ya kwanza, kuzungusha mkanda peni iko kati,nikajaribu ya pili peni iko kati,nikajua wajinga hawa nikakimbia home fasta, nikachukua elfu mbili( ya enzi izo) ndio nilikuwa nimebaki nayo tuu,nawahi eneo la tukio ili niwakute bado wapo.
Nikatoa 2000 alafu nikachoma peni,jamaa kuzungusha peni iko nje, nikaanza kuyahisi machozi kwa mbaali ila ndio basi tena.
Ah ah ah ah pole sanaHa ha hA kuna ndugu yangu alitapeliwa, kapewa kijiti cha muhogo mwanzo aliona ni almasi mpk leo tangu 1999 jamaa jina lilibadilika anaitwa Almasi.
Mimi kariakoo nilishapigwa elfu 5 tu. Kama sikosei ilikuwa 2003. Jamaa aliniuzia jinzi kwa bei ya tsh 7000 dah nikatoa fasta, ile nampa akasema bro nimesema 17000/= nikamwambia nipe pesa yangu, akanirudishia fasta kumbe juu kanipa elfu 2 ndan kaifungia karatasi la box, ile elfu 5 kachukua, naenda mbele kufungua nakuta nna elf 2 na box basi, tangu siku iyo sijawai ibiwa wala tapeliwa.
Ah ah ah ah uhiii.Mimi ubungo niko narudi arusha, nikanunua magazeti nikiwa ndani ya basi, muuzaji yuko chini nikacheck headings nikanunua magazeti 3,basi limeondoka nakuja kuyacheki kumbe ya mwaka 2002 hapo ilikua mwaka 2004
kubwa jinga duuuuu walikuweza hivi ulipoenda likizo nyumbani kwenu kijijini na wewe ulijidai mbele za marafiki, jamaa na ndugu zako kwamba unaishi na kufanya kazi Dar kweli? jibu nadhani unaloo ukiingia benki kuna tangazo kwa tela kikisomeka hesabu pesa zako kabla hujaondoka kaunta, sasa wewe elimu hiyo hukuwa nayo miaka hiyo weee mburura lazima wakulize unafikiri kuwa na elimu ya darasani ndo umejua kila kitu hii ndo bongo bhana tumia bongo uishi chezea machinga wa mtaa wa kongo....Daah wale watakua na dawa aisee si bure. Mi pia walishanipiga hao. Walilamba 20,000 yangu hivi hivi plus kasim kangu fulan kabovu bovu hivi nikajua hapa nimewabambika. Kufika mbele kufungua sabuni yangu ya kipande safi kabisa nimefungiwa vizuri.....daah sabuni ya 100 nikauziwa 20,000. Belive me toka ijumaa april 20 2012 leo ndo nimekitoa hadharani hiki kitu.....kilibakia kuwa siri siku zote hizo.
Matapeli wabaya sana. Mii tangu niingizwe mjini na shemeji yenu, nimeapa sisomeshi mchumba!
Mi niliuziwa chandarua ambacho kimetumika na kimechakaa kabisa. Nilikiona ni kizuri kipo kwenye mfuko wake kabisa, kufika nyumbani duuuuh, yani hadi kinanuka! Kutapeliwa au kuibiwa dsm ni jambo la kawaida kabisa.
Sio kwamba bure au bei nafuu, nilinunua kwa bei kawaida kabisa kama ya dukani, The only mistake i dd ni kununua kwa machinga! Mpaka leo sina hamu ya kununua vitu kwa wamachinga bora niingie dukani tu hata nikibambikiziwa naweza kurudiBure ni ghali! Hiki ndicho kinachotuponza waTanzania. Mchina katuweza, mpaka simu za elfu 10 katutengenezea!!
Hahahah aisee!Mi niliuziwa chandarua ambacho kimetumika na kimechakaa kabisa. Nilikiona ni kizuri kipo kwenye mfuko wake kabisa, kufika nyumbani duuuuh, yani hadi kinanuka! Kutapeliwa au kuibiwa dsm ni jambo la kawaida kabisa.
hahahaha.... pole sanaHahahah aisee!