JWTZ jifunzeni Kupitia clip hii

JWTZ jifunzeni Kupitia clip hii

PharaohMtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2023
Posts
713
Reaction score
1,209
Bila shaka sio mara Moja,mbili au mara tatu na zaidi kuona wanajeshi wetu wakiwapiga raia wao walio apa kuwarinda Hadi tone la mwisho

Imekuwa kawaida sana Kwa mwanajeshi kupitisha mkong'oto Kwa raia na kuji mwambafai wao ndo wao wanapaswa waongopwe siku chache zilizo pita tumeshuhudia nyuzi kadhaa zikiwaongelea wanajeshi wa JWTZ kupitisha mkong'oto Kwa raia wa kawe hasa wanawake na vikongwe!

Kumbukeni raia ndio msaada wenu pekee likitokea jambo lolote. Kinyume chake mnataka kuwa adui Kwa raia.

Jifunzeni [emoji116] [emoji116] ATTACH=full]2818348[/ATTACH]
 

Attachments

  • Facebook 714142033376762(360p).mp4
    1 MB
Hao wapuuzi wa JWTZ watu wanawaombea waende wakafe tu, siyo Kawe sehemu yoyote,.....
Si mara zote mtu anakatiza eneo la jeshi KWA kupenda,
Si mara zote mtu anawahi uko atokako,Mda mwingine unaweza katiza eneo hata saa 12 jion ,wakakupiga na kukuhaibisha na bora uwe peke yako ukiwa na familia na ukiwa baba ndo watafanya sifa.
Kwakweli wananchi walio karibu na majeshi hawawapendi wanajeshi kabisa
 
Hao wapuuzi wa JWTZ watu wanawaombea waende wakafe tu, siyo Kawe sehemu yoyote,.....
Si mara zote mtu anakatiza eneo la jeshi KWA kupenda,
Si mara zote mtu anawahi uko atokako,Mda mwingine unaweza katiza eneo hata saa 12 jion ,wakakupiga na kukuhaibisha na bora uwe peke yako ukiwa na familia na ukiwa baba ndo watafanya sifa.
Kwakweli wananchi walio karibu na majeshi hawawapendi wanajeshi kabisa
Lengo la Uzi huu wajifunze Kwa majeshi mengine kama clip inavyotoa funzo. Nakumbuka wale wanajeshi wetu walikufa kongo raia wa Arusha walikuwa wanashangilia kweli kwamba wamepungua. Sasa tusifike huko kote Wana muda wa kuyajenga na wanaNchi wao.
 
Bila shaka sio mara Moja,mbili au mara tatu na zaidi kuona wanajeshi wetu wakiwapiga raia wao walio apa kuwarinda Hadi tone la mwisho

Imekuwa kawaida sana Kwa mwanajeshi kupitisha mkong'oto Kwa raia na kuji mwambafai wao ndo wao wanapaswa waongopwe siku chache zilizo pita tumeshuhudia nyuzi kadhaa zikiwaongelea wanajeshi wa JWTZ kupitisha mkong'oto Kwa raia wa kawe hasa wanawake na vikongwe!

Kumbukeni raia ndio msaada wenu pekee likitokea jambo lolote. Kinyume chake mnataka kuwa adui Kwa raia.

Jifunzeni [emoji116] [emoji116] ATTACH=full]2818348[/ATTACH]
Kujifunza nako kunahitaji akili. Si kila mtu anaweza jifunza.
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
Asante Sana utapata medani ya heshima
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
Historia ya vita Tz na ug ushaifatilia jinsi raia wa Uganda walivyo wasapoti jtz?

Hii clip inafuzo kubwa sana elewa ya kwamba raia ndo tunajuana sana kuliko hao wanajeshi mwanajeshi mwenyew anategemea raia Ili aweze kubaini uhalifu Kwa raia kutoa taarifa. Hivyo kama Kuna mgeni hapo Ambae hatambuliki sehem husika raia hao sio wajinga wakubali mheni ahudumie wanajeshi wao. Ni ngumu kuelewa lkn kama unaishi vzr na raia hata huhofii kitu chochote na wakiamua kukuua ni dk 0 tu maana huduma zote zinatoka uraiani
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
Ila ndivyo ilivyo.

Wanajeshi hugewa supplies na raia kwenye vita na binafsi bado sijasoma tukio la raia kuwagea chakula au maji yenye sumu wanajeshi wakiwa vitani popote pale.

Raia wanaotoa chakula hivyo wakiitwa kwenda mstari wa mbele hawatosita kwenda. Refer Ukraine.
 
Ila ndivyo ilivyo.

Wanajeshi hugewa supplies na raia kwenye vita na binafsi bado sijasoma tukio la raia kuwagea chakula au maji yenye sumu.

Raia wanaotoa chakula hivyo wakiitwa kwenda mstari wa mbele hawatosita kwenda. Refer Ukraine.
Mara zote Iko hivo sijawahi sikia raia kauwa Kwa Sumu wanajeshi wake watiifu ukiona hivo ndo kama Yale ya kawe sehemu zingine nyingi.
 
Kitendo kinachofanyika ktk video ni chema na hakika kinapendeza na kuleta fundisho.

Ila sidhani kama ni salama sana hasa kwa vikosi ambavyo vipo vitani. Adui anaweza kujipenyeza ktk aina nyingi hatari hasa vyakula kama hivyo tunavyoona hapo.

Sidhani kama kuna la kujifunza hapo, labda ingekuwa video ya mwanajeshi aliyejeruhiwa akipatiwa matibabu na raia au vinginevyo.
Njia ya chakula & maji sio ya kujifunzia, ni hatari zaidi.
Nadhani lengo ni kuonesha ushirikiano mzuri kati ya jeshi na raia wake
 
Historia ya vita Tz na ug ushaifatilia jinsi raia wa Uganda walivyo wasapoti jtz?

Hii clip inafuzo kubwa sana elewa ya kwamba raia ndo tunajuana sana kuliko hao wanajeshi mwanajeshi mwenyew anategemea raia Ili aweze kubaini uhalifu Kwa raia kutoa taarifa. Hivyo kama Kuna mgeni hapo Ambae hatambuliki sehem husika raia hao sio wajinga wakubali mheni ahudumie wanajeshi wao. Ni ngumu kuelewa lkn kama unaishi vzr na raia hata huhofii kitu chochote na wakiamua kukuua ni dk 0 tu maana huduma zote zinatoka uraiani
Hayo mambo yalishapitwa na wakati mkuu, siku hizi majeshi hayaoperate hivyo tena.

Yani jeshi liende sehemu likitegemea kupata taarifa kwa raia? Kuna njia nyingi advanced siku hizi.

Halafu hao raia hapo ktk video watajuana vipi barabarani? Kila raia anatoka upande wake ktk gari unasema ni salama?
Sio salama na ni hatari kuliko unavyodhani.

Sidhani kama hao wanajeshi walikosa umakini kwa kutumia walivyopewa.
 
Back
Top Bottom