Junior members:ni mtazamo tu

Ujue mtu anapoamua kujiunga mara nyingi anakuwa na jambo linalomkuna au kumsukuma. Jambo hilo laweza kuwa shida ya maisha - anaona hapa JF anaweza kusaidiwa. Au pia mtu anajiunga baada yakuvutiwa na mijadala - anaona aingie naye atoe mchango wake. Kwa hiyo mtu anapojiunga mara moja anaweka mbele yetu kitu/ shida iliyomleta hapa. Ndo mana unaona junior wengi wanaanza kutoa shida zao zilizowabana, mf kutafuta wachumba, wake, kutafuta tiba kwa ugonjwa, kuomba ushauri kwa shida za familia, nk. Lakini mtu huyu baada ya kutoa madukuduku yake anakuwa hana zaidi jipya. Anakaa na kutulia jamvini, na kuanza kutoa michango mbalimbali katika uzi zinazoanzishwa. Kumbe sisi wazee wa JF tulishajieleza shida zetu siku nyingi, sasa tumekaa na kutulia jamvini.

Babuyao nakubaliana na mtazamo wako huu!!! Kuna ukweli katika hili. Ingawa kuna wengine wanaamua tu kupost bila kufikiria ni nini cha kupost hata kama anatafuta mchumba kweli.
 
nami ngoja nilete siredi ya kutafuta mchumba mana naona kila mtu keshaleta nimebaki mimi tu mana imekua fashion kuleta siredi za kutafuta wenza humu
 
mbona kama umebadilisha santuri AD...ule wimbo tuliokuwa tunaisikiliza imebadilika ghafla
Jf nakuzimia@yahoo.com

Pande zote utakwenda lakini bongo ndo home

JF where we dare to talk openly
Mmmmhhhbhh

Jamani natafuta kanda ya machozi jasho na damu
Albam ya professor J

Hii ni kwa kizazi kipya na kile cha kipindi ile
Yap yap
Bado tunasubiri jukwa la wachumba..

I want you to have a wonderful w/end
God bless
 
Mkuu mada yako ni mzuri sana na imeeleweka.
nilichokuwa napenda kujua ni kwamba how/when JF member become Junior, senior, premium and then finally expert.Nadhan Expert members ndio wanaweza kutuelezea walifikaje hukooo....nasema hivyo kwa sababu utaona mtu alijiunga 2010 lakin ni premium member au Senior wakati aliejiunga 2009 bado ni junior..je kuna uhusiano na ni post ngapi unazopost kwa siku? au rep power pia inachangia? nawakilisha tuu wajameni kama nimetokota naomben mnisitiri

Jamani msinitoe roho, ni mtazamo wangu tu,na wewe unaweza kuwa na mtazamo wako pia.
Toka nianze kuijua JF, naona post nyingi tu za watu wanaotafuta wachumba,wake kwa waume. lakini most of them ni just a members, junior members or senior members.
kati ya watu 10 ya hao watafutaji wachumba, basi ni 1 tu atakuwa expert member or premium.
Maswali yangu ni haya:
Je expert members wote wameshaoa na kuolewa?
Je ni hao hao ma expert na premium wana register upya ili wapate wachumba?
kama si hivyo,inamaana huyo junior kabla ya kujiregister aliambiwa hapa jf ni sehemu rahisi ya kupata mchumba(best match:hug:)?
Je,kuna aliyefanikiwa kuoa au kuolewa na mchumba wa jf?

NB:Sijasema watu wasitafute wachumba hapa jf,hayo ni maswali tu ninayojiuliza kila ninapoona post ya uchumba,ila nakosa majibu.
kwahiyo kama unamajibu unaweza kunisaidia.
 
Ujue mtu anapoamua kujiunga mara nyingi anakuwa na jambo linalomkuna au kumsukuma. Jambo hilo laweza kuwa shida ya maisha - anaona hapa JF anaweza kusaidiwa. Au pia mtu anajiunga baada yakuvutiwa na mijadala - anaona aingie naye atoe mchango wake. Kwa hiyo mtu anapojiunga mara moja anaweka mbele yetu kitu/ shida iliyomleta hapa. Ndo mana unaona junior wengi wanaanza kutoa shida zao zilizowabana, mf kutafuta wachumba, wake, kutafuta tiba kwa ugonjwa, kuomba ushauri kwa shida za familia, nk. Lakini mtu huyu baada ya kutoa madukuduku yake anakuwa hana zaidi jipya. Anakaa na kutulia jamvini, na kuanza kutoa michango mbalimbali katika uzi zinazoanzishwa. Kumbe sisi wazee wa JF tulishajieleza shida zetu siku nyingi, sasa tumekaa na kutulia jamvini.

