Jumapili yangu.... Kisela zaidi

Jumapili yangu.... Kisela zaidi

Maisha hayaendi bila unafki.... Hapo ukimkaribisha mdada wa jf mmoja atasema chapati nzuri na tamu sana!
 
Mdada atakaeshobokea Chapati zako.... Baada ya Msosi unampelekea moto kama ule kwa MPALAMBE!
 
Mdada atakaeshobokea Chapati zako.... Baada ya Msosi unampelekea moto kama ule kwa MPALAMBE!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu watu wanalia uchumi mbaya . Acheni Anko Magu aendelee kule kenya hiyo makitu ni Xmass tu
 
Naona ni mwendo wa kula chapati na habari za michezo.

NB: kuna kamsemo kanasema hivii
'ukiona mwanaume anapika chapati za kusukuma au makande ujue kuoa ni majaliwa'
Nn Maoni yako kuhusu huu msemo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni kweli lakini pia si kweli
 
Cku moja nikasema ngoja nipike chapat
Lkn mawazo yang yakawa yanawaza mgegedo, abdallah kichwa wazi jicho moja chini alkua hyper
Nilichotoa mhhhh chapat ngumu kama pangaboi
Na chapati ukiikosea mwenyewe utapenda inavyotoka😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom