Cku moja nikasema ngoja nipike chapat
Lkn mawazo yang yakawa yanawaza mgegedo, abdallah kichwa wazi jicho moja chini alkua hyper
Nilichotoa mhhhh chapat ngumu kama pangaboi
Mabaharia tunaelewa kuwa uliyelala nae humo jana usiku ndo katoa hizo chapati
Mwanaume kupika chapati ni mtihani mkubwa sana walahy.......sijui huwa wanapatiaje hawa wadada. Mie kila nikipika natoa zimekua kama ungo,unaweza kuziendesha yani kama tairi kwa huo ugumu
Kama kuna siku jamaa katuangusha ni leo, nilitegemea kuona mezani bapa konyagi, serengeti lager, na nyama choma na ndizi choma. Ndivyo j'pili ya mtu mgumu inavyoenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.