Kama hawa sijui hapa Kenya tunaeza waita ajeBoss hakuna mtu ambaye huwa ame'kaukiwa' na 'kurarukiwa' kama mfanyakazi wa umma Tz. Magwanda ya JWTZ na jeshi la polisi huwa yameisha yameparapara, wengind hawana boots wanavaa gumboot za mvua. Alafu sura ndio usiseme, yaani jamaa huwa wamekata tamaa kama mabushmen wakiwinda nungunungu.
Hata polisi wa forest wamewazidi [emoji23][emoji23]Kama hawa sijui hapa Kenya tunaeza waita ajeView attachment 1108941
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata polisi wa forest wamewazidi [emoji23][emoji23]View attachment 1108942
Hahaha! 😀 Watu wanajivunia kwamba wanajeshi wao wanavunja matofali, ila silaha modern na vifaa vya kivita vya Kenya ni show off. Wabongo bana. [emoji38]
Hizo vest wamevalia looks nothing close to bullet proof 😂😂Kama hawa sijui hapa Kenya tunaeza waita ajeView attachment 1108941
Boss, KDF imeona action na ikashinda, kando na vita vya sasa dhidi ya ugaidi na mission za U.N. hadi nje ya bara hili. Ulizia kuhusu Shifta War ya 1960s kati ya Kenya na waasi ambao walikuwa wanadhaminiwa na Somalia. Alafu unafananisha ugaidi na vita vya kawaida? Wewe kweli ni kiazi.Nadhan ww mtu mzma unaelewa kiswahili nitajie vita ulioshinda km ww unajiweza km umeshindwa kulinda mipaka yako alshabaab wakaingia kvp ujiaminishe kwa watu una jeshi imara je ingekua jeshi la taifa lingine limekuvamia si ungekuwa colonized kabisa
Remember USA 2001? Al quaida bombed New York and Washington DC killing 3000+ civilians. Remember France in 2017? ISIS bombed Paris killing large number of people. So Kenya should be no exemption.Nadhan ww mtu mzma unaelewa kiswahili nitajie vita ulioshinda km ww unajiweza km umeshindwa kulinda mipaka yako alshabaab wakaingia kvp ujiaminishe kwa watu una jeshi imara je ingekua jeshi la taifa lingine limekuvamia si ungekuwa colonized kabisa
Eti wanaongoza nini? Leta takwimu, kama ni kuhusu wafanyakazi wa umma kupanga ni kwasababu wanakuwa posted wakafanye kazi mbali na kwao nyumbani. Unataka tulinganishe mishahara na allowances za wafanyakazi wa umma wa Kenya na Tz? Utaona aibu jombaa!Unaropoka huongei km Wafanya kaz wa tz choka,mbaya mbona nyie ndio mnaongoza kulala nyumba za kupanga
Eti wanaongoza nini? Leta takwimu, kama ni kuhusu wafanyakazi wa umma kupanga ni kwasababu wanakuwa posted wakafanye kazi mbali na kwao nyumbani. Unataka tulinganishe mishahara na allowances za wafanyakazi wa umma wa Kenya na Tz? Utaona aibu jombaa!
Eti wanaongoza nini? Leta takwimu, kama ni kuhusu wafanyakazi wa umma kupanga ni kwasababu wanakuwa posted wakafanye kazi mbali na kwao nyumbani. Unataka tulinganishe mishahara na allowances za wafanyakazi wa umma wa Kenya na Tz? Utaona aibu jombaa!