JWTZ yakamata maafisa wanne wa Rwanda nchini Congo

JWTZ yakamata maafisa wanne wa Rwanda nchini Congo

wanyarwanda hawafichiki kwa sura au maumbo yao utawajua tu wengi wanafanana na wasomali kasoro nywele tu

na staili yao ya kunyoa nywele mapanki kama shaba ranks wale wa kike.
 
wakabidhiwe kwa wanamgambo wa interahamwe mara moja....
 
pole sana kagame hao wanajeshi wa rwanda inabidi wapigwe risasi liwe fundisho kwa kagame na m7
 
Hao wanajeshi waliokamatwa wakatwe viungo vyao vya kufanya mambo tuvirost
 
ndugu zangu hebu nisaidieni kuelewa. hivi tunapigana mukongo kwa maslahi ya nani? wakongomani au rais Kabila? maana watawala wa Kongo wanawekwa madarakani na Kagame akisaidiwa na Mseveni kwa maslahi ya Rwanda na Uganda. Sasa kama Rais Kabila naye ni pandikizi la Kagame na Mseveni na kama JWTZ inapigana kwa maslahi ya wakongomani basi tusiishie kuwaondoa M23 bali hata Kabila mwenyewe otherwise tuondoe jeshi letu Kongo. mambo ya Kongo yako so complicated!
 
Harafu anasema eti yupo USA!!
Hata Kiswahili hujui,unajifanya mbongo kumbe mkimbizi wa Rwanda umekimbia kesi kwenu unakuja humu unajifanya MTZ,wewe endelea na kazi yako ya fundi cherehani hapo mjini usichokoze watu humu,next time andika HALAFU sio HARAFU,and YES nipo US una tatizo??
 
Rwanda haiko kama mnavyojidanganya nyuma ya keyboard, udogo wa nchi sio hoja, refer vita ya Eritrea na Ethiopia, Kagame ana jeshi kubwa na uwezo wa kifedha kuendesha vita, nchi yetu ni Kubwa lakini hatuendi vitani wote, Rwanda ina wanajeshi 61,000 waliofunzwa vizuri, ni upumbavu, narudia tena ni upumbavu wa hali ya juu, kuomba kupigana na Rwanda

Usitutishe! YAANI UTAFUTE WATU WENGINE KABISA WA KUTISHIA NYAU, SIO WABONGO.
SISI TUNA WANAJESHI ZAIDI YA MILLION NA TUNAWEZA KUWAKAMATA HAO VIBWENGO HATA 'BARE HANDEDLY!'
 
Ni ushahidi tosha kwamba kimsingi TZ (tunajiita munusco) na RW (wanajiita M23) tayari ziko vitani.
 
Hata Kiswahili hujui,unajifanya mbongo kumbe mkimbizi wa Rwanda umekimbia kesi kwenu unakuja humu unajifanya MTZ,wewe endelea na kazi yako ya fundi cherehani hapo mjini usichokoze watu humu,next time andika HALAFU sio HARAFU,and YES nipo US una tatizo??

Bora mimi ninaeshona nguo kuliko wewe unaefagia barabara nchi za watu.
 
Back
Top Bottom