Babuyao; Umenisaidia kupata jibu mkuu, Kuna Logic katika jibu lako..
 
Ujue mtu anapoamua kujiunga mara nyingi anakuwa na jambo linalomkuna au kumsukuma. Jambo hilo laweza kuwa shida ya maisha - anaona hapa JF anaweza kusaidiwa. Au pia mtu anajiunga baada yakuvutiwa na mijadala - anaona aingie naye atoe mchango wake. Kwa hiyo mtu anapojiunga mara moja anaweka mbele yetu kitu/ shida iliyomleta hapa. Ndo mana unaona junior wengi wanaanza kutoa shida zao zilizowabana, mf kutafuta wachumba, wake, kutafuta tiba kwa ugonjwa, kuomba ushauri kwa shida za familia, nk. Lakini mtu huyu baada ya kutoa madukuduku yake anakuwa hana zaidi jipya. Anakaa na kutulia jamvini, na kuanza kutoa michango mbalimbali katika uzi zinazoanzishwa. Kumbe sisi wazee wa JF tulishajieleza shida zetu siku nyingi, sasa tumekaa na kutulia jamvini.

Ahaaa kumbe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu mada yako ni mzuri sana na imeeleweka.
nilichokuwa napenda kujua ni kwamba how/when JF member become Junior, senior, premium and then finally expert.Nadhan Expert members ndio wanaweza kutuelezea walifikaje hukooo....nasema hivyo kwa sababu utaona mtu alijiunga 2010 lakin ni premium member au Senior wakati aliejiunga 2009 bado ni junior..je kuna uhusiano na ni post ngapi unazopost kwa siku? au rep power pia inachangia? nawakilisha tuu wajameni kama nimetokota naomben mnisitiri

nadhani u expert unaupata automatic kutokana na topic unazochangia(idadi), unaweza ukawa umejiunga 2008 still ukawa ni junior kama haujawahi kuchangia, na unaweza ukajiunga leo na kesho ukawa expert(ukikesha unapost na kureply)..only robot can do that.
au nimekosea?
 
Mabwana wadogo hao damu inachemka bado teh! Ngoja wasake mademu bado hawajajua juu ya ujengaji wa hoja zenye mashiko!
 
don't waste your time here tressing people's particulars.Wengine ni maroboti..
Jf watu wanakutana electronically tu,hapa kuna electronic friends and enemies,pia kuna watu wana id zaidi ya moja sasa ukitaka kujua nani ni nani utaumiza kichwa bure.wewe thamini michango na pia changia inapobidi


Gooooooooooooooooooooooooooooooooodddddddddddddddd!!!!!

 
Jamani msinitoe roho, ni mtazamo wangu tu,na wewe unaweza kuwa na mtazamo wako pia.
Toka nianze kuijua JF, naona post nyingi tu za watu wanaotafuta wachumba,wake kwa waume. lakini most of them ni just a members, junior members or senior members.
kati ya watu 10 ya hao watafutaji wachumba, basi ni 1 tu atakuwa expert member or premium.
Maswali yangu ni haya:
Je expert members wote wameshaoa na kuolewa?
Je ni hao hao ma expert na premium wana register upya ili wapate wachumba?
kama si hivyo,inamaana huyo junior kabla ya kujiregister aliambiwa hapa jf ni sehemu rahisi ya kupata mchumba(best match:hug:)?
Je,kuna aliyefanikiwa kuoa au kuolewa na mchumba wa jf?

NB:Sijasema watu wasitafute wachumba hapa jf,hayo ni maswali tu ninayojiuliza kila ninapoona post ya uchumba,ila nakosa majibu.
kwahiyo kama unamajibu unaweza kunisaidia.
wanahamishia tweeter, facebook, ****book na darhotwire JF...

Nadhani admin wanatakiwa waapige ban tu yaishe
 
Back
Top Bottom