JWTZ jifunzeni Kupitia clip hii

JWTZ jifunzeni Kupitia clip hii

Hayo mambo yalishapitwa na wakati mkuu, siku hizi majeshi hayaoperate hivyo tena.

Yani jeshi liende sehemu likitegemea kupata taarifa kwa raia? Kuna njia nyingi advanced siku hizi.

Halafu hao raia hapo ktk video watajuana vipi barabarani? Kila raia anatoka upande wake ktk gari unasema ni salama?
Sio salama na ni hatari kuliko unavyodhani.

Sidhani kama hao wanajeshi walikosa umakini kwa kutumia walivyopewa.
Yani mpuuzi unaishi uswazi unajifanya mjuaji kushinda MOSAD
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
Nilikuwa natafuta comment ya hivi. Hakika wewe ni mfano halisi wa JF great thinker!!
 
Sijui naongea vitu vikubwa imekuwa ngumu kunielewa?

Sijapinga, na nimesema ni kitu kinachopendeza kabisa.

Lakini jeshi liko vitani wakati ambao adui nae anatumia kila namna kuwaangamiza unapokea vipi vyakula & maji kutoka kwa raia?
Ukiamini unapendwa na raia ukajiachia adui anapitia hapohapo.

Nimefurahi pia kuna mpumbavu mmoja umemu ignore.🙏🏽🙏 Hongera sana.
 
Bila shaka sio mara Moja,mbili au mara tatu na zaidi kuona wanajeshi wetu wakiwapiga raia wao walio apa kuwarinda Hadi tone la mwisho

Imekuwa kawaida sana Kwa mwanajeshi kupitisha mkong'oto Kwa raia na kuji mwambafai wao ndo wao wanapaswa waongopwe siku chache zilizo pita tumeshuhudia nyuzi kadhaa zikiwaongelea wanajeshi wa JWTZ kupitisha mkong'oto Kwa raia wa kawe hasa wanawake na vikongwe!

Kumbukeni raia ndio msaada wenu pekee likitokea jambo lolote. Kinyume chake mnataka kuwa adui Kwa raia.

Jifunzeni [emoji116] [emoji116] ATTACH=full]2818348[/ATTACH]
Jwtz
Pitieni hapa
 
Historia ya vita Tz na ug ushaifatilia jinsi raia wa Uganda walivyo wasapoti jtz?

Hii clip inafuzo kubwa sana elewa ya kwamba raia ndo tunajuana sana kuliko hao wanajeshi mwanajeshi mwenyew anategemea raia Ili aweze kubaini uhalifu Kwa raia kutoa taarifa. Hivyo kama Kuna mgeni hapo Ambae hatambuliki sehem husika raia hao sio wajinga wakubali mheni ahudumie wanajeshi wao. Ni ngumu kuelewa lkn kama unaishi vzr na raia hata huhofii kitu chochote na wakiamua kukuua ni dk 0 tu maana huduma zote zinatoka uraiani
Kama ana akili atakua kakuelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
You gotta a point, ila hao wanajeshi nao si wapumbavu eti wanachopewa wale tu. Raia amekupa pokea weka kando. Mpe mbwa kwanza akipona nawe unakula. Unadhani wao hawajui madhara ya kupokea kitú toka kwa mtu usiyemfahamu?a

Point yamleta mada ni kuwa, sisi wanajeshi wetu hatuwezi kushirikiana nao namna hiyo.
 
Sehemu yenye jeshi, kambi. Basi bar zote wanataka watambe wao, mademu zetu wawe wao.
Pale Kawe washamba sana wale jamaa.
Ukiwakuta kule ndani wanafyeka na kufagia kama wapo shule ya msingi Mpindimbi.
 
Tatizo wanajeshi wa tz wanajiona wao ndiyo wanajeshi pekee..wakati kikinuka kila raia nao anabaa combat
Anashika mjegeje anailinda nchi yake

Ova
 
Kifupi ni kwamba...You can not trust anyone on the war zone or Battlefield na kingine civilians are typically not allowed to directly provide food to troops in a war zone.
kuhusu supply Ya food na Other stuffs provisions to military forces Lazima iwe organised na military chain of command, Lengo ni kuprovide security Isije ikawa ndani kumewekwa vitu visivyoeleweka, na pia huzingatia logistics, na proper distribution Kwa sababu wapo wenye uhitaji zaidi kuliko wengine hivyo wao ndo wanajua nani anauhitaji au hana....

Kama Raia atataka kutoa support kwa anatakiwa apeleke kwenye mashirika ya humanitarian organizations au government agencies ambayo yanahusika kwenye relief efforts.
Na mashirika hayo baada ya kupokea Chakula au msaada huo watapeleka kwenye Millitary chain of command iliyo sawa ili kufanya kuwe Distributed..

Direct, unauthorized involvement Sijui kama kuna Jeshi linaruhusu Maybe hao wameruhusu kwa ajili ya malengo fulani na nahisi ni Kwa publicity baada ya kuonekana Wanajeshi wa Hamas wanakosa baadhi ya support kwa Raia
Swala la kuamini mtu ata wewe hutakiwi kumwamini mtu yoyote ata mkeo.Kwasababu usalama wako nijukum lako wewe mwenyewe sio kwa wanajeshi tu au wakati wa vita.Mada ni ushirikiano wa jamii na vyombo vya ulinzi na usalama,je mahusiano yao yakoje.Adui akiamua kuingia sehem yoyote anaweza kuingia ata ufanyeje kwasababu huyo tayari anakua na lengo fulani ila lazima kuwe na mahusiano mazuri kati ya jamii na hivi vyombo,mahusiano mazuri ya kwenye kila kitu kinachohusu ushirikiano na ulinzi na usalama sio kwenye kula tu.Swala la tahadhari ilo linabaki kwa mtu mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao wapuuzi wa JWTZ watu wanawaombea waende wakafe tu, siyo Kawe sehemu yoyote,.....
Si mara zote mtu anakatiza eneo la jeshi KWA kupenda,
Si mara zote mtu anawahi uko atokako,Mda mwingine unaweza katiza eneo hata saa 12 jion ,wakakupiga na kukuhaibisha na bora uwe peke yako ukiwa na familia na ukiwa baba ndo watafanya sifa.
Kwakweli wananchi walio karibu na majeshi hawawapendi wanajeshi kabisa
Mtu yuko jeshi miaka zaidi 15 hajuwi changamoto yoyote ya mapigano
We unategemea nini

Ova
 
Anacho zungumzia ni kwamba adui atajichanganya na hao raia wako,akupatie hiyo misosi yenye sumu..maana ni vigumu pia raia wako kutambua kuwa huyu ni raia mwenzake ama adui. Mbona mnashindwa kuelewa jambo dogo kama hili?
Kwani wewe kila kitu unachopewa unakula bila kujiridhisha usalama wake?..mawazo yako yaende mbali zaidi katika mambo mengi yakiusalama kwasababu ushirikiano hauko kwenye kula tu.Majeshi yana vitengo vyake vyakuchakata mambo nakujiridhisha.swala ni jeshi lako linamahusiano gani na wananchi wake au ni maadui.Hiyo ndio hoja.kwasababu kukiwa na uadui adui ni rahis zaidi kujipenyeza kuliko kukiwa na utengamano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo mambo yalishapitwa na wakati mkuu, siku hizi majeshi hayaoperate hivyo tena.

Yani jeshi liende sehemu likitegemea kupata taarifa kwa raia? Kuna njia nyingi advanced siku hizi.

Halafu hao raia hapo ktk video watajuana vipi barabarani? Kila raia anatoka upande wake ktk gari unasema ni salama?
Sio salama na ni hatari kuliko unavyodhani.

Sidhani kama hao wanajeshi walikosa umakini kwa kutumia walivyopewa.
Una akili sana b... umefafanua vizuri sana, na umeongea ukweli. Namna vita ya miaka ya sabini ilivyoenda haiwezi kutajwa leo kama njia bora.

Imepita miaka 46 sasa ajue, ni karibu nusu karne. Hata sisi wakati huo hatukuwa na kile chuo cha kijeshi cha sayansi kilicho Bagamoyo.

Ova
 
Hakuna siku itafika kuwa binadamu au raia wa kawaida hatokuwa chanzo cha taarifa za kipelelezi. Hakuna katika Dunia hii. Pamoja na technology kukua kiasi cha kufika mawinguni. Bado binadamu ni chanzo kikuu cha taarifa za kipelelezi. Nakuambia hivi nipo field. Yaani ni moja ya shughuli zangu nikiwa nimesoma Cuba, Russia, Israel, China na Marekani. Watalaamu wanatufundisha hivyo. Miezi kadhaa ago nlikuwa Russia.
Sawa bwana mtaalamu, hongera kwa mafunzo.

Lakini, hukunisoma tu vizuri mtaalamu. Nilisema jeshi halitegemei tena raia kupata taarifa, kuna njia nyingi advanced siku hizi.

Nikimaanisha kwamba taarifa kutoka kwa raia sio pekee zinazotumika ktk medani za kivita siku hizi, teknolojia imechukua nafasi pia.
Asante.
 
Una akili sana b... umefafanua vizuri sana, na umeongea ukweli. Namna vita ya miaka ya sabini ilivyoenda haiwezi kutajwa leo kama njia bora.

Imepita miaka 46 sasa ajue, ni karibu nusu karne. Hata sisi wakati huo hatukuwa na kile chuo cha kijeshi cha sayansi kilicho Bagamoyo.

Ova

I am basically learning from the best b…
Thanks
 
Nchi ambayo haijawahi kupigana vita wanajeshi wake huwa hawathamini raia,maan hawajawah kushuhudia msaad wa raia wake wakiwa mstari wa mbele..Kizazi cha wanajeshi waliopigana Vita ya Kagera kimeshtoweka kwa kifo au wamestaafu,wanajua thamani ya Raia wao kipindi kile..Watanzania waliwachangia wanajsh wao Damu,fedh,vykula na hata mifugo..Mwanajesh wa leo tena kijana asiye n madili anaingia jeshini ataishia kupiga raia kisa Pombe na kugombania Wanawake Bar
 
Back
Top Bottom