JWTZ jifunzeni Kupitia clip hii

JWTZ jifunzeni Kupitia clip hii

Dunia ina satellite wao wapo busy kupiga raia wao wanaopiga picha bila kujua maeneo yao ni ujinga tuu Jeshi wanatakiwa wabadilike sana wana Ujinga mwingi upo vichwani mwao...
Yaani ukapige picha eneo la jeshi halafu ukipigwa unalalamika, hujui kuwa inaathiri kiusalama
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
Wewe lazima utakuwa genius.
Utafika mbali.
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
Wewe unatafuta utofauti tuu.
Funzo hapo ni kuishi vizuri na raia hata mwanajeshi akipata tatizo anaweza kukimbilia kwa raia kwa namna yoyote ile either kwa malazi, chakula, matibabu nk
 
Wewe unatafuta utofauti tuu.
Funzo hapo ni kuishi vizuri na raia hata mwanajeshi akipata tatizo anaweza kukimbilia kwa raia kwa namna yoyote ile either kwa malazi, chakula, matibabu nk
Heri umesema. Kwani sisi hatujui kunakupewa Sumu nk tunacho zungumzia ni ushirikiano
 
Wewe lazima utakuwa genius.
Utafika mbali.
Mkuu tuchukulie wewe unaishi vibaya na jirani Yako inshort hamuelewani ikitokea kakupa msaada hata kama unauhitaji je utapokea huo msaada? Jibu ni hapana
Je kama mnaishi nae vzr utasita kupokea msaada wake? Si utapokea bila hofu yoyote na kutumia? Swala la kupewa simu hiyo ni timing tu hivo mazingira ndo yatakuambia wewe utumie au la Sumu hata mkeo anakupa
 
Mkuu tuchukulie wewe unaishi vibaya na jirani Yako inshort hamuelewani ikitokea kakupa msaada hata kama unauhitaji je utapokea huo msaada? Jibu ni hapana
Je kama mnaishi nae vzr utasita kupokea msaada wake? Si utapokea bila hofu yoyote na kutumia? Swala la kupewa simu hiyo ni timing tu hivo mazingira ndo yatakuambia wewe utumie au la Sumu hata mkeo anakupa
Yule Dada aliona mbali Sana.
Wanaweza kujipenyeza maadui Kati ya wale wasamaria wema.
Kwani Tatarsky aliuwawa vipi na bomu kule Russia?
Aliletewa zawadi tu na mtu ambaye aljipenyeza miongoni mwa watu wake waliokuja kufurahika naye kwenye tamasha/kongamano.
 
Bila shaka sio mara Moja,mbili au mara tatu na zaidi kuona wanajeshi wetu wakiwapiga raia wao walio apa kuwarinda Hadi tone la mwisho

Imekuwa kawaida sana Kwa mwanajeshi kupitisha mkong'oto Kwa raia na kuji mwambafai wao ndo wao wanapaswa waongopwe siku chache zilizo pita tumeshuhudia nyuzi kadhaa zikiwaongelea wanajeshi wa JWTZ kupitisha mkong'oto Kwa raia wa kawe hasa wanawake na vikongwe!

Kumbukeni raia ndio msaada wenu pekee likitokea jambo lolote. Kinyume chake mnataka kuwa adui Kwa raia.

Jifunzeni [emoji116] [emoji116] ATTACH=full]2818348[/ATTACH]
Kuwa mwanajeshi na Wananchi wakawa na mapenzi kama hivi ni Ufahari sana

Jeshi la Israel ni kama hivi
 
Vinaelewa basiiii, kiukweli kabisa nikisikia askari kapatwa na baya lolote hua nafurahia moyoni kabisaaa, tena napiga kitimoto kuendeleza kufurahia, lolote baya liwakute tuu
 
Vinaelewa basiiii, kiukweli kabisa nikisikia askari kapatwa na baya lolote hua nafurahia moyoni kabisaaa, tena napiga kitimoto kuendeleza kufurahia, lolote baya liwakute tuu
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Yule Dada aliona mbali Sana.
Wanaweza kujipenyeza maadui Kati ya wale wasamaria wema.
Kwani Tatarsky aliuwawa vipi na bomu kule Russia?
Aliletewa zawadi tu na mtu ambaye aljipenyeza miongoni mwa watu wake waliokuja kufurahika naye kwenye tamasha/kongamano.
Huyo uliye mweka mfano hata asingeuliwa kwenye party yake angekufa muda sio mrefu maana alikuwa anatafta na watu wake wa karibu ..alikuwa kwenye risk kubwa muda wowote angeliuliwa tu.

Tulirudi kwenye maada licha ya maji na chakula hapo funzo kubwa ni ushirikiano kati ya jeshi na raia ambapo Kwa Tz ni ndoto kubwa kupewa ushirikiano sana sana hata akionekana mjeda anashida anakuja kwako msaada atakao upata ni kumkumbia mbio maana hawaeleweki hawa
 
Serikali inajua hilo haliwezekani ndio maana wanatunyonya kisawasawa kwenye kodi ili wawape hawa wanajeshi wabongo wanaoshinda kwenye kotaz na mabaa kila kitu wanachotaka.
 
Serikali inajua hilo haliwezekani ndio maana wanatunyonya kisawasawa kwenye kodi ili wawape hawa wanajeshi wabongo wanaoshinda kwenye kotaz na mabaa kila kitu wanachotaka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom