Jumba la Wachawi

Jumba la Wachawi

Sio mpenzi sana wa kusoma story kwa simu ila hii imeniweza.Story nzuri sana. Ahsante Madame
 
Ni heshima mtu kama wewe kuja kusoma vitu kama hizi mepost humu, asante kwa kupita kaka, story ingine lini
Nashukuru madame. Nilipitia kidogo na kwa kusoma tu sentensi mbili au tatu za mwanzoni zinatosha kukujuza kuwa mtu huyu anajua ama lah! Mfano mtu akianza na maneno haya, "ilisikika" "ilionekana" n.k huwa naacha hapo hapo!

By the way, tunaweza tukaanza leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom