Jumapili yangu.... Kisela zaidi

Jumapili yangu.... Kisela zaidi

Cku moja nikasema ngoja nipike chapat
Lkn mawazo yang yakawa yanawaza mgegedo, abdallah kichwa wazi jicho moja chini alkua hyper
Nilichotoa mhhhh chapat ngumu kama pangaboi
 
Mabaharia tunaelewa kuwa uliyelala nae humo jana usiku ndo katoa hizo chapati

Mwanaume kupika chapati ni mtihani mkubwa sana walahy.......sijui huwa wanapatiaje hawa wadada. Mie kila nikipika natoa zimekua kama ungo,unaweza kuziendesha yani kama tairi kwa huo ugumu
 
Chapati unashushua na K-vant hahaha hiyo ni ya kibabe zaidi
 
Cku moja nikasema ngoja nipike chapat
Lkn mawazo yang yakawa yanawaza mgegedo, abdallah kichwa wazi jicho moja chini alkua hyper
Nilichotoa mhhhh chapat ngumu kama pangaboi
Kwenye chapati umejikaza aise kuna siku nilijidao kupika iyo kitu sio kwa chapati zile zilitoka ngumu ka mifuniko yakufunikia chungu cha maharagwe
Mabaharia tunaelewa kuwa uliyelala nae humo jana usiku ndo katoa hizo chapati

Mwanaume kupika chapati ni mtihani mkubwa sana walahy.......sijui huwa wanapatiaje hawa wadada. Mie kila nikipika natoa zimekua kama ungo,unaweza kuziendesha yani kama tairi kwa huo ugumu
 
Mabaharia tunaelewa kuwa uliyelala nae humo jana usiku ndo katoa hizo chapati

Mwanaume kupika chapati ni mtihani mkubwa sana walahy.......sijui huwa wanapatiaje hawa wadada. Mie kila nikipika natoa zimekua kama ungo,unaweza kuziendesha yani kama tairi kwa huo ugumu
 
chapati ngumu sana kupika,usipoangalia unapika chapati ya mraba, mi nikiwa jikoni bora niandae burger pori ni vyepesi kuliko chapati
 
chapati ngumu sana kupika,usipoangalia unapika chapati ya mraba, mi nikiwa jikoni bora niandae burger pori ni vyepesi kuliko chapati
hata hizi watasema sio zangu
IMG_20190819_100619.jpeg
 
Back
Top Bottom