PharaohMtakatifu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2023
- 713
- 1,209
Bila shaka sio mara Moja,mbili au mara tatu na zaidi kuona wanajeshi wetu wakiwapiga raia wao walio apa kuwarinda Hadi tone la mwisho
Imekuwa kawaida sana Kwa mwanajeshi kupitisha mkong'oto Kwa raia na kuji mwambafai wao ndo wao wanapaswa waongopwe siku chache zilizo pita tumeshuhudia nyuzi kadhaa zikiwaongelea wanajeshi wa JWTZ kupitisha mkong'oto Kwa raia wa kawe hasa wanawake na vikongwe!
Kumbukeni raia ndio msaada wenu pekee likitokea jambo lolote. Kinyume chake mnataka kuwa adui Kwa raia.
Jifunzeni [emoji116] [emoji116] ATTACH=full]2818348[/ATTACH]
Imekuwa kawaida sana Kwa mwanajeshi kupitisha mkong'oto Kwa raia na kuji mwambafai wao ndo wao wanapaswa waongopwe siku chache zilizo pita tumeshuhudia nyuzi kadhaa zikiwaongelea wanajeshi wa JWTZ kupitisha mkong'oto Kwa raia wa kawe hasa wanawake na vikongwe!
Kumbukeni raia ndio msaada wenu pekee likitokea jambo lolote. Kinyume chake mnataka kuwa adui Kwa raia.
Jifunzeni [emoji116] [emoji116] ATTACH=full]2818348[/ATTACH]