JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 8,473
- 18,257
Hawa wa kwetu,ni kenge kasoro mkia,wenye weredi japo kidogo, ni wale wenye vyeo vikubwa kuanzia kanali, huku chini ni utoporo mtupu, nilipita kambi moja pale Dar karibu na uwanja wa Taifa, kikosi cha usafirishaji, nikawakuta hawa private, baadhi yao wamevaa Kombat kata K, yale mashati yao, hawajachomekea, ni kama vile waimba hip hop, nikaona hapa nimekutana na mandojo na domokaya!
Mi nikikuta hawa wamebananishwa, sehemu, wanatatuliwa malinda, nami naunga foreni.
Mi nikikuta hawa wamebananishwa, sehemu, wanatatuliwa malinda, nami naunga foreni.