BONGE LA BWANA
Senior Member
- Apr 14, 2015
- 199
- 168
Habari wana JF.... leo nataka kuanza kuwaletea simulizi kali na yenye mafunzo ndani yake. Simulizi hii ni ya ukweli kama ilivosimuliwa na mtunzi wa simulizi hii ndugu Rashid Karume ambae kwa sasa anapatikana Mkoa wa njombe. Kwa ruhusa yake mtunzi ameniruhusu nishare simulizi hii inayokwenda kwa jina la JUMBA LA DHARAU. Twende kazi sasa....
JUMBA LA DHARAU
MTUNZI: RADHID KARUME.
SEHEMU YA KWANZA
SIKU YA KWANZA NDANI YA GEREZA LA RWANDA NZOVWE MBEYA (JUMBA LA DHARAU) -2010
Ilikuwa siku ngumu sana mimi na Rafiki yangu,hakuna aliyeamini kwamba tungekuwa Gerezani, japo sisi tulikuwa wangen lakini sura zetu zilitangulia Gerezan kupitia vyombo vya habar Runinga na magazet. kila mfungwa na mahabusu walikuwa wanatuangalia huku wakivuta picha za kwenye Tv,
wakati hatujui nn cha kufanya mara kundi la watu likatuzunguuka na huku wakiwa na sura za furaha mmoja wao akasema KARIBUNI KWENYE JUMBA LA DHARAU, ni kama tulipigwa na butwaa sisi tulikuwa kimya tuu. Daaaaa siwez kusahau
Mara alikuja Askari magerez aliyechafuka kwa vazi lenye mamlaka kwenye mabega yake, alikuja pale tulipo kisha akasema ninyi embu nifuatane huku, basi sisi tukaanza kumfuta kwa nyuma, kisha yeye akageuka na kutuangalia akiwa na sura iliyojaa tabasamu languvu akatuuliza majina nasi bila hiyana tukamtajia, kisha tukaenda kuakaa jikoni ambako msosi wa jela unaandaliwa.
Maneno yake ndiyo huwa nayakumbuka kila ninapopata wakati mgumu, yule afande alisema "KARIBUNI VIJANA KARIBUNI SANA, HAPA MLIPO NDIO JELA MLIYOKUWA MKIISIKIA TANGU MKIWA WADOGO LEO MMEINGIA HAPA, NAJUA HAMTAKI KUAMINI LAKINI HAPA NDIO JELA NA HAMUWEZI KUROKA KWA SABABU KUNAULINZI WA MKALI, ANGALI ULE UKUTA ULIVYOKUWA MREFU WATAALAMA WANATHIBITISHA HAKUNA BINADAMU ANAEWEZA KURUKA ULE UKUTA, PIA NI MARUFUKU KUUSOGELEA ULE UKUTA KWA SABABU UTAPIGWA RISASI, ANGALIA KULE JUU, KILE NI KIBANDA CHA ASKALI AMBAPO ANAONA NDANI NA NJE YA GEREZA HIYO UKIJARIBU KUTOROKA UTAKUWA MWISHO WA MAISHA YAKO, JAMBO MOJA AMBALO NAWEZA KUWASHAURI LEO NA SIKU ZOTE ZA MAISHA YENU NI KWAMBA IKUBALI HALI, KUBALI UKO JELA NA HUWEZI KUTOKA LABDA WATU WA NJE WAJE KUKUTOA KWA SHERIA LAKINI WEWE HUWEZI KUTOKA, wakati Afande akitiririka mistari yote hiyo sisi tulikwa kimya tukimsikiliza baadae akatuliza niwaletee soda gani wote tukamjibu yoyote akamuita mfungwa mmjoja aliyekuwa na mkanda kiunoni akamwambia WALETEE SODA HAWA VIJANA, baada ya muda kidogo soda zikaja kisha afande akamwambia, Naomba nikukabidhi hawa vijana Hakikisha hawapati usumbufu wowote wakiwa humu ndani mpaka watakapo pata dhamana.
