Nilikuwa na Album yake huyu jamaa.........Ningekuwa na mabawa ningeruka kama ndege , Kuna binadamu wengine wana roho ya korosho , Panapofuka moshi ujue kuna moto chini , Tatizo la wamachinga polisi na wamachinga ...
Nilikuwa na Album yake huyu jamaa.........Ningekuwa na mabawa ningeruka kama ndege , Kuna binadamu wengine wana roho ya korosho , Panapofuka moshi ujue kuna moto chini , Tatizo la wamachinga polisi na wamachinga ...
Nilisikia pia kitu km hicho, pale nje kidogo na BK kuna hotel moja kubwa sana( jina kapuni), wajuvi wa mambo wanasema aliwahi kuonekana kwenye hiyo hotel baada ya kifo chake.....sina uhakika na haya maana siwez kudhibitisha.
Nilisikia pia kitu km hicho, pale nje kidogo na BK kuna hotel moja kubwa sana( jina kapuni), wajuvi wa mambo wanasema aliwahi kuonekana kwenye hiyo hotel baada ya kifo chake.....sina uhakika na haya maana siwez kudhibitisha.