Baada ya hapo ikapigwa filimbi na wafungwaa wote na maabusu tulipanga foleni kuingia vyumbani( SERO) mm nikiuwa sero na 9 na rafiki yangu alikuwa Sero na 8
nilikutana na watu wenye akili nyingi sana waliofanya matukio ya ajabu we acha tuu
........Itaendelea
JUMBA LA DHARAU
MTUNZI: RADHID KARUME.
SEHEMU YA KWANZA
SIKU YA KWANZA NDANI YA GEREZA LA RWANDA NZOVWE MBEYA (JUMBA LA DHARAU) -2010
Ilikuwa siku ngumu sana mimi na Rafiki yangu,hakuna aliyeamini kwamba tungekuwa Gerezani, japo sisi tulikuwa wangen lakini sura zetu zilitangulia Gerezan kupitia vyombo vya habar Runinga na magazet. kila mfungwa na mahabusu walikuwa wanatuangalia huku wakivuta picha za kwenye Tv,
wakati hatujui nn cha kufanya mara kundi la watu likatuzunguuka na huku wakiwa na sura za furaha mmoja wao akasema KARIBUNI KWENYE JUMBA LA DHARAU, ni kama tulipigwa na butwaa sisi tulikuwa kimya tuu. Daaaaa siwez kusahau
Mara alikuja Askari magerez aliyechafuka kwa vazi lenye mamlaka kwenye mabega yake, alikuja pale tulipo kisha akasema ninyi embu nifuatane huku, basi sisi tukaanza kumfuta kwa nyuma, kisha yeye akageuka na kutuangalia akiwa na sura iliyojaa tabasamu languvu akatuuliza majina nasi bila hiyana tukamtajia, kisha tukaenda kuakaa jikoni ambako msosi wa jela unaandaliwa.
Maneno yake ndiyo huwa nayakumbuka kila ninapopata wakati mgumu, yule afande alisema "KARIBUNI VIJANA KARIBUNI SANA, HAPA MLIPO NDIO JELA MLIYOKUWA MKIISIKIA TANGU MKIWA WADOGO LEO MMEINGIA HAPA, NAJUA HAMTAKI KUAMINI LAKINI HAPA NDIO JELA NA HAMUWEZI KUROKA KWA SABABU KUNAULINZI WA MKALI, ANGALI ULE UKUTA ULIVYOKUWA MREFU WATAALAMA WANATHIBITISHA HAKUNA BINADAMU ANAEWEZA KURUKA ULE UKUTA, PIA NI MARUFUKU KUUSOGELEA ULE UKUTA KWA SABABU UTAPIGWA RISASI, ANGALIA KULE JUU, KILE NI KIBANDA CHA ASKALI AMBAPO ANAONA NDANI NA NJE YA GEREZA HIYO UKIJARIBU KUTOROKA UTAKUWA MWISHO WA MAISHA YAKO, JAMBO MOJA AMBALO NAWEZA KUWASHAURI LEO NA SIKU ZOTE ZA MAISHA YENU NI KWAMBA IKUBALI HALI, KUBALI UKO JELA NA HUWEZI KUTOKA LABDA WATU WA NJE WAJE KUKUTOA KWA SHERIA LAKINI WEWE HUWEZI KUTOKA, wakati Afande akitiririka mistari yote hiyo sisi tulikwa kimya tukimsikiliza baadae akatuliza niwaletee soda gani wote tukamjibu yoyote akamuita mfungwa mmjoja aliyekuwa na mkanda kiunoni akamwambia WALETEE SODA HAWA VIJANA, baada ya muda kidogo soda zikaja kisha afande akamwambia, Naomba nikukabidhi hawa vijana Hakikisha hawapati usumbufu wowote wakiwa humu ndani mpaka watakapo pata dhamana.
Baada ya hapo ikapigwa filimbi na wafungwaa wote na maabusu tulipanga foleni kuingia vyumbani( SERO) mm nikiuwa sero na 9 na rafiki yangu alikuwa Sero na 8
nilikutana na watu wenye akili nyingi sana waliofanya matukio ya ajabu we acha tuu
........Itaendelea